Msaada wenu tafadhali

Msaada wenu tafadhali

Marry Diana

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,418
Reaction score
4,113
Shikamoon wakubwa zangu.

Juzi jumamosi nimeibiwa Pochi yangu na watu waliokuwa kwenye bodaboda Maeneo ya Tabata bima
Kwakweli Kwa umasikini wangu nimeumia Sana.

Pochi yenyewe ina Thamani ya 35000
Pia kulikuwa na simu Samsung S22,pesa tasilimu 780000 nilizoagizwa nikanunue Mahitaji ya nyumbani pamoja na
Cheni niliyopewa na mama yangu pamoja na vitu vingine

Sasa toka juzi familia imeninunia hakuna anayeamini nimeibiwa na Mimi hapa msaada wenu naomba nielekezwe mganga wa maana sina utan hata mkoani naenda sina huruma PM iko wazi namba ya mganga nataka
 
Shikamoon wakubwa zangu.

Juzi jumamosi nimeibiwa Pochi yangu na watu waliokuwa kwenye bodaboda Maeneo ya Tabata bima
Kwakweli Kwa umasikini wangu nimeumia Sana.

Pochi yenyewe ina Thamani ya 35000
Pia kulikuwa na simu Samsung S22,pesa tasilimu 780000 nilizoagizwa nikanunue Mahitaji ya nyumbani pamoja na
Cheni niliyopewa na mama yangu pamoja na vitu vingine

Sasa toka juzi familia imeninunia hakuna anayeamini nimeibiwa na Mimi hapa msaada wenu naomba nielekezwe mganga wa maana sina utan hata mkoani naenda sina huruma PM iko wazi namba ya mganga nataka
Corrie de killer na Mr Devil ni waganga wazuri sana wanaweza kukusaidia.

Warld Selikavu Edo kissy
 
Pole sana Mary Diana. Ila wewe mwenyewe ulisema kuna watu wanajipa umuhimu kwenye maisha ya watu. Sasa naona hata tukikusaidia, huenda tukaonekana tunajipendekeza au tunajipa nafasi ambayo hatuna.

Tumeheshimu ulichosema, na hatutaki kujilazimisha kwenye maisha ya mtu ambaye tayari ametuonyesha kwamba hatuhitajiki.
 
Sasa toka juzi familia imeninunia hakuna anayeamini nimeibiwa na Mimi hapa msaada wenu naomba nielekezwe mganga wa maana sina utan hata mkoani naenda sina huruma PM iko wazi namba ya mganga nataka
Kama hicho kidogo ulichopoteza unataka kwenda kwa Mganga,

Basi huko kwa Mganga unakotaka kwenda utaibiwa kila kitu na utalia kilio ambacho hakuna wa kukubembeleza.

Hesabu hasara na uendelee na Maisha yako, Pesa zinatafutwa.

Kama umeona Kichuguu umestuka hvyo, basi huko utaenda kuuona Mlima na utakufa kabisa - Mulin
 
Back
Top Bottom