kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,030
- 2,926
Nimemaliza chuo muda (2016) kidogo, nimesota sana kupata ajira, nimesota sana mpaka nilifikia kukata tamaa ya maisha, Mungu mkubwa mwaka jana mwezi wa 5 nikaja kupata kazi kwenye mradi mmoja hivi, kutokana na mapito ya kukosa kazi na kuangaika mtaani, nilijichanga mnooo mnoo nilijichanga kupita maelezo na sikutaka kupoteza hata sent tano kijinga.
Mwishoni nimefikisha kiasi cha sh Milion 10 cash.
Sina uzoefu na biashara kiukweli kabisa
Nina kiwanja kipo Dar (kama asset yangu nilikinunua nikiwa chuo kwa bumu), natamani sana nijenge (napenda sana sana nyumba)
Naombeni ushauri wenu; ni biashara gani nikifanya kwa siku naweza kulaza sh elfu 50 kama faida kupitia hiyo pesa milion 10 (naombeni ushauri wenu uwe mzuri mkuu maana hii ela ikipotea pasipo kupiga atua naweza kufa kwa pressure maana nimeipata kwa tabu mnoo)
Maeneo ya kimakazi ni mawili Dar es Salaam pamoja na Mwanza.
Karibuni kwa ushauri.
Mwishoni nimefikisha kiasi cha sh Milion 10 cash.
Sina uzoefu na biashara kiukweli kabisa
Nina kiwanja kipo Dar (kama asset yangu nilikinunua nikiwa chuo kwa bumu), natamani sana nijenge (napenda sana sana nyumba)
Naombeni ushauri wenu; ni biashara gani nikifanya kwa siku naweza kulaza sh elfu 50 kama faida kupitia hiyo pesa milion 10 (naombeni ushauri wenu uwe mzuri mkuu maana hii ela ikipotea pasipo kupiga atua naweza kufa kwa pressure maana nimeipata kwa tabu mnoo)
Maeneo ya kimakazi ni mawili Dar es Salaam pamoja na Mwanza.
Karibuni kwa ushauri.