bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,371
- 24,606
Na uchungu sana.
Sababu ya ukengeufu wa maadili ndoa haziheshimiwi kabisa,watu wanapita tu ukiacha mlango wazi.
Watu Wana ndoa home wakienda makazini Wana ndoa zingine yaani ndoa juu ya ndoa.
Uhitaji kuumia utaacha wangapi wote wameoza.
Mtu akipita na mke / mme wako nawe pita na wake kwa uchawi au kwa pesa kisha hakikisha nyote wanne mmejuana ibakie Siri yenu hapo hakuna maumivu.
Usiende jela kisa mapenzi ni upumbavu. Dawa ya mchepukaji nawe mchepukie ajue.
Jana mme wa mtu kamdrop mke wake mahali kumbe pale mahali yupo mchepuko wake ambae nae ni mme wa mtu. Uchafu mtupi siku.
Maofisini ndio usiseme kabisa. Nilishagoma wife asinitambulishe ofisini kwao wala sijawahi enda na sitoenda unaweza enda ukawa unasanifiwa na wanaume wenzako.
Sababu ya ukengeufu wa maadili ndoa haziheshimiwi kabisa,watu wanapita tu ukiacha mlango wazi.
Watu Wana ndoa home wakienda makazini Wana ndoa zingine yaani ndoa juu ya ndoa.
Uhitaji kuumia utaacha wangapi wote wameoza.
Mtu akipita na mke / mme wako nawe pita na wake kwa uchawi au kwa pesa kisha hakikisha nyote wanne mmejuana ibakie Siri yenu hapo hakuna maumivu.
Usiende jela kisa mapenzi ni upumbavu. Dawa ya mchepukaji nawe mchepukie ajue.
Jana mme wa mtu kamdrop mke wake mahali kumbe pale mahali yupo mchepuko wake ambae nae ni mme wa mtu. Uchafu mtupi siku.
Maofisini ndio usiseme kabisa. Nilishagoma wife asinitambulishe ofisini kwao wala sijawahi enda na sitoenda unaweza enda ukawa unasanifiwa na wanaume wenzako.