luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Kwa mara ya kwanza mimi nilipolala na aliyekuwa demu wangu usiku kucha yaani ilikuwa shida sana. Yaani nilikuwa kama dokta yupo na mgonjwa ICU.
Nakumbuka ilikuwa Moshi maeneo ya Ushirika wa Neema, kabaridi kanapiga balaa. Dogo mwili ulikuwa wa moto basi kila nikiamka namgusa mwili, naona mwili wa motoo nikajua jumba bovu linataka kunifia nini. Nikamkurupusha yule dada kumuuliza vipi unaumwaa?
Dah! Sitasahau ile siku
Nakumbuka ilikuwa Moshi maeneo ya Ushirika wa Neema, kabaridi kanapiga balaa. Dogo mwili ulikuwa wa moto basi kila nikiamka namgusa mwili, naona mwili wa motoo nikajua jumba bovu linataka kunifia nini. Nikamkurupusha yule dada kumuuliza vipi unaumwaa?
Dah! Sitasahau ile siku