CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,935
- 22,919
Unajua kuna watu huwa nawakutaga wanasema mimi mpira wa BONGO siangaliii kabisa,ukimuuliza kwanini haangaliii Atakupa sababu za ajabu ajabu tena za kijinga jinga zisizo hata na maana yeyote Huwa nawambia watu wa namna hiyo kuwa "nyie mpira sio fani yenu na wala haupo kwenye damu" hivyo visingizio vyenu ni blah blah tu ambazo kamwe siwezi zielewa maana ukitaka
Kujua wapenda mpira wa ukweli wale wenye mpira wao kwenye damu,ukimkata na wembe damu yke inachuruzika vimipira vidogo vidogo Yeye hata iwe ndondo cup,asikie watoto wa mtaani, asikie mbuzi cup,asikie chochote kinachohusiana na mpira Utampiga utamuua ila lazima Aende kushangaaa na kuangalia haijalishi mpira unachezewa juu ya mawe,haijalishi mpira ni wa makaratasi,haijalishi refayupoje,ilimradi huo mchezo unaitwa "Mpira wa Miguuu" lazima utamuona eneo la tukio.Wael wengine wapenda premier League sjui laliga (tuachane nao)
Nimeanza na mfano mrefu kidogo ila sasa point yangu iko hapa,katika biashara Kuna wafanyabiashara dam dam na kuna wafanyabiashara Fata upepo,kuna wale wafanyabiashara yeye anafanya biashara kwasababu baba/mama/ndugu anafanya biashara au kwasababu ana mtaji tu wa biashara,Hawa wafanya biashara kisa wana mitaji tu ya biashara flani kwa sasa hivi ndio tunao wengi ktk jamiii kuliko wale wafanya biashara Dam Dam.
Hawa wafanyabiashara wenye mitaji ndio ma ninja/komandoo wa kukatisha wengine tamaa kuhusu biashara flani au kitu flani walichowahi kukifanya kabla halafu kikawabumia au wakatoka kapa bila kuambulia faida yyte.Wafanyabiashara hawa kwa kua biashara si asili yao wao wapo kwenye biashara kupata FaidA TU LKN HAWAFANYI BIASHARA KAMA passion iliyo ndani mwao.
Inapotokea sasa kafungua/anzisha biashara halafu ika dead kifo cha mende,Baadae ukaenda mfata ukamuomba ushauri kuhusu biashara ile ile aliyo feli asee atakuvunja moyo,maini,firigisi yani atakusaga saga kama lile limashine la kushindilia udongo huko road,kamwe hatoruhusu uifanye hiyo biashara.
Yeye ktk biashara yeyote anaamini "PESA" ndio kila kitu,ikatokea ukamwambia nataka nifungue Mama ntilie,nina mtaji wa laki 3 Kwanza kabla hajakwambia kitu atakuuliza mara mbili mbili hivi umesema una laki 3 au milioni 3? maana yake hiyo laki 3 yko kwa hesabu zake ni hela ya Vijiko TU yani yeye mawazo yake ukimwambia mama ntilie "anavuta picha haraka haraka ya classic mama ntilie anaemjua town"
Hata siku moja hanaga Kumpa moyo mtu mwenye mtaji mdogo afanye kile alichokitaka kwa mtaji wake ule ule,Hawa ni wazee wapeperusha mawazo ya wenzao.Hawa hata siku moja hatokaa akwambie kwanini yeye anakwambia usifanye biashara flani,yeye alifeli wapi? Muulize yeye alipofeli Hatokaa akwambie hata siku 1 n wazee wakujiekea self defence eneo hilo point atakazokushukia yani huwezi kukumbuka hata kumuuliza hilo swali wanajiita ma EXPERT wa hiyo business unayotaka kuifanya wewe sasa hivi.
Umeshawahi kukutana na ninja/komando anakwambia "Mimi kilimo sifanyi bora niokote makopo" tena nilime nyanya mimi au mpunga,nk nk,Yule mwingine anakwambia yani mimi Biashara ya Pesa sjui tigo pesa/mpesa/takataka za namna hiyo kuliko nifanye hiyo biashara bora nikagawe hela yangu au
Ushawahi kukutana na mtu anakwambia Mimi Forex shubaaamit sifanyi huo upupu Nishaifanya sana utaniambia nn kuhusu forex mimi, au Kuna wale wengine anakwambia mimi kuku wa kisasa kufuga sifanyi huo ujinga huniambii kitu kuhusu kuku wa kisasa, au mwingine anakwambia kuliko ununue Boda Boda umpe mtu alete hesabu Bora hela yako ukanunue TOTOZ upge one night stand.
