TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 929
- 1,276
Wakuu habari zenu, kutokana na uzoefu nilioupata kutokana na kupeleka watu machimbo ya maeneo ya biashara, nimeweza kugundua biashara nyingi za kawaida tu, zikiwa na faida nzuri tu, sasa nataka kuandika kitabu ambacho kitakuwa na mambo yafuatayo.
AINA YA BIASHARA: Hapa nitafafanua aina za biashara mbali mbali za mitaji midogo na zenye faida kubwa au faida nusu kwa nusu, pia biashara za mitaji ya Kati na faida zake.
MACHIMBO YA HIZO BIASHARA: Hizo biashara ni wapi utapata kwa Bei rahisi, ubora wa hizo biashara na aina nyingine za utapeli kwenye machimbo ya biashara.
BEI ZA MANUNUZI NA FAIDA YAKE: Nitafafanua hizo biashara Bei zake, manunuzi, na faida utakayopata.
MAWASILIANO AU DIRECTION YA MACHIMBO: nitaweza kuwapatia mawasiliano ya machimbo husika ya biashara,kwa maana unaongea moja kwa moja na muhusika mkuu na kuweza kupanga mipango,hata Kama upo mkoani atakutumia.
KUKUUNGANISHA NA MFANYABISHARA ANAYEUZA REJA REJA: Hapa nakusudia kuweza kukupa mawasiliano ya mmachinga anayeuza reja reja juu ya biashara unayohitaji kuifanya ili kuweza kupata uzoefu na changamoto.
KUKUPA CHANGAMOTO NA MAFANIKIO YA HIZO BISHARA: Hapa nitaweza kukueleza changamoto juu ya hizo biashara na fursa zake, kifupi nitafanya utafiti wa kutosha juu ya bisahara husika.
BEI YA KUUZA KITABU: Sitouza kwa hard copy, nawaza niuze kwa soft copy kupunguza gharama kwa wateja, ili masikini Kama mimi aweze kupata mawazo ya biashara.
JE NIUZE BEI GANI?? Bei ni 2000 au mnasemaje wadau maana lengo ni kusaidiana tu, nipate hata pesa ya maji tu. Si mnajua mizunguko ya kufanya utafiti sio mchezo.
HUDUMA YA ESCORT: Hapa atakayenunua kitabu na kuona kuwa bado anapata ugumu wa kutenda, nitampa huduma ya escort kuanzia mwanzo hadi mwisho.
MENGINEYO: Kama kuna kipengele nitakuwa nimekisahau au unataka nikiongeze naomba mchango wako, lengo ni kuboresha ili mtu apate mwanga zaidi.
NB: Naomba ushirikiano wenu kwa michango ya ushauri ili niweze kufanikisha jambo hili, wafuatao nawahimiza Sana na pia nitawatafuta nisikie maoni yao, GLOBAL CITIZEN na wengine.....
AINA YA BIASHARA: Hapa nitafafanua aina za biashara mbali mbali za mitaji midogo na zenye faida kubwa au faida nusu kwa nusu, pia biashara za mitaji ya Kati na faida zake.
MACHIMBO YA HIZO BIASHARA: Hizo biashara ni wapi utapata kwa Bei rahisi, ubora wa hizo biashara na aina nyingine za utapeli kwenye machimbo ya biashara.
BEI ZA MANUNUZI NA FAIDA YAKE: Nitafafanua hizo biashara Bei zake, manunuzi, na faida utakayopata.
MAWASILIANO AU DIRECTION YA MACHIMBO: nitaweza kuwapatia mawasiliano ya machimbo husika ya biashara,kwa maana unaongea moja kwa moja na muhusika mkuu na kuweza kupanga mipango,hata Kama upo mkoani atakutumia.
KUKUUNGANISHA NA MFANYABISHARA ANAYEUZA REJA REJA: Hapa nakusudia kuweza kukupa mawasiliano ya mmachinga anayeuza reja reja juu ya biashara unayohitaji kuifanya ili kuweza kupata uzoefu na changamoto.
KUKUPA CHANGAMOTO NA MAFANIKIO YA HIZO BISHARA: Hapa nitaweza kukueleza changamoto juu ya hizo biashara na fursa zake, kifupi nitafanya utafiti wa kutosha juu ya bisahara husika.
BEI YA KUUZA KITABU: Sitouza kwa hard copy, nawaza niuze kwa soft copy kupunguza gharama kwa wateja, ili masikini Kama mimi aweze kupata mawazo ya biashara.
JE NIUZE BEI GANI?? Bei ni 2000 au mnasemaje wadau maana lengo ni kusaidiana tu, nipate hata pesa ya maji tu. Si mnajua mizunguko ya kufanya utafiti sio mchezo.
HUDUMA YA ESCORT: Hapa atakayenunua kitabu na kuona kuwa bado anapata ugumu wa kutenda, nitampa huduma ya escort kuanzia mwanzo hadi mwisho.
MENGINEYO: Kama kuna kipengele nitakuwa nimekisahau au unataka nikiongeze naomba mchango wako, lengo ni kuboresha ili mtu apate mwanga zaidi.
NB: Naomba ushirikiano wenu kwa michango ya ushauri ili niweze kufanikisha jambo hili, wafuatao nawahimiza Sana na pia nitawatafuta nisikie maoni yao, GLOBAL CITIZEN na wengine.....