mjadala

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Elius W Ndabila

    JamiiForums Tanzania Kuelekea 2030 Katiba iwe ni mjadala wa kitaifa

    KUELEKEA MWAKA 2030 KATIBA UWE NI MJADALA WA KITAIFA. Ni mara chache sisi WanaCCM kujitokeza kuandika haya hadharani hasa Kwa kuwa misingi ya Chama chetu ni kusemana ndani. Lakini nineona hili leo niliseme hadharani ili kumuunga Mhe Rais kuendelea kulijenga Taifa. Ninatambua Makada wengi...
  2. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole kuongea Star Tv saa 3:30 usiku

    Nimealikwa na Star ⭐️ TV nimekubali kwa sharti moja kwamba Mjadala ujikite katika kujenga na kuweka mbele Maslahi Mapana ya Nchi yetu! NB: Ukitaka kujua NB ya leo fuatilia Star ⭐️ TV saa 3:30 Usiku na tutakuwa hewani pia! Mjuze na mwingine! https://t.co/HOoJjoCh4K
  3. J

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Clubhouse katika mjadala wa wazazi na walimu kuhusu kuwapa wanafunzi kazi za shuleni wakati wa likizo

    Baadhi ya Wachangiaji ndani ya JamiiForums wamezua Mjadala kuhusu 'Homeworks' nyingi wanazopewa Watoto toka Shuleni hasa kipindi cha likizo Ikiwa wewe ni Mzazi, Mlezi au Mwalimu ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika leo Desemba 2, 2021 kupitia Clubhouse. Kushiriki mjadala huu bonyeza...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Mjadala wa Haki ya Ulinzi wa Data binafsi kupitia Clubhouse ya JamiiForums

    Taarifa binafsi ni taarifa yoyote inayokutambulisha, iwe inahusiana na Maisha yako binafsi, Kitaaluma, au ya umma (Mfano: Majina, Namba za Simu, Anwani n.k) Ni mara ngapi umeshakutana na taarifa za Watu wengine katika Mazingira ambayo hukupaswa kukutana nazo? Kama ni mara nyingi, basi huenda...
  5. Anna Nkya

    JamiiForums Tanzania Mjadala wa Katiba Mpya ni ajenda ya Wanaotaka Madaraka, umekosa ushawishi

    Walianza na kile walichokiita Kongamano la Katiba. Kongamano lilikuwa linatawaliwa na bendera za CHADEMA, na kuonesha kwamab ni movement ya CHAMA wala haina uhalali na mashiko mbele ya Watanzania wengi. Halafu unakusanya watu, wanatoa maoni juu ya nini kiandikwe kwenye Katiba Mpya wakati huna...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri katika mjadala wa Wasiochanjwa katika Club House ya Jamiiforums tarehe 12/11/2021

    Utoaji wa Chanjo ya #COVID19 umekuwa ukihamasishwa kona zote za Dunia huku baadhi ya Nchi zikichukua hatua za kuweka Vikwazo kwa Watu ambao hawajapata Chanjo kurudi Maofisini, kusafiri au kushiriki shughuli za kijamii Wasiochanja wana sababu mbalimbali ambazo zinawapelekea kusitasita katika...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri katika Mjadala wa Club House ya JamiiForums: Nini kifanyikeili nchi ipate tija stahiki kutokana na misaada inayopata kutoka nje ya nchi?

    Mjadala wa leo katika Club House ya Jamiiforums unahoji "Nini kifanyikeili nchi ipate tija stahiki kutokana na misaada inayopata kutoka nchi za nje. Kujiunga na mjadala huu tafadhali gusa link hii hapa chini https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/LYWyFrn2/PQDz7y5w Mjadala umeanza...
  8. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri katika mjadala wa Usonji kwenye Clubhouse ya JamiiForums. Fahamu kwa kina maana, dalili zake na namna ya kukabiliana na tatizo hili

    Ungana nasi leo 29, Octoba 2021, Saa 12 Jioni usikilize na kuchangia kwenye mjadala unaohusu Usonji/ kupitia Clubhouse ya Jamii Forims. Kama una maswali, maoni au mapendekezo kuhusu Usonji unaweza kuyaweka hapa kwenye jukwaa na yatawasilishwa au unaweza kuja kuuliza mojamoja kwenye mjadala na...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Tufanye haya kutokomeza rushwa ya ngono vyuoni, Hili ni jambo mtambuka

    Naomba nianze kwa kusema yafuatayo; Jamii yetu inaugonjwa wa kusita kufanya maamuzi! Viongozi tumekuwa waoga kuanzisha kitu kipya kwa kuogopa kukosolewa! Taasisi tumekuwa watu wa kufanyakazi kwa hisia kuliko kutumia wataalam ili kuondoa changamoto! Mamlaka hatufanyi jambo likawa jambo hadi...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Ni fedhea Viongozi wa CCM kuandaa zoom meeting kuwajadili machinga. Ni Machinga gani ana muda wakuingia zoom kushiriki mjadala?

