Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
1. Una miaka mitano mshahara wako serikalini ni ule ule aliouacha JK
2. Una madai yako serikali na huu ukiwa ni mwaka wa tano hujalipwa na wala juju utalipwa lini
5. Kila mwisho wa mwezi unakatwa asilimia 15 ya mishahara wako kulipa mkopo wa Bodi ya Mikopo
6. Una mzee wako kastaafu huku hajui ni lini atalipwa mafao take.
7. Una mazao yako huko kijijini hayana soko
8. Una watoto au wajukuu kadhaa nyumbani Kwako wamehitimu vyuo na hawana ajira na pa kuwapeleka hunan
9. Una gari lako la mkopo lakini unalazimika kuliacha nyumbani kisa mifukoni kumechacha
10. Unakatiza kwenye daraja la juu huku nawazo kulipa kodi ya nyumba inayoongezeka wakati mishahara wako umegota kwa miaka mitano sasa
11. Au unapita kwenye daraja la juu pale Ubungo huku mikopo ya kibiashara uliokopo hailipki
12. Au unakatiza pale Ubungo interchange ili uende kuhudhuria mkutano wa kisiasa wa chama upinzani huku una hofu ya kukamatwa
13. Au unaona SGR inajengwa wakati huo bei ya mfuko wa saruji haishikiki
14. Au unaona Bwawa la Umeme linajengwa wakati uwezo wako wa ku-invest unashuka au unalazimika kufunga biashara zako kutokana kushindwa kulipa kodi
15. Unapita pale kwenye Ubungo interchange huku unajiuliza nikiacha hii kazi mafao ya kujitoa ni mpaka nifikishe miaka 55 huku ukiwa na miaka 40 au 35 leo hii
Hakika yataka moyo na zaidi kujitoa akili kuridhika na hali hii.
2. Una madai yako serikali na huu ukiwa ni mwaka wa tano hujalipwa na wala juju utalipwa lini
5. Kila mwisho wa mwezi unakatwa asilimia 15 ya mishahara wako kulipa mkopo wa Bodi ya Mikopo
6. Una mzee wako kastaafu huku hajui ni lini atalipwa mafao take.
7. Una mazao yako huko kijijini hayana soko
8. Una watoto au wajukuu kadhaa nyumbani Kwako wamehitimu vyuo na hawana ajira na pa kuwapeleka hunan
9. Una gari lako la mkopo lakini unalazimika kuliacha nyumbani kisa mifukoni kumechacha
10. Unakatiza kwenye daraja la juu huku nawazo kulipa kodi ya nyumba inayoongezeka wakati mishahara wako umegota kwa miaka mitano sasa
11. Au unapita kwenye daraja la juu pale Ubungo huku mikopo ya kibiashara uliokopo hailipki
12. Au unakatiza pale Ubungo interchange ili uende kuhudhuria mkutano wa kisiasa wa chama upinzani huku una hofu ya kukamatwa
13. Au unaona SGR inajengwa wakati huo bei ya mfuko wa saruji haishikiki
14. Au unaona Bwawa la Umeme linajengwa wakati uwezo wako wa ku-invest unashuka au unalazimika kufunga biashara zako kutokana kushindwa kulipa kodi
15. Unapita pale kwenye Ubungo interchange huku unajiuliza nikiacha hii kazi mafao ya kujitoa ni mpaka nifikishe miaka 55 huku ukiwa na miaka 40 au 35 leo hii
Hakika yataka moyo na zaidi kujitoa akili kuridhika na hali hii.