mpenzi

  1. luangalila

    Mpenzi ndani ya social network

    Ni sahihi kuanzisha mahusiano na mtu unayekutana naye social network ? Hili swali nafahamu sio ngeni masikion mwenu embu na leo tulighamue (review)
  2. D

    Tetesi: Shilole na Uchebe Watatakiwa kuripoti polisi, wana kesi ya kujibu " Shambulio la kudhuru mwili"

    Kuna watu watauliza; Je; mlalamikaji Ni Nani? Kesi inayohusu "Public interest" Inayoonesha Kuna uharifu ambao unaweza kutafsiriwa tofauti na jamii lazima Jeshi la polisi lifanye kazi yake! Maelezo ya Shilole Ni kielelezo namba moja Cha shambulio la kudhuru mwili ambayo yanaashilia uvunjifu wa...
  3. kikoozi

    Mrejesho: Je, kwa ili nililoanza kulifanya kwa huyu mpenzi wangu linaweza kuleta athari kwangu?

    Habarini za siku ndugu zangu, poleni na majukumu ya hapa na pale, Baada ya kuleta uzi kuusiana na maswahiba ya mpenzi wangu kubadilika ghafla, na kwa upande wangu kujaribu kujua kinachomtatiza ila yeye ananiambia yupo sawa tu wakati kihualisia namuona amebadilika kabisa kabisa. Baada ya kusoma...
  4. Equation x

    Mpenzi wako huwa anakupokeaje?

    Unapotoka kwenye mihangaiko yako, labda kazini au katika kusaka shughuli mbalimbali za kujipatia kipato, na kurejea nyumbani labda jioni au usiku. Je, mpenzi wako huwa anakupokeaje, na huduma ipi huwa anakupatia kwanza?
  5. SteveMollel

    Wewe ni mpenzi wa Movies? (Session 05). Tupia jicho hapa..

    Niaje, wakuu? Kama kawaida tunakutana katika mfululizo wetu wa tano sasa wa kugusiana filamu kuhamasishana kuzitazama na kuzielewa. Bila maneno mingi, na tuanze. Karibu. IDENTITY ya 2003. Kuna watu wanaamini hamna kitu kinachotokea duniani kwa bahati mbaya. Kila kitu kimepangwa na kipo kwa...
  6. kikoozi

    Je, kwa ili nililoanza kulifanya kwa huyu mpenzi wangu linaweza kuleta athari kwangu?

    Habarini ndugu zangu, poleni na majukumua ya hapa na pale, niende moja kwa moja kwenye mada ya andiko hili nipo na mpenzi wangu, ni mwaka wa 4 sasa na nimepanga kama mungu akijaalia nimuoe mwakani mwishoni, uyu binti nampenda sana sana na tumepitia ups and down za hapa na pale ila kwa ili...
  7. Kasinja jr

    Mama yake mpenzi wangu hataki Mgeni kwake baada ya kusikia Mshenga anaenda kupeleka Ujumbe wangu

    Nina mpenzi wangu ambaye tumependana kwa miezi 10 sasa, kaja kwetu Msoma kututembelea kutoka kwao Arusha ikiwa ni njia ya kujuana kiundani alikuja akakaa week 1 hotelini Baada ya kumshawishi aache kazi ili nimuoe, hii ni kutokana na kazi alokuwa anafanya ya counter kwenye Lounge fulani Dar es...
  8. Jakamoyo msoga

    Sijui kwanini huwa najihisi vibaya mpenzi wangu asipopokea simu usiku

    Kuna siku nilimpigia mpenzi wangu simu, akasema subiri nikifika Nyumbani nitakupigia nimemsindikiza dada kazini kwake hapa Mlimani City mara moja, alipokea kana kwamba ana wasiwasi, na ukizingatia nikachukulia labda kwakuwa Dada yake hapendi niwe na mdogo wake ndo sababu, Baadaye hakunitafuta...
  9. kibovu

    Mwalimu wa shule ya msingi anusurika kuachwa na mpenzi wake

    Igweeeeeeee Kuna dada mmoja ni rafiki yangu nimesoma nae masomoni china alikuwa na boy friend wake mwalimu wa shule yamsingi. Stori iko hivi wadau mwalimu wa shule ya msingi amezaliwa mkoani tabora akiwa mtoto wa kwanza katika familia yao ya watoto wanne,Marehemu baba yake ni mstaafu wa katka...
  10. Mtotofaita

    Nilinusurika kufumaniwa ukweni nikimla mpenzi wangu

    Nakumbuka ilikuwa siku ya Boxing Day miaka ya nyuma kidogo enzi hizo nikiwa sekondari kidato cha nne nilikuwa na mpenzi jirani yaani hatua chache kutoka nyumbani kwetu. Kutokana na kutamani kumgegeda kwa kipindi kirefu na nilikuwa nikikosa nafasi kama unavyo fahamu tena kishule shule pesa tu ya...
  11. Superbug

    Mpenzi wako akikunyima style uitakayo unafanyaje?

