Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 949
- 2,860
MJADALA MIAKA 60 YA UHURU WA TANZANIA,UTV
"Namuona Rais John Magufuli kama Mwalimu Julius Nyerere wa pili,kwa nini nasema hivi kwa sababu alikuwa na kila kitu alichokuwa nacho Mwalimu Julius Nyerere,alikuwa na uthubutu,Mimi mbele yangu nimeona akikataa hela za wenye hela zao akiwaambia sina shida na hela zenu,alikuwa Jasiri,Moyo wake wote aliuweka kuwatumikia Watanzania"-Dkt Slaa@Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania.
"Rais John Magufuli alikuwa mwanafunzi mzuri wa waasisi wa bara letu la Afrika,aliishi matarajio wa waasisi wetu,alijua maslahi ya Mwafrika na Mtanzania,Rais Magufuli ametuachia Legacy"- Dkt Bana@Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania.
"Rais John Pombe Magufuli alibeba matarajio na mategemeo yale tuliyoyategemea na tuliyoyatarajia baada ya Tanzania kupata Uhuru,kwa nini tulipigania kupata uhuru? watu walikuwa wamechoka kama tulivyoona kwenye Uchaguzi wa Mwaka 2015 ambapo Chadema walikuja na slogan ya Movement for Change na CCM nao wakaja na slogan yao Magufuli For Change"- Mh Shibuda@Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania.
"Namuona Rais John Magufuli kama Mwalimu Julius Nyerere wa pili,kwa nini nasema hivi kwa sababu alikuwa na kila kitu alichokuwa nacho Mwalimu Julius Nyerere,alikuwa na uthubutu,Mimi mbele yangu nimeona akikataa hela za wenye hela zao akiwaambia sina shida na hela zenu,alikuwa Jasiri,Moyo wake wote aliuweka kuwatumikia Watanzania"-Dkt Slaa@Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania.
"Rais John Magufuli alikuwa mwanafunzi mzuri wa waasisi wa bara letu la Afrika,aliishi matarajio wa waasisi wetu,alijua maslahi ya Mwafrika na Mtanzania,Rais Magufuli ametuachia Legacy"- Dkt Bana@Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania.
"Rais John Pombe Magufuli alibeba matarajio na mategemeo yale tuliyoyategemea na tuliyoyatarajia baada ya Tanzania kupata Uhuru,kwa nini tulipigania kupata uhuru? watu walikuwa wamechoka kama tulivyoona kwenye Uchaguzi wa Mwaka 2015 ambapo Chadema walikuja na slogan ya Movement for Change na CCM nao wakaja na slogan yao Magufuli For Change"- Mh Shibuda@Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania.