Msaada wakuu kuhisu shule ua HIV and AIDS

Msaada wakuu kuhisu shule ua HIV and AIDS

CAPO DELGADO

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2020
Posts
11,634
Reaction score
25,657
Habari wakuu.
Poleni kwa kuwashtua.
Poleni kwa Kuwapa tension.

Kuna Bonge la Uzi niliwahi kusoma Mwaka 2020 miaka Takriban 7 Iliyopita.

UZI ULIKUWA UNAELEZEA KWA UNDANI MNO KUHUSU HUU HISTORJA YA UGONJWA, KISAYANSI, KIRUSI CHAKE KILIVYO, NA MTAALAM AKAISHIA KUSEMA HIV SIO UGONJWA NI .....
AKAWLEZA NAUKUMBUKA HUO UZI YAFADHARI,.

Sina kitu cha kuniongezea Maarifa weekend hii.
Nimeutafuta sana Ule uzi bila Mafanikio.

Sitaki kuamini kama uongozi wa Jamii Forum ulifuta ule uzi,

ASANTENI SANA.
🙏
 
Habari wakuu.
Poleni kwa kuwashtua.
Poleni kwa Kuwapa tension.

Kuna Bonge la Uzi niliwahi kusoma Mwaka 2020 miaka Takriban 7 Iliyopita.

UZI ULIKUWA UNAELEZEA KWA UNDANI MNO KUHUSU HUU HISTORJA YA UGONJWA, KISAYANSI, KIRUSI CHAKE KILIVYO, NA MTAALAM AKAISHIA KUSEMA HIV SIO UGONJWA NI .....
AKAWLEZA NAUKUMBUKA HUO UZI YAFADHARI,.

Sina kitu cha kuniongezea Maarifa weekend hii.
Nimeutafuta sana Ule uzi bila Mafanikio.

Sitaki kuamini kama uongozi wa Jamii Forum ulifuta ule uzi,

ASANTENI SANA.
🙏
Mwandishi alikuwa Deception
 
Hizo nyuzi zipo mbili tu ambazo ndio zinachambua uongo wa ugonjwa huu feki.

1. Mambo 10 usiyoyajua kuhusu ugonjwa wa HIV
2. Je, ninaweza nikalala na muathirika wa HIV na nisiambukizwe? Humu ndani mkuu deception kadadavua sana saaana ufeki wa huu ugonjwa.

Nimewahi kufanya kazi taasisi ya kiserikali ya Cancer. Wasemacho jamaa ktk hizo nyuzi kuhusu ufeki wa huo ugonjwa na madhara ya ARV, nadiriki kusema 98% wapo sahihi kuwa ARV ndio ANAYEUA MTU kwa kisingizio cha uyo HIV.
 
Habari wakuu.
Poleni kwa kuwashtua.
Poleni kwa Kuwapa tension.

Kuna Bonge la Uzi niliwahi kusoma Mwaka 2020 miaka Takriban 7 Iliyopita.

UZI ULIKUWA UNAELEZEA KWA UNDANI MNO KUHUSU HUU HISTORJA YA UGONJWA, KISAYANSI, KIRUSI CHAKE KILIVYO, NA MTAALAM AKAISHIA KUSEMA HIV SIO UGONJWA NI .....
AKAWLEZA NAUKUMBUKA HUO UZI YAFADHARI,.

Sina kitu cha kuniongezea Maarifa weekend hii.
Nimeutafuta sana Ule uzi bila Mafanikio.

Sitaki kuamini kama uongozi wa Jamii Forum ulifuta ule uzi,

ASANTENI SANA.
🙏
Yule jamaa mwenye Uzi nahisi namkumbuka kama Id yake inaanzia na D.... Yule naona alikua mwanafunzi mtiifu wa Dr sebi na Ule Uzi aliwapeleka mbio sana Ma dr, kama ni huo....
 
Hizo nyuzi zipo mbili tu ambazo ndio zinachambua uongo wa ugonjwa huu feki.

1. Mambo 10 usiyoyajua kuhusu ugonjwa wa HIV
2. Je, ninaweza nikalala na muathirika wa HIV na nisiambukizwe? Humu ndani mkuu deception kadadavua sana saaana ufeki wa huu ugonjwa.

Nimewahi kufanya kazi taasisi ya kiserikali ya Cancer. Wasemacho jamaa ktk hizo nyuzi kuhusu ufeki wa huo ugonjwa na madhara ya ARV, nadiriki kusema 98% wapo sahihi kuwa ARV ndio ANAYEUA MTU kwa kisingizio cha uyo HIV.
kiaje aje hapo
 
Huu??


 
Huu??


Hapana sister sio huu.
Ule umejaa Tafiti za Kisayansi Uchunguzi,maarifa Elimu nk.
Ulikuwa mrefu sana.
 
We jidanganye mkuu,

Nenda pale kimboka mwezi mzima uwapige wale milupo kavu kavu alafu uone kitachokutokea

Alieandika huo uzi kwanza athibitishe kwa kutembea na mtu mwenye ngoma tuone kama hatapata tofauti na hapo ni stori nyingine tamu za JF.
Mimi sio mzinzi wala Mzinifu mkuu.
(Afanyae zinaa na mwanamke hana akili kabisa afanya Jambo litakalo muangamiza Nafsi yake)
Mithali 6:32.

Lengo langu lilikuwa ni kujifunza na kupata maarifa mengi zaidi kuhusu huo ugonjwa uliomaliza ma Milioni ya Watanzania.
 
Asante sana Mkuu.
Nimejaribu kumfuatilia inawezekana uzi wake ulifutwa

Naye hajaonekana Jukwaani kwa kipindi cha takriban Miaka Minne.
48801.jpg
 
Huyo deception yupo au na yy alikwenda na huo ugonjwa....
Jamani waafrica msidanganyike na kupumbazwa na watu wasiotaka kuamini ukimwi upo..
Maana mpaka nchi za wenzetu za hao wazungu walikufa kabla ya hizo ARV leo mje mseme ni wazungu wanadanganya...
Ohooo endeleeni kulamba misambwanda....
 
Back
Top Bottom