mkewe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dexta

    Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumlawiti mke wake

    Mahakama ya Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Boniface Mtweve(28) mkazi wa kata ya Lugarawa kwa kosa la kumlawiti mke wake (27) ambaye jina lake limehifadhiwa. Awali akisomewa shitaka hilo na mwendesha mashtaka Asifiwe...
  2. MKATA KIU

    Ndoa zimekuwaje? Kuna Video inatrend leo Mume akimkaba mkewe na kutaka kumuua live barabarani

    Habari wadau. Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu Tazameni video ya tukio
  3. bongo dili

    Mtu akitembea na mkeo nawe tembea na mkewe wake

    Na uchungu sana. Sababu ya ukengeufu wa maadili ndoa haziheshimiwi kabisa,watu wanapita tu ukiacha mlango wazi. Watu Wana ndoa home wakienda makazini Wana ndoa zingine yaani ndoa juu ya ndoa. Uhitaji kuumia utaacha wangapi wote wameoza. Mtu akipita na mke / mme wako nawe pita na wake kwa...
  4. O

    Adaiwa kumuua mkewe kisha kuzunguka na mwili huo baa akinywa pombe

    Polisi wa kaunti ya Kericho nchini Kenya wako katika uchunguzi wa tukio la mwanaume mmoja kutoka eneo hilo aliyedaiwa kumuua mkewe, kisha kuzunguka na mwili huo baa akinywa pombe. Tovuti ya NTV ya nchini humo imesema mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 46 anadaiwa kutekeleza mauaji hayo kwa...
  5. O

    Kortini akituhumiwa kumuua mkewe

    Mkazi wa kijiji cha Nyangomango Wilaya ya Geita, Baraka Shija (30) amefikishwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza akishtakiwa kwa kosa la mauaji ya kukusudia ya kumuua mkewe, Grace Daudi kwa kumpiga na kitu kizito kichwani. Shauri hilo namba 75 la mwaka 2023 limesikilizwa leo Jumatatu Oktoba...
  6. GENTAMYCINE

    Jana ( Jumapili ) ndiyo nimejua Mapenzi hayaepukiki hata Siasani au Ukimchafua Mtu kwa Mkewe / Hawara ampendae

    Tucheze na vyote ila siyo Mapenzi. Na Mapenzi hayaangalii uko katika Siasa au Ulichukiwa Ofisini katika Kampuni au una Nuksi tu ya Kutokukubalika kwa Wanadamu kutokana na kuwa Tajiri sana ulipopata Fursa ya Kuaminiwa kuliko Wengine na Ukaitumia vyema na Kuwaacha / Kutuacha Kimaendeleo.
  7. Mhaya

    TANZIA Muongoza filamu maarufu Iran, Dariush Mehrjui na Mkewe wauawa

    Mkurugenzi maarufu wa filamu nchini Iran pamoja na mke wake wameuawa wakiwa nyumbani kwao nje kidogo ya Mji Mkuu wa nchi hiyo, Tehran. Taarifa kutokea kwenye vyombo vya habari vya nchini Iran zinasema kuwa Dariush Mehrjui (83) na mkewe Vahideh Mohammadifar (54) aliyekuwa Mwandishi wa vitabu na...
  8. BARD AI

    Anayedaiwa kumwingizia Panga mkewe sehemu za siri akamatwa

    Jeshi la Polisi Mkoani Mtwara linamshikilia mkazi wa Kijiji cha Makong’onda, wilayani Masasi, Mkoa wa Mtwara, akituhumiwa kumpiga mkewe kisha kumuingizia panga sehemu za siri (njia ya haja kubwa) na kumsababishia majeraha. Akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 14, 2023; Kamanda wa...
  9. BARD AI

    Dar: Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kumuua mkewe

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salalam, iliyoketi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu, All Balanda Idofulo, kunyongwa hadi kufa, baada kupatikana na hatia ya kumuua mkewe, aitwaye Selan Kondo kwa kumchoma kisu begani. Hukumu hiyo imetolewa leo Jumanne Septemba 26, 2023 na Hakimu...
  10. BARD AI

    Mahakama yakubali mshtakiwa mauaji ya mkewe apimwe Afya ya Akili

    Upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Hamis Luoga anayekabiliwa na shtaka la mauaji ya mkewe, Naomi Marijani umeiomba Mahakama mshtakiwa huyo akapimwe afya ya akili. Wakili wa utetezi, Mohamed Majaliwa ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, mshtakiwa apelekwe Hospitali ya Isanga...
  11. 6 Pack

    Mwamba alivyojimaliza mwenyewe baada ya kugundua kuwa watoto aliezaa na mkewe sio wa kwake

    Aloo dunia ina mengi! Mwamba alianza kwa kunyanyua vyuma, mwili ukawa jumba na mtaani akawa anatisha. Vijana wakamuogopa na vichuchu vikampenda. Kazi alikuwa nayo nzuri tu, hivyo kila mchuchu alieingia chumbani kwake alihitaji aishi nae. Anyway jamaa kwa vile umri umesogea, ikabidi ateue...
  12. W

    Nilivyo sasa baada ya kumfuma mwamba akilia mbele ya wazee na mkewe ili asiachwe!

