Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,246
Itakumbukwa kwamba Lowassa ndiye aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kwanza kuteuliwa kwenye awamu ya Kikwete na baadaye kujiuzulu kwa kilichoitwa Kashfa ya RICHMOND.
Hapo awali 1995 wawili hao waliwahi kuunda Kolabo kabambe iliyopachikwa jina la "BOYS II MEN"