Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,395
- 3,897
Elimu ya kikoloni imeua ubunifu na imedumaza akili za watu unalazimishwa kukariri mawazo ya watu katika miongo mitatu ya maisha yako! Unalazimishwa kuyafanyia kazi mawazo ya watu for the rest of your life inakufanya uwe tegemezi kiasi kwamba ukithubutu kusimamishwa kazi kwa mwezi mmoja tu unapata pressure.
Yaani tumetengenezewa mfumo tegemezi wa maisha ambao ukijiingiza kwayo haubanduki hapa ndio unapata risk takers kama akina Bill gates aliyeukataa utumwa wa Fikra akawa huru, akina Steve Job, Mark zukerberg, Thomas Edison.
Kimsingi watu walioamua kuwa huru kimawazo wamefanikiwa sana wana ujasiri sana wa kupambana na maisha yao hawaogopi kukosea ndio matajiri wengi hawakukubali kutumia muda wao kukaririshwa kesho isiyokuwepo, eti unaambiwa education is better than money wazungu siyo watu wazuri, ona mtu kama Diamond ambaye ameamua tu kutumia kipaji chake na kutofungwa mawazo yake alivyofanikiwa
Yaani tumetengenezewa mfumo tegemezi wa maisha ambao ukijiingiza kwayo haubanduki hapa ndio unapata risk takers kama akina Bill gates aliyeukataa utumwa wa Fikra akawa huru, akina Steve Job, Mark zukerberg, Thomas Edison.
Kimsingi watu walioamua kuwa huru kimawazo wamefanikiwa sana wana ujasiri sana wa kupambana na maisha yao hawaogopi kukosea ndio matajiri wengi hawakukubali kutumia muda wao kukaririshwa kesho isiyokuwepo, eti unaambiwa education is better than money wazungu siyo watu wazuri, ona mtu kama Diamond ambaye ameamua tu kutumia kipaji chake na kutofungwa mawazo yake alivyofanikiwa