mpenzi

  1. Rodriquz

    Jambo ambalo umsamehe mpenzi wako kikawaida na asingesitahili msamaha

    Dah, iliniuma sana pale nilipopata mpenzi wa mbali tukadumisha mahusiano yenye kupendana sana dah! sielewi ilikuwaje lakini siku moja naambiwa, mpenzi nimepata mimba bahati mbaya naomba unisamehe nakupenda sana usiniache ni bahati mbaya tu, nilimsamehe ila mpaka sasa hivi hatujawahi kukutana...
  2. Its Pancho

    Kijana unayetaka kuoa au mwenye mpenzi soma haya

    Vijana wengi siku hizi tumekuwa na makasiriko mengi kuhusu mahusiano. Mara nyingi kesi ikiwa ni usaliti. Sasa unapaswa kuelewa haya nitaanza na wanawake kisha nitafatia wanaume. elewa kwamba. 1; Wanawake wengi Siku hizi wana wanaume wawili. Yaani waziri wa fedha na waziri wa ndani.. 2...
  3. Civilian Coin

    Je, mpenzi wako amekukwaza au amekusaliti? Mfukuze kwa Wimbo huu "GO AWAY" ili uondoe msongo wa mawazo

    IF YOUR LOVER HATRED YOU, GIVE HIM/HER THIS SONG. . New video song "GO AWAY" for Lovers in Hatred, watch now to remove Stress alongside Don Nalimison.
  4. Equation x

    Sayansi ya kumpata mpenzi unayempenda

    Tafuta namba ya huyo unayetaka awe mpenzi wako, kwa kuulizia marafiki zake n.k Andika meseji nzuri au tamu ya kuhusu kumlalamikia mpenzi wako ambaye ni 'fake', ili itakapomfikia huyo unayetaka awe mpenzi wako ajue meseji si ya kwake bali imeenda kimakosa. Tuma meseji nyingi za kuvutia za...
  5. Samia atosha tukutane2030

    Mpenzi ni yule ambaye mnaweza kufanya tendo la siri kisha mkatawanyika kwa furaha hata kama mmoja hajapewa fedha

    Kuna watu wajinga sana kwenye suala liitwalo mapenzi. Anamwita demu mpenzi huku K anaipata kwa kutoa fedha. Unaweza kutoa fedha lakini isiwe ndio mchezo kwamba usipotoa pesa demu hakuelewi. Mwanamke ambaye mnaweza kukutana kimapenzi kisha mkatawanyika bila mmoja kupewa pesa then akatoka...
  6. B

    Hii ndio janja na utapeli wa wanaojidai kuunganisha kuona mawasiliano ya mpenzi wako

    Ukimfuata inbox anakwambia umpe namba zako na namba za utakae kuangalia mawasiliano yake bila Kwanza yeye kukupa namba yake. Hii maana yake NI nini? Kama utafanya kosa la kumpa hizo namba atakacho kifanya NI kuanza kuku intimidate kwamba ataenda kuexpose Siri hiyo Kwa mwenye namba kuwa...
  7. Equation x

    Kipato chako ndicho kitakachokupatia mpenzi wa daraja lako

    Huu ndio ukweli uliopo. Nafasi uliyonayo kwa sasa au nyanja yako ya kiuchumi uliyonayo ndiyo itakayokupatia mpenzi anayeendana na hali uliyonayo. Kama hali uliyonayo itabadilika huko mbeleni, pia na uhusiano utatikisika kwa sababu utakuwa uko daraja lingine la kukutana na wenye hilo daraja...
  8. sky soldier

    Je, uliwahi kuachwa na mpenzi wako na akakufanyia kitu ili akukomoe ila leo hii anakutafuta?

    Usitukane mamba kabla ya kuvuka mto Nmeitoa sehemu. Kuna gf niliachana naye kwakweli nilikuwa napigana apate anachokihitaji asee siku tumegombana kidogo nikakuta kaweka picha ya mwana mmoja DP et ili niumie kweli kamoyo kaliniuma halafu nikajidai hakuna kilichotokea na ilikuwa nimpe pesa...
  9. Sky Eclat

    Siri saba (7) ambazo ni lazima umfahamishe mwenza wako

    Uaminifu ni msingi wa mapenzi, wako wanaodhani mapenzi yanaweza kushinda kila jaribu lakini ukweli ni kwamba bila uaminifu mapenzi hayana afya njema 1. Usimfiche mwenza wako hali yako ya kifedha. Kama una madeni, kipato kimepungua, unaweka pesa kwa aajili ya kitu fulani. Yawekeni wazi. 2...
  10. luangalila

    Siku yako ya kwanza kulala na mpenzi wako usiku kucha ilikuwaje?

    Kwa mara ya kwanza mimi nilipolala na aliyekuwa demu wangu usiku kucha yaani ilikuwa shida sana. Yaani nilikuwa kama dokta yupo na mgonjwa ICU. Nakumbuka ilikuwa Moshi maeneo ya Ushirika wa Neema, kabaridi kanapiga balaa. Dogo mwili ulikuwa wa moto basi kila nikiamka namgusa mwili, naona...
  11. luangalila

    Kipi kinafurahisha toka kwa Mpenzi wako tangu mmeanza mahusiano?

