Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 718
- 1,643
Ukimfuata inbox anakwambia umpe namba zako na namba za utakae kuangalia mawasiliano yake bila Kwanza yeye kukupa namba yake.
Hii maana yake NI nini?
Kama utafanya kosa la kumpa hizo namba atakacho kifanya NI kuanza kuku intimidate kwamba ataenda kuexpose Siri hiyo Kwa mwenye namba kuwa unataka kufuatalia mawasiliano yake.
So deal litabadilika kutoka kulipa pesa uone msg za mpenzi wako au mtu ulie mkusudia to kutoa pesa ili asitoe Siri hiyo Kwa mpenzi wako au huyo ulie mkusudia kuangalia mawasiliano yake.
So be warned
Hii maana yake NI nini?
Kama utafanya kosa la kumpa hizo namba atakacho kifanya NI kuanza kuku intimidate kwamba ataenda kuexpose Siri hiyo Kwa mwenye namba kuwa unataka kufuatalia mawasiliano yake.
So deal litabadilika kutoka kulipa pesa uone msg za mpenzi wako au mtu ulie mkusudia to kutoa pesa ili asitoe Siri hiyo Kwa mpenzi wako au huyo ulie mkusudia kuangalia mawasiliano yake.
So be warned