Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,192
Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Unataka kusema jeKifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Watu wanaopendana sana huwa hivyo.Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Jadili kwa uhuruUnataka kusema je
USSR
...pengineWatu wanaopendana sana huwa ivo.
Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Jikite kwenye madaSukuma gang. Rejection/denial disorder itawaua. Kubalini tu kwamba mzimu wenu ushaenda. Sasa ukijadili ndiyo atafufuka?
Au unadhani Mzena hospital walitupatia mgomba yeye bado wamemficha?
Inafikirisha!Vilipangwa, mkakati, inner cycle, watu wa karibu, muhimu yote kuondelewa. Mfugale, kijazi, Waziri wa Majeshi,wote ilibidi wauliwe, Wafe.
Ili tuende sawa na mjadala huru, tujibu swali hili. Kwanini binadamu huzaliwa, huishi kwa kipindi Fulani na Kisha kufa?Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Unataka kusema je
USSR
COVID-19Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Hilo lipo bayana japokuwa halitufungi kuhoji vifo vyao hasa ikizingatiwa vilijawa na utataTuwaache wapumzike kwa amani
Utata uliouona ni upi?Hilo lipo bayana japokuwa halitufungi kuhoji vifo vyao hasa ikizingatiwa vilijawa na utata