    Mtu anapoanzisha mahusiano ya kimahaba na mtu wake ni wazi huwa kuna vitu vina mvutia lakini anapozidi kuwa naye karibu zaidi basi anapata wasaha wakuvifahamu vingi zaidi toka kwa soul mate wake. Karibuni tu-share vitu ambavyo vinakuvutia toka kwa mtu wako wa karibu tangu mmeanzisha mahusiano...
  12. R

    Natafuta mpenzi

    Habarin wanaJamiiForums, hope mpo poa. Twende moja kwa moja on topic. Mimi ni mwanaume wa miaka 25 ninaishi Moshi Bar jijini Dar-ea-Salaam. Nimemaliza Chuo mwaka 2014, nimesoma IT, kwa sasa ninafanya kazi Posta kwenye kampuni ambayo jina nimelihifadhi. Mpenzi ninaye mtaka awe na sifa...
  13. Analogia Malenga

    Aliyekiri kumuua mpenzi wake aachiwa huru

    Mahakama ya Rufaa imemuachia huru Amani Justine, aliyekiri kumuua mpenzi wake Gaudencia Mabuli kwa kumchoma kisu baada ya kumtuhumu usaliti Kwa siku tatu Gaudencia aliripotiwa kupotea na mwili wake uliokotwa barabarani, maeneo ya Vianzi Mei 23, 2012, akiwa na majeraha kwenye bega lake la...
  14. Money Penny

    Ushawahi kufiwa na mpenzi wako wakati mnafanya Mapenzi?

    Nipo namsikiliza Mtu anasema kuwa wakati mnafanya Mapenzi, dyu dyu ukiingia kwenye sehemu za siri za mwanamke, na mambo yakakolea, wakati mwingine dyu dyu unazama inagoma kutoka kwahiyo ule mizunguko wa damu na presha na nini Mtu anaweza akafa Sa nimelala hapa, najaribu kupata picha ivi wakati...
  15. Clever505

    Kwa kitendo hiki haitoshi kuamini kwamba mpenzi wangu ananisaliti?

    Habari zenu wakuu! Poleni na msiba wa kitaifa uliopo. Naombeni mawazo yenu kwenye hiki kilichotokea kwangu, ni kwamba nilikuwa nachati na demu wangu night kali sana na tukawa tunanye**Geshana hatari, si mnajua tena mambo yetu vijana. Sasa akanitumia picha ya kuleta hamasa zaidi ya kusex kisha...
  16. Meneja Wa Makampuni

    Mpenzi wangu Gogina popote ulipo silali kwaajili yako

    Najua unatembelea kwenye hili jukwaa na kukutana huu uzi wangu. Nijibu japo kidogo basi Nimemis busu lako. Nimemis ulivyo kuwa unaninyonya mate. Huku niliko sisahau ile siku tulipo fungulia wimbo wa celine dayoni tukaanza kunyonyana mate huku wimbo unapiga taratibu kwa mbali. Sitosahau Ile siku...
  17. ubnt

    Natafuta mpenzi ambaye atakuwa mke wangu wa ndoa soon

    Habarini ndugu zangu, nimeingia kwenye jukwaa ili kutafuta mpenzi wa kike ambaye ataenda kuwa mke wangu ivi karibuni: SIFA ZANGU: Urefu: Ni mrefu wa wastani Umbo: sio mnene wala sio mwembamba sana. Rangi: Maji ya kunde Dini: Christian (RC) Elimu: Degree 1 Status: Single na sijawahi kuwa na mke...
  18. eddy king

    Mbeya: Polisi wanamshikilia Suzy Keneth(19) kwa mauaji ya Mwanafunzi James Magesa (21)

    Mwanafunzi wa mwaka wa Kwanza chuo kikuu Cha sayansi na technologia Mbeya (MUST) ndg Linus Magesa (21) ameuwa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha Kali kifuani na mtu anayesadikika kua ni mpenzi wake anayetambulika kwa jina la Suzy (19). Chanzo kikisadika kua Ni wivu wa mapenzi, Mtuhumiwa anaendelea...
  19. J

    Muda wa kumteka mpenzi wako kimahaba ni usiku kati ya saa 4 na saa 8 usiku

    Hii ni kwa wale wanaoangaika na kutafuta wapenzi au kutafuta namna ya kuwashawishi watu wenye wapenzi tayari,muda mzuri wakuchanga karata zako nikuanzia SAA 4 hadi SAA 8 usiku wa manane ukiweza kuwa na salio lakupiga kuanzia mida hiyo kwa wiki mbili mfululizo unaweza kuwa na nafasi kubwa...
  20. kikoozi

    Natafuta mpenzi wa kike ambaye kama itapendeza tutafunga ndoa

    Hello, I hope you are all fine,poleni na Majukumu ya hapa na pale back to the point nahitaji rafiki wa kike ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa. Huu ni wasifu wangu: Jinsia- am a Boy,miaka 30 Kimo- mrefu, rangi maji ya kunde. Umbo-mwili wa kawaida si mnene...
Back
Top Bottom