Msaada wa connection ya kazi za security

Msaada wa connection ya kazi za security

monotheist

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
886
Reaction score
1,584
Natumai hamjambo, Elimu yangu ni form 6 natafuta kazi ya Security officer/guard nina uzoefu wa kitosha nimefanya kazi maeneo mbalimbali ikiwemo SERENA HOTEL, TERMINAL 3 AIRPOT NA INDUSTRIAL AREAS kupitia GARDAWORLD.
Nimefanya applications kwenye kampuni mbalimbali kwa njia ya email nimeishia kuombwa pesa ambayo hata sijui naipata wapi,
Kama kuna nafasi au kuna mtu anayehitaji mtu mwenye ujuzi kama huu, Ningeshukuru sana ukinipa mwongozo
0763845544
AHSANTE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom