Kwa mtazamo wangu binafsi naona jamaa amefikiria vizuri sana.
Serikali yetu ya CCM hii tusilaze damu tuchukue fasta.
Na wapinzani nawaonya, Serikali ya CCM ikichukua huu ushauri hahahahahaha mtapoteana miaka 50 mbele huko. Nimemwelewa sana.
Document hii nimepata kwenye group moja la WhatsApp...