guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,755
Wakuu kwema?
Kuna msanii wa reggae mbongo jina limenitoka
Aliimba nyimbo nyingi ila ninayoikumbuka sana ni ile ya Money Money Pesa
Nyimbo hii iliimbwa miaka ya tisini
Kwa anayemjua msanii na mwenye wimbo auweke hapa
Natanguliza shukrani
Kuna msanii wa reggae mbongo jina limenitoka
Aliimba nyimbo nyingi ila ninayoikumbuka sana ni ile ya Money Money Pesa
Nyimbo hii iliimbwa miaka ya tisini
Kwa anayemjua msanii na mwenye wimbo auweke hapa
Natanguliza shukrani