money

  1. YEHODAYA

    Donors, don't waste your money to finance opposition parties, they are too weak -- they can't win

    Donors don't waste your time and resources to finance opposition parties they are very weak and thieves .They can't win you will waste your tax payers' money. For example you have been giving money to Chadema the main opposition party in Tanzania they don't have even their.l head office...
  2. T

    Kwanini kila kitu Tanzania lazima ununue kwa pesa tasilimu?

    Kwanini kila kitu huku kwetu Tanzania lazima mtu anunue kwa pesa tasilimu(cash money)? Tanzania ukitaka simu lazima uwe na cash, ukitaka gari lazima uwe na cash, ukitaka samani za ndani lazima uwe na cash money, yaani kila kitu ni cash. Vitu kama simu mitandao ya simu hua na offa ya mtu...
  3. Sisyphus

    GE2020 Same Magharibi: Money vs Power, Je Kairuki ataweza kumuondoa “Dkt” David Mathayo

    Umofia Kwenu, Bila kupoteza muda naomba niseme wazi kwamba kumekua na mtifuano wa chini kwa chini wa nani achukue jimbo la Same magharibi ndani ya CCM potential candidate akiwa Mama Angellah KAIRUKI na “Dr”. David Mathayo (phd yake haieleweki ndio mana ipo kwenye mabano ) Ndugu Mathayo kwa...
  4. Unique Flower

    Money talks kwa kweli

    Jamani najua kuna Corona but nilitolewa out mahali na kazi yangu ni umbea. Sasa tulikuwa tumekaa angle ambayo kila mtu anaingia unawaona. Sasa hata mtu akipanda ana kushuka kwenye gari tunaona. Sasa akaja mkijana na demu wake na toyo wako mshikaki wakaja wakashuka wakaagiza chakula na...
  5. Nigrastratatract nerve

    Sitamsamehe aliyeniambia Education is better than money

    Elimu ya kikoloni imeua ubunifu na imedumaza akili za watu unalazimishwa kukariri mawazo ya watu katika miongo mitatu ya maisha yako! Unalazimishwa kuyafanyia kazi mawazo ya watu for the rest of your life inakufanya uwe tegemezi kiasi kwamba ukithubutu kusimamishwa kazi kwa mwezi mmoja tu...
  6. M

    Debt trap Diplomacy, African Nations call for Chinese to remove strings attached to Debts or keep their money..

    There have been protests across Africa, calling for a complete cut-off of economic links with China as they are proving to be too expensive. Nairobi: In the Covid environment, African nations are closely scrutinising the cost-benefit analysis of Chinese investments and the conditions attached to...
  7. guwe_la_manga

    Nautafuta wimbo wa reggae unaoitwa Money Money pesa ulioimbwa na mbongo miaka ya 90

    Wakuu kwema? Kuna msanii wa reggae mbongo jina limenitoka Aliimba nyimbo nyingi ila ninayoikumbuka sana ni ile ya Money Money Pesa Nyimbo hii iliimbwa miaka ya tisini Kwa anayemjua msanii na mwenye wimbo auweke hapa Natanguliza shukrani
  8. Dunamist

    Money Heist ni wazungu wanaosukuma bidii agenda zao kwa nguvu

    Habarini wakuu Poleni na taharuki ya COVID-19 Nmeangalia hii tamthilia ya MONEY HEIST (LA CASA DE PAPEL) kama wengi wenu mlivyofanya kipindi hiki cha karantini. Kati ya vitu nlivyogundua ni kwamba mabeberu wako siriaz na agenda zao. Hebu fikiria USHOGA na USAGAJI unavyokuwa displayed kwenye...
  9. gumya

    How to Start a Small Business with Little to No Money

    How long have you been itching to start a small business? What’s holding you back? So many people put off starting a small business because they think they need a healthy injection of capital to do it. That’s simply not true. So, how to start a small business? Simon Paine, co-founder and CEO...
  10. Martin Kemosabe

    Wimbo wa Supa Woman ni mzuri sana Pongezi kwa waimbaji

    Hongereni wanawake wote nimependa wimbo wenu wa supa woman,ki ukweli ni wimbo mzuri sana Hongereni kina mama Wasanii mlioimba hongereni mmeutendea wimbo haki yake. Vitu nilivyopenda kwenye huu wimbo wenu Kiitikio chenu kinanifanya niweke A-B ijirudie sichoki kabisa mdada aliepiga hicho kifaa...
  11. babu M

    Africa is on track to become a global consumer-spending powerhouse

    Africa is on track to become a global consumer-spending powerhouse as fast-growing economies, urbanization and increases in disposable income take hold. African consumer spending will be about 40% of U.S. expenditure in five years’, compared with 20% two decades ago, according to Jacques Nel, an...
  12. Jo Assistant

    "Education is better than money" Una oppose au una propose?

