Martin Kemosabe
Senior Member
- Jan 28, 2020
- 168
- 78
Hongereni wanawake wote nimependa wimbo wenu wa supa woman,ki ukweli ni wimbo mzuri sana Hongereni kina mama Wasanii mlioimba hongereni mmeutendea wimbo haki yake.
Vitu nilivyopenda kwenye huu wimbo wenu
Vitu nilivyopenda kwenye huu wimbo wenu
- Kiitikio chenu kinanifanya niweke A-B ijirudie sichoki kabisa
- mdada aliepiga hicho kifaa hapo mwishoni amependezea sana
- nimefurahi kumuona HAWA (nitarejea) napenda sana kumuona huyu dada aki smile
- sehemu wanataja majina ya supa woman nmependa sana waliotajwa hasa mama rwakatare
- kipisi cha gigy money kitamu sana nimekipenda
- dada alievaa gauni la blue nmependa gauni lake + changamka yake yani yuko mmuuaaaaah
- mdada alieimba kiitikio cha supa woman oooo ana sauti nzuri sana