johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,532
- 141,335
Nakumbuka aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza mzee Mabina aliuawa kwa kupigwa mawe.
Kadhalika aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Geita Alphonce Mawazo aliuawa kama jambazi.
Hii dunia kuna binadamu makatili jamani.
Eid Mubarak!
Kadhalika aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Geita Alphonce Mawazo aliuawa kama jambazi.
Hii dunia kuna binadamu makatili jamani.
Eid Mubarak!