    Imagine uko na mpenzi wako kwa miaka kadhaa lakini kila siku anakupa missionary umeomba zaidi ya Mara elfu tano akupe mbuzi kagoma amekataa katakata nawewe missionary umeikinahi Je, unafanyaje?
  12. The Humble Dreamer

    Mpenzi wako wa kwanza kabisa yuko wapi?

    Wakuu Salaam; Kila mmoja hupitia mambo kadhaa katika mahusiano na mojawapo ni hili la mahusiano kuvunjika kwasababu mbalimbali. Binafsi Mpenzi wangu wa kwanza tuliachana kwasababu kadhaa baada ya yeye kumaliza kidato cha sita na mimi kwenda Chuo. Alikua akisoma huo ukanda ulipo mkoa wa Dar...
  13. Mzukulu

    Je, ni sahihi kabisa kuwa na Mpenzi ( Mume / Mke ) anayefanana Jina ama la Baba au Mama yako Mzazi?

    Binafsi nimewakataa Wanawake kadhaa wenye Majina yafananayo na la Mama yangu Mzazi kwa Hisia zangu tu ambazo sina uhakika kama zitakuwa sahihi au si sahihi kwamba pale nikiwa nafanya nae Ngono naweza Kujisikia vibaya na kuhisi kuwa labda ni kama nimelala nae Mzazi wangu ( Mama ) Je, imekaaje...
  14. The MVP Tricks

    Bahasha za kuwekea dawa, picha, passport, urembo, simu na matumizi ya ofisini kwako

    Habari ya muda huu mpenzi msomaji wa makala hii. Mi naitwa DEOGRACIUS JOSHUA, Mkurugenzi na mmoja wa wamiliki wa kiwanda kidogo Cha vifungashio au mifuko mbadala kiitwacho DEO VIFUNGASHIO kukiwa chini ya DEO & FRANK Company Mkoani Dodoma, dodoma mjini. Tunapenda kuwataarifu enyi wamiliki wa...
  15. Equation x

    Mpenzi wangu wa zamani anataka tupashe kiporo

    Nilikutana na huyu binti miaka 3 iliyopita akifanya kazi hoteli moja hapo DSM ambapo nilikuwa nimefikia, kutokana na macho kupenda tukakubaliana na kucheza mechi ugenini. Baada ya hapo tukaendelea kuwasiliana, na wakati mwingine nikienda mikoa mingine nilikuwa nawasiliana naye anakuja kunipa...
  16. Barakoa

    Siku yako ya kuzaliwa halafu mpaka Saa Saba mchana hujaona ujumbe wowote wa kukupongeza kutoka kwa mpenzi wako...

    Tukiwa bado tunaendelea na kupiga nyungu tusisahahau kuendelea kuchukua tahadhari nyingine dhidi ya adui yetu Corona. Kwa kuwa kila mtu kazaliwa, basi kuna siku moja katika mwaka huwa inajirudia kwa maana ya tarehe na mwezi. Kwa wale wenzetu mliopo kwenye mahusiano, najua inapofika siku kama...
  17. britanicca

    Ni sahihi Mpenzi wako kuweka kikwazo cha kuanza maandalizi ya ndoa kwa kusingizia Corona?

    Anasema hebu waombe wazazi tuvutevute subira hadi mwezi wa 7 tuone hali itakavyokuwa ndo tuone cha kufanya, ameambiwa mshikaji mmoja ambaye kashamtambulisha mwanamke kwao ila kwao na mwanamke jamaa katambulishwa juu juu tu, akisema go ahead ya mshenga ni mpaka Corona iishe. Nimemuuliza je una...
  18. britanicca

    Je ni sahihi kumpangia Mpenzi wako aina ya mavazi ya kuvaa na ambayo hapaswi kuyavaa? Ama kumwambia kufuta aina ya picha kwenye mitandao ya kijamii?

    Kina wapenzi we ng I alba iwekeana ma's hart kasha was kadha Ikiwa mpenzi wako anavaaa mavazi yasiyo mpendeza Mungu, yanayochora maumbile yake ni sahihi kumwambia afute picha alizopiga akiwa na nguo hizo? Na ni sahihi kumkataza demu wako baadhi ya nguo kuzivaa?
  19. C

    Sitakusahau mpenzi wangu

    Uliniacha baada ya mambo yangu kuyumba na kukosa ajira. ukapata jamaa mwingine mwenye kazi nzuri na handsome. Nakumbuka nilitoa machozi kwa ajili yako ukasema umeona wengi wakilia. nakumbuka nilitembea kwa mguu mikoa kadhaa kuja kukuona ukasema niachane na wewe. Huwa nikikumbuka nakosa nguvu...
  20. Bin Shaib

    Mpenzi wangu kanikataa live leo

    Habari za humu ,nimekuwa na mfululizo wa thread lakini na wewe utajifunza kupitia hiki kisa kilicho nitokea leo tarehe 25.03.2020 mida ya mchana. Nisipoteze muda twende kisa chenyewe kama kawaida. Nilikuwa na mpenzi wangu anaitwa Anna tumekuwa kwenye mahusiano kwa muda mrefu sana cha...
Back
Top Bottom