sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,028
Usitukane mamba kabla ya kuvuka mto
Nmeitoa sehemu.
Kuna gf niliachana naye kwakweli nilikuwa napigana apate anachokihitaji asee siku tumegombana kidogo nikakuta kaweka picha ya mwana mmoja DP et ili niumie kweli kamoyo kaliniuma halafu nikajidai hakuna kilichotokea na ilikuwa nimpe pesa fulani.
Tuliyokuwa tumekubaliana kesho yake akataka ile pesa nikamwambia mm siwezi endeleaa kuhudumia mwanamke wa mtu akasema poa tuachane basi maisha yakaendelea
Nikawa nawaza kwa shida za huyu demu jamaa ataweza kweli? Aisee siku hizi asubuhi nakuta sms asubuhi njema ikifika usiku unashangaa sms usiku mwema moyoni nasema utakula ulichokipanda japo kweli nilikuwa nampenda ila njaa nyingi yule manzi kwa mabaharia wengine hawezi kudumu naye mwezi
Nmeitoa sehemu.
Kuna gf niliachana naye kwakweli nilikuwa napigana apate anachokihitaji asee siku tumegombana kidogo nikakuta kaweka picha ya mwana mmoja DP et ili niumie kweli kamoyo kaliniuma halafu nikajidai hakuna kilichotokea na ilikuwa nimpe pesa fulani.
Tuliyokuwa tumekubaliana kesho yake akataka ile pesa nikamwambia mm siwezi endeleaa kuhudumia mwanamke wa mtu akasema poa tuachane basi maisha yakaendelea
Nikawa nawaza kwa shida za huyu demu jamaa ataweza kweli? Aisee siku hizi asubuhi nakuta sms asubuhi njema ikifika usiku unashangaa sms usiku mwema moyoni nasema utakula ulichokipanda japo kweli nilikuwa nampenda ila njaa nyingi yule manzi kwa mabaharia wengine hawezi kudumu naye mwezi