kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 4,297
- 8,294
Inaelezwa kuwa Ushabiki Wa hizi Klabu kubwa nchini ni Kama ngozi au Kabila la Mtu.Huwezi kubadili Kabila lako au asili Ya Ngozi Ya Mwili. Sasa Msemaji wetu inaelezwa Wakati Timu Ya Zanaco inaiadhibu timu Yake alionekana 'eti akicheka ndani ya Barakoa.
Pia Matukio Yanayoendelea kuitokea timu yake kama la Kutolewa Mapema Michuano Ya CAF 'eti' yanamkosha sana, huwa anazuga kuelekea Maliwato ambapo lengo ni kusherehekea na kushangilia Kilichotokea pasi kuonekana.
Tujadiliane hili lina Ukweli kiasi gani..Linawezekana? Wadau embu tutiririke..
Pia Matukio Yanayoendelea kuitokea timu yake kama la Kutolewa Mapema Michuano Ya CAF 'eti' yanamkosha sana, huwa anazuga kuelekea Maliwato ambapo lengo ni kusherehekea na kushangilia Kilichotokea pasi kuonekana.
Tujadiliane hili lina Ukweli kiasi gani..Linawezekana? Wadau embu tutiririke..