Kwa anayejua huu ugonjwa Anal Fissure anisaidie mawazo

frenderPH

JF-Expert Member
Oct 30, 2019
619
806
Wadau habari za jioni?

Kama mada ilivyo hapo juu kuna huo ugonjwa unaitwa Anal fissure siujui jina lake kwa kiswahili, yani unakua kama kunavinyama fulani vinatokea kwenye anus vinatokana na mchaniko unaosababishwa na choo ngumu.

Huu uugonjwa unadawa ambayo inaweza kuuponesha tofauti na operation? Au ni mpaka operation tu ndo solution

Note: Hii kitu sio Bawasiri (hemorrph)

Naombeni majibu wadau kwa ambae anajua hili swala
 
Wadau habar za jioni??
Habari
Labda kama umetaka kutumia tafsida
unless otherwise
Naamini unaongelea ugongwa wa
Bawasiri/homoroids
Kama ndio
Search kuna nyuzi nyingi sana huku ndani
Zinaelezea namna ya kutibiwa kujitibu na ukishindikana kabisa
Unapaswa kuhai hospital
 
Ni Hemorrhoids or Anal Fissures.

Kuna nyuzi mbali mbali watu walizopona gonjwa ilo kwa tiba tofauti tofauti kwanzia tiba asili, opereshen', wengine vidonge vilivyothibitishwa kwa matibabu hayo.
 
ugonjwa huu unaitwa bawasiri,

kwa wiki 2 hadi mwezi acha kula vyakula vigumu kama ugali na pia acha kula maharage.

Anza diet ya wali kwa bamia, mlenda, figili,,,,, kula matunda yenye nyuzi mfano machungwa,..,kunywa maziwa ya kutosha na kama ni nyama iwe samaki.

pia uwe unapakaa mafuta ya mnyonyo (castor oil) kule kwenye vijipu, ni vizuri ununue yale ambayo ni ya asili sio ya kiwandani. nenda maduka ya dawa asili ya tiba za kisuna.

Ni tatizo linalowatesa wengi na wengi.

ukiachana na kinyesi kigumu kinachoharibu mishipa na kuketa hili tatizo, pia sababu nyingine ni kushiriki kufanya mapenzi kinyume na maumbile.

Komaa na hio diet nliyokupa
 
Wadau habar za jioni??

Kama mada ilivyo hapo juu kuna huo ugonjwa unaitwa Anal fissure siujui jina lake kwa kiswahili, yani unakua kama kunavinyama flan vinatokea kwenye anus vinatokana na mchaniko unaosababishwa na choo ngumu...
Sawaa mkuu lakini hili ni jukwaa la mapenzi usitake tuwaze mbali. Ila maneno yote sio mageni kwangu anal nimewahi kuisikia kwenye biology na fissure kwenye physical geography kumbe combination yake ni ugonjwa 😄
 
ugonjwa huu unaitwa bawasiri,

kwa wiki 2 hadi mwezi acha kula vyakula vigumu kama ugali na pia acha kula maharage...
yaani hii kitu ya kushiriki mapenzi kinyume na maumbile kimekuwa tatizo kubwa duniani ili hali wanajua madhara yake,,,Eeeeh Mungu tunusuru na kizazi hiki cha nyoka.

Inauma sana na madada wengi wanaachwa baada ya hali kuwa mbaya.
 
Acha kuongea pumba mkuu, hivi hua mnayapata wapi haya mengine? au munajiropokea tu, Nyinyi ndio munaosababisha watu wanaficha maradhi wakihofia kufikiriwa vibaya na jamii
mkuu kitu kikubwa kigumu kikipita kwenye haja kubwa huwa kinaharibu mishipa ndio hapo sasa kunatokea vijipu.....iwe ni kinyesi kigumu, kujiingiza vitu haja kubwa ama mtu kuf*r**
 
Back
Top Bottom