Mawazo yangu: Itungwe sheria kuzuia teuzi nyingi za fasta kwa Wakati mmoja

MTV MBONGO

JF-Expert Member
Feb 18, 2016
1,262
1,220
Anapoingia Rais mpya Kama tulivyoshuhudia kwa Mh. JPM na sasa mama SSH, teuzi nyingi zinafuata. Naona zinaharibu utendaji kwani Strategic plans za nyuma hazitekelezwi na wale Waliokuwa ofisini kwani wanahamishwa hamishwa mno. Pia anapokuja mtu mpya kwa ofisi ataanza na yake, hii siyo sawa. NASHAURI: ITUNGWE SHERIA KUZUIA TEUZI NYINGI ZA FASTA KWA WAKATI MMOJA
 
Anapoingia Rais mpya Kama tulivyoshuhudia kwa Mh. JPM na sasa mama SSH, teuzi nyingi zinafuata. Naona zinaharibu utendaji kwani Strategic plans za nyuma hazitekelezwi na wale Waliokuwa ofisini kwani wanahamishwa hamishwa mno. Pia anapokuja mtu mpya kwa ofisi ataanza na yake, hii siyo sawa. NASHAURI: ITUNGWE SHERIA KUZUIA TEUZI NYINGI ZA FASTA KWA WAKATI MMOJA

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Mama bado wapo huko ndani!....safisha,toa mavumbi yote,lkn wengine PCCB iwafanyie kazi kama ikikupendeza.
 
Nchi ikiingia katika kipindi cha mpito ni nani huwa anatekeleza sera za nchi?
 
Anapoingia Rais mpya Kama tulivyoshuhudia kwa Mh. JPM na sasa mama SSH, teuzi nyingi zinafuata. Naona zinaharibu utendaji kwani Strategic plans za nyuma hazitekelezwi na wale Waliokuwa ofisini kwani wanahamishwa hamishwa mno. Pia anapokuja mtu mpya kwa ofisi ataanza na yake, hii siyo sawa. NASHAURI: ITUNGWE SHERIA KUZUIA TEUZI NYINGI ZA FASTA KWA WAKATI MMOJA

Mimi nilifikiri utasema Kubadili Katiba ili iwe rahisi kwa kila Rais anapoingia Madarakani aingie na watu wake ili wawe wananza upya kwenye kila kitu.

Okay ngoja nirudi kwenye Mada yako unachokisema ni kizuri pia ni kibaya kwa wakati Mwingine. Unajua kwanini ninasema ni kibaya kwasababu moja sio kila Rais alieingia akakuta watendaji kwenye sekta fulani wanafanana na mawazo yake maana wale watendaji waliokuwepo moja walikuwa wazembe kwenye utendaji ndio maana anawatoa wau kuwahamisha.

Saa nyingine wanawekwa sio kwa uwezo wa utendaji wanawekwa kwa manufaa yao au ya yule kiongozi kuwabeba tuu ndio maana unaweza kukuta mtu anakurupuka kufanya kitu ambacho sio sahihi kutokana na professional yake sio ile sehemu aliokuwepo.

Hivyo basi ikiwepo katiba inayomtaka Rais kuhakikisha kile ninafanyika sawa sawa na utaratibu basi hata hizi teuzi zinazofanyika hautoziona hivyo hovyo.

Ila kumbuka Tanzania kila ZAMA ZINA NYAKATI ZAKE. So hili tuendelee kuliona mpaka Katiba itakapo lekebishwa.
 
Anapoingia Rais mpya Kama tulivyoshuhudia kwa Mh. JPM na sasa mama SSH, teuzi nyingi zinafuata. Naona zinaharibu utendaji kwani Strategic plans za nyuma hazitekelezwi na wale Waliokuwa ofisini kwani wanahamishwa hamishwa mno. Pia anapokuja mtu mpya kwa ofisi ataanza na yake, hii siyo sawa. NASHAURI: ITUNGWE SHERIA KUZUIA TEUZI NYINGI ZA FASTA KWA WAKATI MMOJA
Labda kwanza ingejulikana sababu ya teuzi hizo.
Mimi ni mhenga niliiwahi serikali ya Julius.
Nakumbuka wakati ule viongozi wa ngazi za juu kama vile mawaziri walikuwa wanakaa kwenye post zao hadi wanatungiwa nyimbo/mashairi ama tenzi na tulikuwa tunakariri. Lkn hivi sasa hasa kuanzia awamu 5&6 hali sio vile.
Hivyo sheria ianze na chanzo imalize na kuzuia.....
 
Back
Top Bottom