monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 886
- 1,584
Natumai hamjambo, Elimu yangu ni form 6 natafuta kazi ya Security officer/guard nina uzoefu wa kitosha nimefanya kazi maeneo mbalimbali ikiwemo SERENA HOTEL, TERMINAL 3 AIRPOT NA INDUSTRIAL AREAS kupitia GARDAWORLD.
Nimefanya applications kwenye kampuni mbalimbali kwa njia ya email nimeishia kuombwa pesa ambayo hata sijui naipata wapi,
Kama kuna nafasi au kuna mtu anayehitaji mtu mwenye ujuzi kama huu, Ningeshukuru sana ukinipa mwongozo
0763845544
AHSANTE
Nimefanya applications kwenye kampuni mbalimbali kwa njia ya email nimeishia kuombwa pesa ambayo hata sijui naipata wapi,
Kama kuna nafasi au kuna mtu anayehitaji mtu mwenye ujuzi kama huu, Ningeshukuru sana ukinipa mwongozo
0763845544
AHSANTE