Wasalaam.
Nimefatilia kampeni za mgombea urais wa CCM ambae ndio rais anaemaliza muda wake. Katika kila mkutano amekua akiimba pambio kwamba amenunua midege 11 tena kwa cash na sio mkopo kwangu ni jambo jema.
Kinachonisikitisha ambacho naamini kinawasikitisha wengi ni jinsi serikali hii ya...
When Mxolosi saw a Tecno W2 smartphone in a store in Johannesburg, South Africa, he was attracted to its looks and functionality. But what really drew him in was the price, roughly $30 — far less than comparable models from Samsung, Nokia, or Huawei, Africa’s other top brands.
“They’re very...
STATIONERY YA NDANI YA GHETO/HOSTEL
Nguvu ya hii biashara
1.tationery nyingi hufugwa mida ya saa moja jioni hivyo hakunaga mbadala, nguvu yako hapa ni kwamba wewe muda wowote ambao upo chumbani kuna huduma. hata usiku.
2. Stationery zinaweza kuwa mbali na sehemu ambayo unaishi na wanafunzi...
7 ways how blacks can learn to manage and improve their financial skills from indians.
1. Family Business
*according to Credit Suisse Family 1000, a recent study have shown that India ranks third in terms of the number of family-owned businesses.
* family businesses decrease costs and...
MASLAHI YA MBUNGE:
- Mshahara: TZS 3.8M kwa mwezi
- Shangingi la kutembelea (wanakopeshwa bei chee)
- Posho ya mwezi: TZS 8M kwa mwezi
- Posho ya Kikao: TZS 240K kwa siku
- Posho kujikimu: TZS 120K kwa siku
- Pensheni: TZS 240M baada ya miaka mitano
- Bima ya afya ya daraja la kwanza kwako na...
Money, the bone of contention. The reason behind everyday struggle. Acquisition and accumulation of wealth make people sacrifice years of their life to go to school or learn a trade.
Money, the root of all evil – as some people choose to call it. Money – a resource used as a means of exchange...
Kenyan County governments are more efficient than the central government of most nations. Let`s take an example with Tanzania and Mombasa, the Magufuli government is depending on the Morrocan Government to build Dodoma stadium while Mombasa stadium is getting built without even the help of the...
How To Make More Money
The first step to making money is to decide how much more you want to make. The need to emphasize the need to use the power of affirmations, and visualization to see yourself as already in the possession of that money.
Not surprisingly, story after story exist in the...
Kwa mara ya Kwanza toka 2009 nilipoanza kuchek series za 24 na prison break nilishamaliza kufananisha na series yeyote duniani nakumbuka mwaka 2010 nilichek pia series moja tamu Sana inatwa traveller,hii movie haikutoka tena na sielew sababu ya kushindwa kuchezwa mpaka leo..
Miaka mingi imepita...
Katika birthday ya Gigy Money nimemuona Boyfriend wake akihojiwa You Tube. Huyu Mchuchu wake anaongea kingereza tu. Sijasikia akiongea kiswahili, je sio Mtanzania?
Can you date a guy without asking him for money? Most girls will be laughing at this question,but am sure the guys would really want to know.
As long as I can remember and as many relationships I can remember, the ladies always ask for money.It might not be direct because ladies are smart...
Over 2500 students who qualified to go to University in the class of 2019, have opted to go to technical colleges and pursue diplomas
Kenyan Technical colleges have also started gaining recognition globally with Railway Training Institute in Nairobi undergoing a major refurbishment into the...
Bado naendelea kurekodi VIPINDI vyangu vya YouTube, ndio maana skuhizi siandiki Uzi Sana huku hata HADITHI kwenye website nimesimama Kwanza, YouTube unachukua muda wangu mwiingi nikitoka hapo chokest !
naenda ku-du na mume alafu kushakucha narudi studio tena.
Anyway wiki hii nilikuwa na wageni...
Donors don't waste your time and resources to finance opposition parties they are very weak and thieves .They can't win you will waste your tax payers' money.
For example you have been giving money to Chadema the main opposition party in Tanzania they don't have even their.l head office...
Kwanini kila kitu huku kwetu Tanzania lazima mtu anunue kwa pesa tasilimu(cash money)?
Tanzania ukitaka simu lazima uwe na cash, ukitaka gari lazima uwe na cash, ukitaka samani za ndani lazima uwe na cash money, yaani kila kitu ni cash.
Vitu kama simu mitandao ya simu hua na offa ya mtu...
Umofia Kwenu,
Bila kupoteza muda naomba niseme wazi kwamba kumekua na mtifuano wa chini kwa chini wa nani achukue jimbo la Same magharibi ndani ya CCM potential candidate akiwa Mama Angellah KAIRUKI na “Dr”. David Mathayo (phd yake haieleweki ndio mana ipo kwenye mabano )
Ndugu Mathayo kwa...
Jamani najua kuna Corona but nilitolewa out mahali na kazi yangu ni umbea.
Sasa tulikuwa tumekaa angle ambayo kila mtu anaingia unawaona. Sasa hata mtu akipanda ana kushuka kwenye gari tunaona. Sasa akaja mkijana na demu wake na toyo wako mshikaki wakaja wakashuka wakaagiza chakula na...
Elimu ya kikoloni imeua ubunifu na imedumaza akili za watu unalazimishwa kukariri mawazo ya watu katika miongo mitatu ya maisha yako! Unalazimishwa kuyafanyia kazi mawazo ya watu for the rest of your life inakufanya uwe tegemezi kiasi kwamba ukithubutu kusimamishwa kazi kwa mwezi mmoja tu...
There have been protests across Africa, calling for a complete cut-off of economic links with China as they are proving to be too expensive.
Nairobi: In the Covid environment, African nations are closely scrutinising the cost-benefit analysis of Chinese investments and the conditions attached to...
Wakuu kwema?
Kuna msanii wa reggae mbongo jina limenitoka
Aliimba nyimbo nyingi ila ninayoikumbuka sana ni ile ya Money Money Pesa
Nyimbo hii iliimbwa miaka ya tisini
Kwa anayemjua msanii na mwenye wimbo auweke hapa
Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.