mawazo

  1. Analogia Malenga

    Utafiti: Mashabiki kindakindaki wa mpira huwa hatarini kupata msongo wa mawazo

    Mashabiki kindakindaki wa mpira wa miguu hupata msongo wa mawazo wanapokuwa wakitazama timu zao, wanaweza kujiweka hatarini kupata mshtuko wa moyo, utafiti umeeleza. Utafiti uliofanywa Oxford ulipima mate ya mashabiki wa Brazil wakati walipoweka historia ya kushindwa walipocheza na Ujerumani...
  2. Melanny

    Ni biashara gani unaweza kufanya ikawa inakuingizia kipato na huku umeajiriwa

    Nina imani wengi tumeajiriwa ila tunatamani kuongeza kipato zaidi. Naomba tuchangieni biashara ipi tunaweza fanya tukiwa kazini. Kwa mimi kazi ambayo naweza fanya nikiwa kazini ni za kuuza bidhaa online na baadae nikitoka mida ya saa kumi nafanya delivery. Je, wewe unafanya ishu gani na huku...
  3. Sky Eclat

    Msaada wenu wa mawazo tafadhali, Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda

    Nilikutana na mume wangu wote tukiwa 30+. Nilishakuwa na kwangu tofauti yangu na mwenzangu yeye anaishi kwao ingawa yeye ndiye alijenga nyumba. Kama mwanaume aliyeoa anataka niishi kwao. Hataki kuingilia vitu alivyonikuta navyo. Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda, ninatamani tununue...
  4. K

    Mapendekezo ya nini cha kufanya Wizara ya Afya

    Mapendekezo ya cha kufanya Wizara ya Afya Niweke wazi tu kabla ya yote kuwa mimi kwa miaka zaidi ya 10 sasa nimekuwa nikifanya kazi kama consultant kwenye kampuni za Afya. Mwaka wa uchaguzi nitatumia muda kutoa mawazo yangu kwenye sehemu na wizara tofauti. Nianze na machache kwenye Afya Mfumo...
  5. Jakamoyo msoga

    Ushauri kwa Diamomd: Jitahidi uanzishe redio na Tv yako kabisa ili mzee huyo akikuchoka usipatwe na msongo wa mawazo

    Kuwa mjanja mdogo wangu. Utatumiwa sana kwakuwa ni maarufu uendeshe faida kwenye kituo cha watu halafu akipata mbinu nyingine anaku-dump. Kuwa makini Diamond.
  6. maganjwa

    Watumishi wa umma mje hapa tubadilishane mawazo kuhusu harakati za kimaisha

    Kwanza nawapa pole kwa yanayoendelea nikiwepo mimi mwenyewe. Lengo la uzi huu ni kutafuta namna mbadala nje ya kazi zetu. Mimi nimekuwa na kabiashara kangu na huko ndo nguvu zangu iliko kwa wingi maana ndiyo kazi inayoniweka mjini naonekana mtu. Pili nawaomba tusiwaze sana kwamba sijui...
  7. Rajesi

    Naombeni msaada wa mawazo kuhusu kozi hizi

    Naombeni ushauri kati ya hizi kozi. Ni kozi ipi ambayo ipo marketable ukimaliza masomo: - Law - Journalism - Public administration - Social Work Naombeni ushauri wenu hapo wakuu.
  8. S

    Uchaguzi CHADEMA: Anthony Komu ataka Mbowe apishe uenyekiti

    Uchaguzi wa ndani CHADEMA Wabunge na Mameya CHADEMA wamuunga mkono Mbunge wa jimbo la Ndanda Mhe Cecil David Mwambe kuchukua fomu ya uenyekiti wa CHADEMA taifa kumrithi Mbowe. Kwa taarifa kutoka moja ya wabunge wanaomuunga mkono anasema wamemchangia shilingi milioni 25. Anasema katika kikao...
  9. IBRA wa PILI

    Nina mtaji wa milioni 1.5 nataka kufungua biashara hii, wazoefu nahitaji mawazo yenu

    Salute wakuu, Baada ya kutulia na kufikiri sana, nikapata wazo la kufungua biashara ya vitu vya electronics sijui kama nipo sahihi. Vitu hivyo ni kama: Flash drive Memory card USB wire Charger Card reader Power bank Min speaker Bluetooth earphone Hair cutting machine External and Internal...
  10. I

    Lile shamba nililokuwa nauza hatimaye nimefikia hapa

    Habari wapendwa, Poleni na majukumu kunakipindi nilikutana na changamoto flani nikataman niuze baadhi ya vitu kimoja wapo lilikuwa ni shamba langu lile la Kilosa. Nashukuru Mungu sikupata mteja maana bei nilio kuwa nauza na ninacho kiona sasa nilikuwa nauza bei sawa na bure. 1. Zao la ufuta...
  11. Analogia Malenga

    Mawazo ya Kezilahabi kuhusu maisha

    “Maisha ni kama mkufu, unachukua kipande hiki na hiki unaviunganisha, kipande kikikataa kiache kitamfaa mtu mwingine...” Mzingile. Falsafa ya maisha kwa muono wa Kezilahabi, hauna tofauti na wanafalsafa walio wengi, lakini muono wake upo kwenye kujifunza, take that which works for you! Kwa kuwa...
  12. Analogia Malenga

    Mawazo ya Kezilahabi juu ya usomaji wa vitabu

    ''..ulianza lini kutoamini…” “nilipoanza kusomasoma na kusitasita” Nagona Kezilahabi, ni mtu anayeona umuhimu wa kujisomea vitabu, katika kila kitabu chake lazima akupe picha ya mtu kusoma kitabu. Na namna mtu husika anavyobadili fikra zake kupitia usomaji wa vitabu. Katika hii dunia, watu...
  13. Roving Journalist

    Amnesty International and Human Rights Watch: Hali ya ukandamizaji wa vyombo vya habari, watetezi wa haki za binadamu na vyama vya upinzani waongezeka

    AMNESTY INTERNATIONAL HUMAN RIGHTS WATCH TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Ukandamizaji wa vyombo vya habari, watetezi wa haki za binadamu na vyama vya upinzani umeongezeka tangu mwaka 2015, zinasema ripoti mbili tofauti za mashirika ya Amnesty International na Human Rights Watch zilizotolewa leo...
  14. Analogia Malenga

    Mawazo ya Prof. E Kezilahabi kuhusu siasa za Ujamaa

    Kezilahabi amekuwa ni msomi wa zile enzi za Vita baridi (Cold war) wakati ambao wasomi wengi wa afrika walikuwa upande wa UJAMAA, japo baadhi waliamini hawafungamani na upande wowote. Kutokana na vita ile vijana wengi wa Tanzania na wanaharakati wa enzi hizo walijivika ujamaa kiitikani kuanzia...
  15. idawa

    Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

    Waziri wa Nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza kuwaruhusu wagombea wote waliochukuwa fomu na kuzirejesha kwa ajili ya kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini Tanzania Novemba 24, 2019 wanaruhusiwa kushiriki uchaguzi huo...
  16. Azizi Mussa

    Suala la kisera: Utashi wa kisiasa na mawazo ya umma vinapokutana, tatizo kubwa linalotukabili linaweza kupata ufumbuzi

    Kuna baadhi ya changamoto kubwa zinazotukabili ambazo, ili zipate ufumbuzi; inabidi ifike mahali maoni ya umma yakutane na utashi wa kisiasa na hapo jambo linaweza kutokea na kuleta mabadiliko makubwa. Moja ya changamoto tunayoweza kuizungumzia kwa leo ni; Suala la ukosefu wa ajira kwa vijana...
Back
Top Bottom