Utamsikia mtu anakwambia Mimi biashara za ONLINE sifanyi n bora nilale nipate Afya nijue moja,nknk yani Hawa ma ninja/komando wana list nyingi sana za biashara ambazo wamezifanya zikawapiga kubung kabang,sasa usijiloge ukawaomba ushauri kuhusu hizo biashara,Utajuta. Kasoro yao 1 kubwa "hawa kwa kua pesa wanazo,ni mabingwa wa kuiga idea za wengine.Kuwa makini nao.
Halafu Upande huu mwingine sasa Kuna wale wafanya biashara wengine ambao ukimkata damu yake,damu inayotoka ni majina ya biashara tu,kuuza mishkaki,mahindi,pweza,duka la nguo,showrooms,nk nk yani hawa watu bwana biashara ndio uwanja wao wa nyumbani "msamiati wa Kushindwa hawana" kama unataka kuanza biashara au kuwa na rafiki mfanya biashara nakushauri tafuta aina ya wafanyabiashara kama hawa,ukitaka ushauri wafate hawa
Ukitaka kujua chakufanya wafate hawa na ukitaka wajua hawa n rahisi sana,Unaweza ukawa unataka ushauri wa biashara ambayo yeye aliifanya akafeli,Ukimfata huyu mfanyabiashara tuseme unataka kununua boda boda yeye alishanunuaga zikaibiwa zote,ila wakati anakushauri kwanza utamsikia akikupongeza kwa kuweza kujua Hela Ilipo,kisha utaanza msikia akikwambia Nini ufanye ili upate faida ili usiibiwe boda boda zako
Yani ataangalia loop holes zake huko nyuma halafu atakwambia wewe ili utakapoingia isitokee ukaanguka kama yeye,na mara nyingi hawa watu wakati mnapga story utamskia akikwambia,Yani ikatokea mtu akanipa 5M ntaenda kutungua BOXER mbili zote nawapa mkataba watu,yani anakwambia hvyo kukuonyesha hata yeye soon akipata pesa
Atakuja kufanya tena hiyo biashara pamoja na kwamba alifeli/alifelishwa,hawa n wafanyabiashara ambae akikwambia Kitu flani usifanye kweli usifanye,na mara nyingi ya vitu ambavyo hawawezi kukushauri ufanye ni Biashara Haramu tu,hawa wafanyabiashara hamna biashara atakwambia eti usifanye,labda tu hatokushauri ufanye kutokana na hali yako/familia yako/majukumu yako/nk nk
Chagua Mtu sahihi wa kumuomba ushauri ktk kile unachotaka/tamani kukifanya ktk biashara,sio kila mfanyabiashara ni Mfanyabiashara wengine wanafanya biashara kwasababu wana pesa za kufanya hizo biashara.
Kujua wapenda mpira wa ukweli wale wenye mpira wao kwenye damu,ukimkata na wembe damu yke inachuruzika vimipira vidogo vidogo Yeye hata iwe ndondo cup,asikie watoto wa mtaani, asikie mbuzi cup,asikie chochote kinachohusiana na mpira Utampiga utamuua ila lazima Aende kushangaaa na kuangalia haijalishi mpira unachezewa juu ya mawe,haijalishi mpira ni wa makaratasi,haijalishi refayupoje,ilimradi huo mchezo unaitwa "Mpira wa Miguuu" lazima utamuona eneo la tukio.Wael wengine wapenda premier League sjui laliga (tuachane nao)
Nimeanza na mfano mrefu kidogo ila sasa point yangu iko hapa,katika biashara Kuna wafanyabiashara dam dam na kuna wafanyabiashara Fata upepo,kuna wale wafanyabiashara yeye anafanya biashara kwasababu baba/mama/ndugu anafanya biashara au kwasababu ana mtaji tu wa biashara,Hawa wafanya biashara kisa wana mitaji tu ya biashara flani kwa sasa hivi ndio tunao wengi ktk jamiii kuliko wale wafanya biashara Dam Dam.
Hawa wafanyabiashara wenye mitaji ndio ma ninja/komandoo wa kukatisha wengine tamaa kuhusu biashara flani au kitu flani walichowahi kukifanya kabla halafu kikawabumia au wakatoka kapa bila kuambulia faida yyte.Wafanyabiashara hawa kwa kua biashara si asili yao wao wapo kwenye biashara kupata FaidA TU LKN HAWAFANYI BIASHARA KAMA passion iliyo ndani mwao.
Inapotokea sasa kafungua/anzisha biashara halafu ika dead kifo cha mende,Baadae ukaenda mfata ukamuomba ushauri kuhusu biashara ile ile aliyo feli asee atakuvunja moyo,maini,firigisi yani atakusaga saga kama lile limashine la kushindilia udongo huko road,kamwe hatoruhusu uifanye hiyo biashara.