    Debate za enzi hizo shuleni... Nani opposer na nani proposer? === Utakuwa unakumbuka midahala enzi za shule, moja kati ya mada kubwa ambayo watu wengi waliwahi kujadili katika maisha ya shule ni hii ya ‘Education is better than money’ Kila mmoja alikuwa na upande wake. Katika maisha halisi...
  13. Jum Records

    Maelezo ya kina kuhusu Uber. Usafiri salama na wa bei ya chini kwa mtanzania

    Wakuu heshima kwenu, kuna jamaa anataka kuniazima gari yake ndogo, Mimi niwe dereva tu katika biashara ya usafirishaji wa uber, niwe nampa yeye kama mmiliki wa gari Tsh 25,000/= kila siku, je kuna faida yoyote ntapata mimi kama dereva tu, je uber wenyewe wanachukua kiasi gani kwa siku...
  14. roselina john

    Money and sex are two sides of the same coin

    If you don't give me money or to your wife , Mna achana If (I) you don't give him sweet part of your body anakuacha, Depends on each other,
  15. Sky Eclat

    Anthony Joshua a humble guy who doesn’t spend his money any how

    HIS Instagram feed is a littered with snaps of exotic holidays on private jets, custom-made sports cars and watches worth more than £350,000. But despite being worth £35million and living a life of luxury, British boxing icon Anthony Joshua is so humble that he still lives in an ex-council house...
  16. Pascal Mayalla

    Misafara ya viongozi inachosha, inatesa na kurudisha nyuma maendeleo, IGP Sirro peleka Traffic Sweden kujifunza misafara ya wenzetu, Time is Money!

    Wanabodi, Leo tena nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Ukiondoa thamani ya uhai, hakuna kitu kingine duniani chenye thamani kama muda, time is money, kupotezeana muda ni kuzorotesha maendeleo. Niko njia ya Bagamoyo eneo la Mbezi Tangi Bovu, tumesimamishwa...
  17. Jane Lowassa

    Pocket money ya Maulid Kitenge eti 1 million

    Juzi kati nilikuwa naangalia kipindi cha Bartender cha Wasafi TV Maulid Kitenge akiwa mgeni. Akaulizwa anatumia sh ngapi kwa siku, eti akatoa mfukoni bulungutu la milioni moja. Jamani hizi si kufuru hizi kwa usawa huu wa Magu. Kakangu kitenge acha dharau ukizingatia una ndugu zako wazaramo kibao...
  18. Shukrani A. Ngonyani

    Nahitaji namba ya uwakala ya airtel money

    nahitaji lain ya wakala ya airtel money, mmiliki awe na document zote. Offer yangu ni 100,000/= njoo pm, au niandikie ktk baruapepe sirngonyani@mail.com
  19. EIFFEL

    Airtel/ Airtel Money acheni hizi dhuluma, Mamlaka husika liangalieni hili suala

    Habarini za jioni wakuu, Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa letu. Binafsi naomba niwasilishe malalamiko yangu kwa hawa AIRTEL TANZANIA kutokana na vitendo vyao hivi ambavyo ni viashiria wazi vya dhuluma kwa wateja wao. Kwa kawaida hua sipendi kununua bundles kwa vocha za kukwangua kwa...
  20. ONTARIO

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Salute bosses Utangulizi Wengi mmesikia sikia sana kuhusu Forex trading, mmepata kujua taarifa kadhaa kuhusu hii biashara lakini mmeshindwa kufahamu nini kinaendelea. This is the perfect thread, tutaelewa kila kitu hapa na hakuna atakayebaki na swali kichwani - we have to leave this thing...
Back
Top Bottom