sepema
JF-Expert Member
- Jun 13, 2019
- 603
- 1,011
salaam wakuu. Nimefungua akaunti ya ajira portal tangu mwaka jana, taarifa zote muhimu(CV)nimeweka na imekamilika kwa asilimia 98. Changamoto nipale ninapotaka ku apply nafasi za kazi inaniandikia *Failed" na maneno flani chini yake. Kuna mtaalamu nilimshirikisha akadai inatokana na mimi kuwa mwajiriwa wa serikali, japo baadhi ya nafasi hazizuii mtumishi wa umma kuomba.Sijui hili lina ukweli gani,na kama nihivyo naombeni msaada jinsi yakufanya ili inapotangazwa nafasi ninayoipenda(nikiwa na sifa) niweze kuomba.