mawazo

  1. A

    Wakuu nahitaji msaada wenu wa mawazo

    Habari za wakati huu wapendwa, Nipo hapa kuomba msaada wa kimawazo. Mwenza wangu anakaribia kujifungua na amebakiza almost wiki kama5 tu. Clinick tumekuwa tukiattend pale Agakhan hospital ila tulivoulizia gharama za kujifungua tumeambiwa zinaweza kufikia hadi millioni6 au 7 in case kama kuna...
  2. Abdalah Abdulrahman

    Mawazo mchanganyiko juu ya namna ya kukabili changamoto ya ajira kwa vijana

    Nchi nyingi duniani zinakabiliwa na janga la ukosefu wa ajira kwa vijana, mfano nchi ya Nigeria ambayo nusu ya watu wake ni vijana wenye umri kati ya miaka 15-35 inakabiliwa na ukosefu wa ajira ya zaidi ya vijana 11.1 milioni. Halikadhalika nchi za Afrika ya Kusini, Kenya, Uganda na zingine...
  3. JOESKY

    Mwaka mwingine mawazo mengine

    Habari za majukumu ndugu wanajukwaa? Mimi napenda kufahamu zile decent websites za kuomba kazi nchi za nje kama Norway, Sweeden, Canada, Turkey, Holland, Malta, Nk. pia napenda kufahamu kwa wale tusio na elimu tunaotarajia kazi za unprofessional kama vile fruit picking, viwandani, house...
  4. roselina john

    Naomba ushauri nimewakosea sana wanaoenda kuwa wakwe zangu kutokana na mkanganyiko wa familia yangu/Sikutokea siku ya Send off

    Jamani mambo zenu, Niko katika wakati mgumu Mimi ni binti wa miaka 29 kwa sasa, nimempata mwanaume ambaye tulipanga mengi sana hadi kupanga jinsi ya kufunga ndoa, Mwaka fulani niliingia kwenye mahusiano na kijana mmoja toka Mbeya, ila kwa sasa anaishi Afrika ya Kusini kwa shughuli zake ...
  5. S

    Huduma ya Bima Mkononi kupitia Tigo Pesa, ni ushindi mawazo tunayotoa humu yanawezekana na pia yanatekelezeka Serikali ikidhamiria

    Tarehe 9/10/2020 kupitia Jukwaa la Siasa hapa JamiiForums, nilitoa pendekezo /ushauri kwa serikali juu ya namna gani wanaweza kutumia simu za mkononi kuanzisha Bima ya Afya na hata kugharamia elimu ya juu. Serikali kupitia simu za mkononi, inaweza kukusanya fedha na kuanzisha Mfuko(Fund) wa...
  6. Stroke

    Kuelekea Birthday yangu this weekend, nahitaji mchango wenu was mawazo kwa bajeti yangu.

    Happy New year ndugu zangu, Mwaka ndio umeanza kwa kasi namna hii na wengine ndio kama hivi weekend hii tunasheherekea birthday 🎂 zetu. Bajeti yangu ni elfu 30 tu nataka mawazo yenu nifanye nini ili angalau hiyo 30 ifanye siku yangu iwe ya kukumbukwa na iliyojaa furaha tele. Natanguliza shukrani.
  7. Nyankurungu2020

    Tuumize ubongo wetu kutafakari kwa kina: Je, waliomuua Alphonce Mawazo hawakutumwa na mtu?

    Leo asubuhi nimetoka home Bukoli na kwenda zangu Katoro ili kuwaona washikaji,kama ilivyoada ikanilazimu nizame vijiwe vya kahawa ili kupata story mbili tatu za wadau. Story kubwa ni kijana ambae alikuwa mjasiri na mpambanaji. Ambae alipoteza uhai wake kwa sababu ya siasa za kinafiki za Afrika...
  8. yasini jawadu

    Biashara ya viatu vya kike kwa jiji la Mwanza soko la kununulia mzigo na namna ya uuzaji mtaji wangu ni laki saba

    Naombeni mawazo yenu wadau kuhusu biashara ya viatu vya kike kwa jiji la Mwanza sehemu ya kununulia mzigo na namna nzuri ya kuuza kwa wepesi mtaji wangu ni laki Saba (700000) siishi nyumbani nimepanga.
  9. K

    Ukitaka mawazo chanya, soma posts na mada za wapinzani mitandaoni

    Pitia mitandao yote utagundua watu wanojenga hoja za kisera, kisheria, kikatiba, kiuchumi, kijamii na anga nyingine ni makundi haya Wanaharakati Wafuasi wa vyama vya siasa vya upinzani Baadhi ya Wastaafu katika utumishi wa Umma hasa wale ambao hawana bodi Wala chombo Cha kuongoza Baadhi ya...
  10. yuda75

    Vijana (Jobless) siku hizi mawazo yao ni Kubet, Ngono, Starehe na Lawama halafu uridhi

    Nimefanikiwa kukutana na kukaa a vijana na washikaji tofauti vijiwe tofauti ila ma jobless wanaongoza kwa kuwaza ujinga sana kuliko namna ya kujikwamua katika hali alio nayo Unakuta ni kijana anawaza kuendesha gari ya baba kidogo kupiga masela vizinga na wengine wameka kama mitego wanasubiria...
  11. G

    Je, ni kweli ndoto ni "reflection" ya mawazo tunayowaza kabla hatujalala?

