mauzo

  1. Miss Zomboko

    Amuua mkewe kwa kumkata sikio na kumnyonga akihoji fedha za mauzo ya Mbuzi

    Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linamshikilia Boshu Kulwa (60) kwa tuhuma za kumuua mke wake, Magdalena Lunguya (45) baada ya kumhoji kuhusu fedha za mauzo ya mbuzi. Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Debora Magiligimba alithibitisha kutokea kwa tukio hilo akisema kuwa amemuagiza mkuu wa polisi...
  2. The Assassin

    Mauzo ya Iphone yawa mabaya, hisa za Apple zimeshuka sababu ya mauzo dhaifu

    Mauzo ya Iphone yamekua madogo kuliko matarajio ya kampuni ya Apple kupelekea hisa za kampuni kushuka kinyume na matarajio Apple. https://mobile.reuters.com/article/amp/idUSKBN27E3FP?__twitter_impression=true
  3. Sky Eclat

    Tulilima mboga na ziliuzwa, lakini hatukuwahi kupewa mrejesho wa mauzo yetu

    Tukiwa shule ya msingi, tulipewa eneo la kulima. Tuligawanywa maji si ya watu kumi na kila kundi lilipiga kura kumchagua kiongozi wa kundi. Amina alipata kura nyingi katika kundi letu hivyo akawa kiongozi wetu. Tulipewa majembe na kuanza kuchimba mafuta. Kila kundi liliamua nini kitapandwa...
  4. P

    Wanatumia kigezo gani kusema nyimbo fulani imekuwa Gold au Silver kwenye nchi fulani?

    Habari zenu wakuu bila shaka mpo fresh kiafya. Kwa wale wataalamu na wenye ufahamu kuhusu muziki naomba mje tusaidiane hapa kidogo ni hivi. Wanatumia kigezo gani kusema nyimbo flani imekuwa Gold,silver kwenye nchi flani. mfano Come closer ya Wizkid ft Drake ni Gold in U.S.A, Canada hiyo hiyo...
  5. Dr. Zaganza

    Kijana mwenye uzoefu wa mauzo na uhasibu anatafuta kazi

    Habari wakuu, (Moderators samahani,natumia link) Nasaidia kumsambazia ndugu yangu mwenye diploma ya uhasibu na post graduate ya marketing, akiwa amefanya kazi hizi kwa miaka 5, anatafuta kazi mpya baada ya mwajiri wa mwanzo kurudi kwao nje ya nchi na kuhamisha uwekezaji.Kama unayo nafasi au...
  6. Tz boy 4tino

    Uganda yaingiza dola billion 1.3 kutokana na mauzo ya dhahabu

    Nchi ya Uganda imeingiza kiasi cha dola bilioni 1.3 kutokana na uwepo wa kampuni ya kuchakua dhahabu dhahabu ya “Africa Gold Refinery”. Kiasi hicho kinaifanya Uganda kuwa miongoni mwa nchi za Afrika zenye mapato makubwa yatokanayo na mauzo ya dhahabu. Kampuni ya Africa Gold Refinery ina makazi...
  7. H

    Wimbo wa Burna Boy ''On the Low" wafika mauzo ya kiwango cha Gold nchini Ufaransa

    Msanii wa Kimataifa kutoka Nigeria Burna Boy wimbo wake wa "On the Low" wafikisha mauzo ya kiwango cha Gold, yaani umenunuliwa na watu 500000 nchini Ufaransa. Msanii huyo mwaka huu na mwaka jana ameweza kupata mafanikio makubwa kuliko msanii yoyote wa Nigeria. Big up to him. Nini umejifunza...
  8. YEHODAYA

    Tanzania kwa nini haihamasishi mauzo ya nyama ya punda China wakati soko liko kubwa mno?

    China nyama ya punda na ngozi za punda zina soko kubwa mno. Kwanini serikali haihamasishi ufugaji mkubwa wa punda Tanzania na kuanzisha minada ya punda?
  9. elivina shambuni

    Mauzo ya bidhaa nje ya nchi yapaa

    BAADA ya Tanzania kusuasua kwa muda mrefu katika mauzo ya bidhaa nje ya nchi, hatimaye sasa mambo yameanza kubadilika, ambapo mauzo hayo yameongezeka kwa kiasi kikubwa, huku dhahabu ikitajwa kuchangia kupanda huko. KwaB mujibu wa Ripoti iliyotolewa na Benki Kuu Tanzania (BoT) kwa kipindi cha...
  10. Nyamtukila

    Usimamizi wa biashara, kuepuka mikataba na wizi wa mauzo

    Monitoring system maalumu zinazotumia muunganiko wa camera zenye nguvu zinazokuwezesha kusimamia biashara zote zilizo sehemu yoyote, popote ulipo utaweza kupokea picha za matukio yote katika maduka yako, migahawa yako, salon zako, yaan sehem yoyote unapohitaji kusimamia ukiwa haupo. Sasa...
  11. Sky Eclat

    Yale mambo ya mauzo ya dhahabu kwa wananchi niliyasema wiki iliyopita, wenzetu wanafanya kama hivi

    https://www.royalmintbullion.com/Secure-Login?returnUrl=/Our-Products/Bars/RMGM001G
  12. R

    Afisa mauzo wa METL (Mo Dewji) pale Liberty, Mwanza ni janga

    Huyu Afisa Mauzo wa METL pale Liberty Mwanza ni hovyo kabisa. Asubuhi wateja wakienda kununua mzigo unamkuta anavuta sigara na kutafuna ugoro, anamajibu ya hovyo hovyo tu kwa wateja na kiburi juu, bahati yao hakuna sehemu nyingine ya kupatia mzigo tungeshawahama. Ujumbe huu uwafikie wahusika wa...
  13. neophyte

    Unataka kufufua uzuri wa ngozi yako bila kuathiri ngozi yako?

    imarisha mwonekano wako na fufua uzuri wako kila mtu anangozi nzuri na yenye kuvutia kwa namna yake lakini kuna mambo yanayo fanya tufubae ngozi zetu zisiwe nzuri kama inavyo takiwa na haya husababishwa na mazingira. tsh9000tu. kama vile kutokwa na chunusi kutokwa na utangotango kuwashwa...
Back
Top Bottom