Tangu Jumatatu najaribu kufanya malipo ya serikali kupitia Airtel Money lakini malipo yana kwamba (pending) na inachukua masaa 38 kurejesha pesa a mteja ktk account yake.
Huu ni uduwanzi mnatukwamisha. Airtel kama system yenu ya malipo haipo sawa ni vyema kutoa taarifa mapema.
Besides being wives to artistes, Zuena and Barbie have another thing in common. They are businesswomen who know what their money is worth. A few days ago, Bebe Cool learnt something he had never witnessed from his wife over the 20 years they have been together.
The Zuena pastries proprietor...
I know money is important but money doesn’t come because you desire money.
It comes because you do something well. Instead of going on thinking about how much money you want to earn if you look at what you want you to create and if what you create is truly worthwhile money will happen.
See...
Wale wapenzi wa Money heist season 5 imerejea. Mtandao na watayarishaji wa series hii wametangaza official date ya kutoka kwake.
Part 1 itatoka SEPTEMBA 3
Part 2 itatoka DESEMBA 3.
Tukae mkao wa kula.
Safaricom is still hopeful that it will launch mobile money services in Ethiopia as it awaits the decision on the acquisition of a licence to operate in the country.
The telco’s bid for control of the Ethiopian telecommunication market seems to have received a boost ahead of the official...
Years ago, the limits of wealth and successful enterprise were set by people whose mindsets and mode of operation differ from what the millennial grew up understanding. Perhaps one of the most visible figures of that era is the former president of the US Donald Trump.
Mr Trump was born in 1946...
The source of the chaos is money
The source of respect is money
No money no respect
The existence of fake prophets the source is money
In God we trust our fake politicians who thoughts are there on power eternity will end up soon the time and day come ...soon or later.
Kiukweli binafsi ni mtu mgumu sana kwenye kufanya mambo ambayo kwa kawaida naweza kuyaona kama yanapingana na malezi yangu au yanahitaji ukengeufu fulani wa vitu ambavyo sijawahi kuona viko sawa.
Jamii yetu iko tofauti sana, kuna watu as long as una pesa au madaraka basi zinahalisha jambo...
Wasalaam Wana jamvi.
Msanii Baba Levo ameweka wazi kuwa anatamani Mungu amchukue hata leo ili watoto wake walelewe na Diamond.
Baba Levo amesema hayo akieleza hisia zake baada ya Diamond kumlipia ada za watoto wake wawili wanao soma TUSIME SEC.
Baba Levo anasema anatamani Mungu amchukue hata...
Aga Khan family
By Simon Mkina
Bank accounts owned by an individual whose documents at the Barclays Bank show is a Tanzanian, have been used to launder 176 million US dollars from Aga Khan Development Network (AKDN) – for three years, JamiiForums investigations can now reveal.
This amount is...
Habari,
Kuna clip moja nimeiona kwenye mtandao wa Instagram ikimuonesha mtu mmoja ambaye bila shaka alikuwa ni kiongozi wa tour ya jana ya WCB ya tumewasha na tigo waliofanya jijini Dododma akiomba radhi ya jambo linaloonesha sio la kiungwana na lisilokuwa na stahala lililofanya na "Msanii"...
Senior management officials of these Chinese companies have been detained in Tanzania since the first week of November.
Chinese firms involved in money laundering racket face the music in Tanzania | India News | Zee News
New Delhi: Chinese involvement in money laundering has been growing...
Je, pesa ni bahati? hasa ya kuzaliwa nayo?
Je, pesa ni kitu kinachotafutwa?
Je, pesa ina thamani ile ile tunayoiamini?
Je, ni kwa nini walio wachache wanamiliki kiasi kikubwa cha pesa na kutuacha wengine tuking`ang`aniana “Vijisenti” vilivyobaki?
Hayo ni maswali yaliyowahi na yanaendelea...
Kuna wakati hawa jamaa siwaelewi kabisa yaani kwenye hii Airtel Money, ukinunua luku wanakuletea tu kuwa malipo yako yamefanyika bila kuleta balance ya akaunti yako baada ya muamala huo kufanyika. Ukitaka kufanya muamala kama salio halitoshi wanakutumia msg salio halitoshi bila kuonyesha salio...
Leo tarehe 28.10.2020 Airtel kwa kupitia huduma yao ya Airtel Money wamenisababishia usumbufu mkubwa sana, fedheha na kudharaulika kwa hali ya juu.
Nilikuwa nimeenda shambani Bagamoyo kupiga kura kwani ndiko nilikojiandikishia. Niliweza kupiga kura yangu vizuri, nikaingia shambani KUENDELEA na...
A major hack that compromised Uganda’s mobile money network has plunged the country’s telecoms and banking sectors into crisis.
The Oct. 3 hack was a result of a security breach on a consumer finance aggregator, Pegasus Technologies, which mainly affected bank to mobile wallet transfers...
To be honest nimemiss Sana JF na kuandika HADITHI Kwa website yangu na Kuongea YouTube, tulieni Wana ngoja upepo upite nitarudi Novemba
NIMEKUWA buzy mweeee, Hadi utanihurumia💃
Anywho naskia mabaharia huku mnalalamika natoa namba feki, kuna Faza anapokea simu na KUWAFOKEA 😂😂😂, poleni mweee...
Wadau naomba kuelimishwa kuhusu moneymaker Pump. Je, ina uwezo wa kusukuma maji umbali gani? Ubora wake ukilinganisha na hizi pump za laki tatu za Kariakoo?
Naomba kujua na bei zake na wapi nitaipata kiurahisi kama nikiridhika kuwa ni bora zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.