    Nimefadhaika, nimehuzunika, nimekasirika, nimeshangaa, nimechoka na nimekata tamaa kabisa!! Yaani jamaa analia 'live' mbele ya wazee waliokuja kusuluhisha mgogoro wao na mkewe ambaye anadai talaka aondoke.........analia huku amempigia magoti mkewe (huku wazee wakishuhudia) akimsihi asiondoke...
  13. Intelligent businessman

    Steve Harvey na mkewe wakanusha, tetesi za kuachana

    HARVEY: MIMI NA MKE MAMBO SUPA BULL BULL Mara baada ya kutawala kwa habari zakuachana na mkewe, Marjorie Harvey katika mitandao ya kijamii, mchekeshaji na mshauri wa mambo mbalimbali, Steve Harvey ameibuka na kusema kwamba yeye na mkewe mambo mazuri kama kawaida. Tetesi hizo ambazo zilianza...
  14. livewise1

    Steve Harvey hakuelewa somo la Hakimi

    Alikuwa mshauri wa mahusiano ya watu na kuponda wanaume kwamba hawajui kuwa-handle wanawake wao. Amesafiri na mkewe sehemu kibao, mapikiniki na mavisiwa huku akiweka caption za kuonesha mahaba mengi kwa bidada. Yamemkuta leo, amegongewa & maokoto anaporwa. Anatafuta mshauri sasa! Fear women of...
  15. R-K-O

    Boss wa GSM tajiri asie na maneno amfanyia mkewe birthday party nyumbani, haya ndiyo yaliyojiri

    sikukuu ya kuzaliwa MKE wa Tajiri wa makampuni ya GSM na Mdahamini Mkuu wa Klabu ya Yanga Birthday iilihudhuriwa na wanafamilia / ndugu wa karibu. Maua ni mengi sana yenye kuvutia, itakuwa yaliletwa na kontena mbili zawadi zenye brand kubwa na orignal, mambo ya christian Dior, dolce &...
  16. F

    Jirani yangu chumba cha pili akiwa na mkewe wakinaniliu lazima aangue kilio

    Nakaa huku uswahlini chumba hakina siling bodi na ukuta unaotenganisha chumba na chumba si mrefu kiasi unaweza ukaruka kuingia chumba cha pili Sasa hapa napokaa jirani wa chumba cha pili akitaka kufika mulima Meru lazma aangue kilio jamaa analia kilio cha kwikwi huwa nasikia mkewe anamwambia...
  17. funaku

    CANADA: Waziri Mkuu atalikiana na mkewe baada ya Miaka 18 ya ndoa

    Ndoa ya Waziri Mkuu wa Canada imefikia ukomo baada ya Miaka 18 toka ilipofingwa mwaka 2005. --- Justin Trudeau and his wife Sophie Gregoire-Trudeau have announced they are separating after 18 years of marriage. The Canadian prime minister, 51, said in an Instagram post that the decision was...
  18. King Kong III

    Botswana: Luteni wa Jeshi aua Mkewe na Mchepuko wake

    Umoufia Kwenu wana JF, Ofisa wa jeshi Mogomo Sepopa(35) kutoka Botswana ameua mkewe Bogolo Sepopa Jaone(34) na mchepuko wake Same Moapare kwa pamoja na kisha kuwashikilia mateka watu wawili. Mtuhumiwa alijisalimisha mwenyewe polisi na jana amesomewa mashtaka mawili ya mauaji yanayomkabili. He...
  19. BARD AI

    Askari ajiua kwa risasi baada ya kumjeruhi mkewe

    Askari Polisi mmoja aliyetambulika kwa jina la Michael Kyalo amejiua kwa kujipiga na risasi baada ya kumjeruhi mkewe kwa risasi huko Kaunti ya Bondo nchini Kenya mapema leo, Polisi wameripoti. Kamanda wa Polisi wa kaunti hiyo Ibrahim Kosi amesema afisa huyo aliyefariki, aliripoti kazini kama...
  20. Determinantor

    Mbunge wa CCM (Tabora) amdhalilisha mkewe hadharani

    Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi. Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana. Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues...
Back
Top Bottom