Yeye ktk biashara yeyote anaamini "PESA" ndio kila kitu,ikatokea ukamwambia nataka nifungue Mama ntilie,nina mtaji wa laki 3 Kwanza kabla hajakwambia kitu atakuuliza mara mbili mbili hivi umesema una laki 3 au milioni 3? maana yake hiyo laki 3 yko kwa hesabu zake ni hela ya Vijiko TU yani yeye mawazo yake ukimwambia mama ntilie "anavuta picha haraka haraka ya classic mama ntilie anaemjua town"
Hata siku moja hanaga Kumpa moyo mtu mwenye mtaji mdogo afanye kile alichokitaka kwa mtaji wake ule ule,Hawa ni wazee wapeperusha mawazo ya wenzao.Hawa hata siku moja hatokaa akwambie kwanini yeye anakwambia usifanye biashara flani,yeye alifeli wapi? Muulize yeye alipofeli Hatokaa akwambie hata siku 1 n wazee wakujiekea self defence eneo hilo point atakazokushukia yani huwezi kukumbuka hata kumuuliza hilo swali wanajiita ma EXPERT wa hiyo business unayotaka kuifanya wewe sasa hivi.
Umeshawahi kukutana na ninja/komando anakwambia "Mimi kilimo sifanyi bora niokote makopo" tena nilime nyanya mimi au mpunga,nk nk,Yule mwingine anakwambia yani mimi Biashara ya Pesa sjui tigo pesa/mpesa/takataka za namna hiyo kuliko nifanye hiyo biashara bora nikagawe hela yangu au
Ushawahi kukutana na mtu anakwambia Mimi Forex shubaaamit sifanyi huo upupu Nishaifanya sana utaniambia nn kuhusu forex mimi, au Kuna wale wengine anakwambia mimi kuku wa kisasa kufuga sifanyi huo ujinga huniambii kitu kuhusu kuku wa kisasa, au mwingine anakwambia kuliko ununue Boda Boda umpe mtu alete hesabu Bora hela yako ukanunue TOTOZ upge one night stand.
Utamsikia mtu anakwambia Mimi biashara za ONLINE sifanyi n bora nilale nipate Afya nijue moja,nknk yani Hawa ma ninja/komando wana list nyingi sana za biashara ambazo wamezifanya zikawapiga kubung kabang,sasa usijiloge ukawaomba ushauri kuhusu hizo biashara,Utajuta. Kasoro yao 1 kubwa "hawa kwa kua pesa wanazo,ni mabingwa wa kuiga idea za wengine.Kuwa makini nao.
Halafu Upande huu mwingine sasa Kuna wale wafanya biashara wengine ambao ukimkata damu yake,damu inayotoka ni majina ya biashara tu,kuuza mishkaki,mahindi,pweza,duka la nguo,showrooms,nk nk yani hawa watu bwana biashara ndio uwanja wao wa nyumbani "msamiati wa Kushindwa hawana" kama unataka kuanza biashara au kuwa na rafiki mfanya biashara nakushauri tafuta aina ya wafanyabiashara kama hawa,ukitaka ushauri wafate hawa
Ukitaka kujua chakufanya wafate hawa na ukitaka wajua hawa n rahisi sana,Unaweza ukawa unataka ushauri wa biashara ambayo yeye aliifanya akafeli,Ukimfata huyu mfanyabiashara tuseme unataka kununua boda boda yeye alishanunuaga zikaibiwa zote,ila wakati anakushauri kwanza utamsikia akikupongeza kwa kuweza kujua Hela Ilipo,kisha utaanza msikia akikwambia Nini ufanye ili upate faida ili usiibiwe boda boda zako
Yani ataangalia loop holes zake huko nyuma halafu atakwambia wewe ili utakapoingia isitokee ukaanguka kama yeye,na mara nyingi hawa watu wakati mnapga story utamskia akikwambia,Yani ikatokea mtu akanipa 5M ntaenda kutungua BOXER mbili zote nawapa mkataba watu,yani anakwambia hvyo kukuonyesha hata yeye soon akipata pesa
Atakuja kufanya tena hiyo biashara pamoja na kwamba alifeli/alifelishwa,hawa n wafanyabiashara ambae akikwambia Kitu flani usifanye kweli usifanye,na mara nyingi ya vitu ambavyo hawawezi kukushauri ufanye ni Biashara Haramu tu,hawa wafanyabiashara hamna biashara atakwambia eti usifanye,labda tu hatokushauri ufanye kutokana na hali yako/familia yako/majukumu yako/nk nk
Chagua Mtu sahihi wa kumuomba ushauri ktk kile unachotaka/tamani kukifanya ktk biashara,sio kila mfanyabiashara ni Mfanyabiashara wengine wanafanya biashara kwasababu wana pesa za kufanya hizo biashara.