    Salaam kwenu wadau hapa mjengoni JF! Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto ambayo imenfanya nitafakari ule msemo watu huwa wanasema eti ndoto ni "reflection" ya mawazo tunayowaza tukiwa hatujalala. Ndoto yenyewe iko hivi: Nilikua maeneo ya mtaani nikabanwa na haja kubwa, basi nkacheki...
  12. J

    Fahamu kuhusu msongo wa mawazo na visababishi vyake

    Ripoti ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam kitengo cha Afya inaeleza kuwa, Msongo wa Mawazo ni mfadhaiko wa akili anaoupata mtu kutokana na shida, taabu, dhiki, matatizo au changamoto zinazomkabili katika maisha. Ripoti inabainisha mgawanyiko wa sababu za Msongo wa Mawazo kuwa ni sababu za...
  13. JamiiForums

    Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

    Msongo wa mawazo unaweza kukufanya ushindwe kufanya shughuli zako za kila siku kwa ufanisi. Jambo la kufurahisha ni kuwa msongo wa mawazi unaepukika, leo nimechambua baadhi ya mambo ambayo yanaweza kukuwezesha kuepuka kupata msongo wa mawazo. 1. Usiweke Malengo ambayo Hayafikiki Kila mtu ana...
  14. M

    Natafuta kazi za ndani (house boy) ndugu zangu nisaidieni

    Natafuta kazi za ndani (House boy) ninaweza kutunza bustani na kufanya usafi naombeni msaada. Mawasiliano yangu ni 0674709210
  15. opondo

    Nisaidieni mawazo tafadhali niufate ushauri wa huyu Mchungaji au niuache?

    Habari. JF imekua ni mwalimu wangu tokea nimeanza kuijua, naelewa humu ndani kuna watu wamepitia mengi sana watanipa ushauri ambao utanijenga Mimi kijana wao. Imepita mwaka sasa tokea ili swala limetokea nilipokua chuo naombeni ushauri wenu kutokana na experience yenu ambayo mmeshapitia...
  16. S

    Picha ya mwili wa Alphonce Mawazo huwa inanifanya niwaone waliochagua kuwa wapagani wako sahihi kujitenga na unafiki wa sisi tunaojidai kumjua Mungu

    Leo ikiwa ni siku ambayo kamanda Mawazo aliuwawa mwaka 2015,picha za mwili wake ukiwa umevujaa dama zimesambaa huko twitter kama kumbukumbu ya tukio hilo la kinyama. Waliotenda unyama ule sijui kama waliowahi kamatwa, ila kibaya ni watu wa chama fulani kutojali unyama huu na kutumia nguvu...
  17. Superbug

    Viongozi wa dini mlioisapoti CCM naona sasa akili na mioyo yenu imetulia baada ya sauti kuu za mawazo tofauti na CCM kuondolewa bungeni

    Viongozi wa dini wa aina ya shehe wa Darisalama Alhadi Musa Salum, Kadinali Pengo, Gwajima nk. Naona Sasa mioyo yenu imetulia mmepata amani ya moyo baada ya mlichokipambania kutimia. Naona baada ya kuhakikisha kuwa upinzani makini umekufa mioyo yenu imetulia sasa mnajiandaa kula matunda ya...
  18. Mao Tanzania

    Pendekezo: Tanzania tuwe na ufalme, tuteue ukoo mmoja!

    Za pilika ! Nimekuwa nikifuatilia michakato ya Uchaguzi ya vyama vingi toka 1995. Mimi ni mdau wa "utulivu" yaani tuwe na jamii tulivu. Kwanini naongelea UTULIVU? . Utulivu ndo hasa kitu pekee halisi kinachoweza kuwepo katika kundi la binadamu wanao kaa/Ishi pamoja. Kiasili hakuna usawa wa...
  19. I

    GE2020 Kitendo cha kuzima mitandao ya kijamii kitawagharimu kura nyingi sana CCM

    Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana. Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store). Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download...
  20. Nafaka

    Komaa na wazo lako usibabaike na mawazo ya wengine, utafika tu

    Nataka kushare nanyi experience moja katika utafutaji. Kuna kipindi nilipoteza muda sana kwa kuhama hama. Nilikuwa na marafiki zangu kadhaa watafutaji, na Mungu kawabariki yani mtu kupata milion 7 kwa miki au 50 kwa mwezi kwao ni kawaida. Sasa nikawa ninaona kile ninachofanya mimi kama...
Back
Top Bottom