    Nimeana Zungu na wengine wameitisha mkutano kupitia Zoom kujadili kadhia ya machinga kuondolewa baadhi ya maeneo kwa lengo lakutaftiwa maeneo mengine. Swali ninalotaka kujiuliza, hiki kiburi cha hawa viongozi kwenda Zoom kuwajadili machinga wanakitoa wapi? Kwamba walishindwa kuwatetea Bungeni...
  11. Rutunga M

    JamiiForums Tanzania Degree ni karatasi tu, haisaidii lolote kiuchumi?

    Ndg. Asubuhi nimesikiliza mjadala wa saa 2 katika ile platform ya Clubhouse ya mindset transformation. Katika mjadala huo watu watatu wenye degree zaidi ya nne na mmoja mwenye PhD kwa kudai kuwa kupata degree is just a paper na kwamba katika maisha yao hazijawahi kuwasaidia lolote. Wamekwenda...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri katika mjadala wa huduma na changamoto za Saratani ya Watoto katika club house ya JamiiForums

    KUSHIRIKI MJADALA HUU TAFADHALI GUSA LINK HII HAPA CHINI https://www.clubhouse.com/event/xlyWAOzz Mjadala huu unamulika huduma ya saratani kwa watoto pamoja na changamoto mbalimbali. Baadhi ya mambo muhimu yaliyozungumziwa na wataalamu. Dkt. Shakilu: Saratani kwa Watoto haina tofauti kama...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Msemaji 'Huyu' Huwa anaenda maliwato kushangilia?

    Inaelezwa kuwa Ushabiki Wa hizi Klabu kubwa nchini ni Kama ngozi au Kabila la Mtu.Huwezi kubadili Kabila lako au asili Ya Ngozi Ya Mwili. Sasa Msemaji wetu inaelezwa Wakati Timu Ya Zanaco inaiadhibu timu Yake alionekana 'eti akicheka ndani ya Barakoa. Pia Matukio Yanayoendelea kuitokea timu...
  14. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Wema Sepetu azua mjadala, adai anapenda kupigwa na mwenza wake

    Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa muda mrefu nchini, @wemasepetu amedai aliwahi ahidiwa kutopigwa kwenye mahusiano kipindi anaanza mapenzi na mwanaume fulani ila hali ikabadilika na kiapo kikayeyuka akaanza kuchezea vitasa vya uhali gani mahabuba.👇 “Nakumbuka zamani wakati naanza mapenzi na...
  15. Civilian Coin

    JamiiForums Tanzania Sitashiriki shughuli yoyote ya Kisiasa Wala kuchangia mjadala wowote wa kisiasa

    Kwa miaka mingi nimejihusisha na siasa za TANZANIA nawala sijaona mafanikio yoyote Wala mabadiliko yoyote zaidi ni mauaji ya Kina Hamza na mengine mengi. Nimegundua Wanasiasa wa Tanzania wengi Ni mabogazi wako kimaslahi zaidi. DJ. DON NALIMISON nimeamua kukaa Kando Maisha yangu yote, sitajiunga...
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri JamiiForums Clubhouse kwenye Mjadala wa UVIKO-19, Umechanja au haujachanja? Nini mtazamo wako?

    Jamii Forums inakukaribisha kwenye Mjadala wa Ugonjwa wa UVIKO-19 na Waliopata Chanjo Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika Clubhouse leo Septemba 2, 2021 kuanzia Saa 11:30 jioni hadi saa 2:00 usiku Link: UVIKO-19: Mjadala wa waliopata Chanjo - JamiiForums ===== UPDATES: ===== =>...
  17. pakaywatek

    JamiiForums Tanzania Bunge linamjadili mtu kwa uchungu kuliko kujadili yanavyoumiza wananchi

    Ukifuatilia jinsi wabunge wanvyo mjadili mtu unashindwa kuelewa hawa wawakilishi walitumwa nini huko bungeni. Swala la tozo linaumiza mwananchi Hakuna hata wa kuligusia lakini ukisikia wanavyomjadili Silaa na Gwajima utafikiri ndo hayo waliomba kura wakayajadili huko bungeni.
  18. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Chanjo za Kupambana na Corona (COVID-19): Nini Maoni na Mtazamo wako?

    Je, COVID-19 ni nini? COVID-19 ni maambukizi yanayosababishwa na virusi vya Corona, virusi hivi ni sawa sawa na vile vinavyosababisha mafua ya kawaida tofauti na mafua, virusi vya corona vinaweza kuambukiza mwingine kabla hata ya huyo mtu hajaanza kuonesha dalili. Tofauti ni kwamba, watu wenye...
  19. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Tanzania mabosi wengi ni mabosi-suti, uwezo hakuna

    Kumekucha! Lengo la mjadala huu ni kuwafahamisha wanajamii kuwa wakati mwingine wasiwe na mategemeo makubwa saana juu ya utendaji wa viongozi wao. Wachukulie kawaida tu kwamba tunaenda kimungu-mungu. Lakini wajue moja ya sababu zinazotufanya tukwame kwa miaka mingi ni kuwa na watu wa namna hii...
  20. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kwa hukumu hizi; Je, Mahakama za Tanzania zinatumia Sheria tofauti ?

    Hebu angalia hukumu hizi mbili halafu toa maoni yako
Back
Top Bottom