mambo

The Museo d'Arte Moderna di Bologna or MAMbo is a purpose-designed museum of modern and experimental art in Bologna, Italy. The Museo Morandi, which displays a large collection of works by Giorgio Morandi, is temporarily housed in a part of it.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Mambo ya Nje China: “Mkakati wa Indo Pasifiki” wa Marekani utashindwa tu

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi amesema mpango wa Marekani uitwao “Mkakati wa Indo Pasifiki” utashindwa tu, kwani unasababisha jumuiya ya kimataifa kuwa na wasiwasi mkubwa na kuwa macho, hasa katika eneo la Asia-Pasifiki. Bw. Wang ameyasema hayo kwa wanahabari baada ya mkutano wake na...
  2. Google Diggers

    JamiiForums Tanzania Soka la Tanzania bila mambo haya itabaki ushabiki Vima wa Simba na Yanga

    Hakika nawasalimu. Mimi si mpenda soka Sana. Kwa mtazamo wa kitaaluma, soka ni zaidi ya watu wengi tunavyofikiri. Vijana wanapenda Sana soka, wengine Kwa ajili ya kubet tuu baasi. Miaka kadhaa nyuma ni nadra Sana kumkuta mwanamke anashabikia soka, lkn hivi Leo wanacheza na kuimba kwenye...
  3. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wewe ukifanya Kazi ya Polisi na TAKUKURU na Wao wafanye Kazi gani? Hebu tutafuteni Umaarufu kwa kufanya Mambo yenye Tija Kimantiki Kitaifa

    RAIS Samia Suluhu Hassan ameagiza mfanyabiashara (hakutaja jina) aliyechukua tumbaku za wakulima bila kuzilipia arejee Tabora mara moja kwa ajili ya kulipia tumbaku alizochukua kufuatia malalamiko kuwa wakulima hawajalipwa tangu mfanyabiashara huyo achukue tumbaku hiyo. Chanzo: habarileo_tz...
  4. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mdada na mambo yake; simtaki tena

    Siku za karibuni nilitembelewa na mpenzi (mchepuko) wangu, na ilipofika jana jioni nikaona nimtoe 'out' kidogo, tuende 'club' moja kusikiliza mziki pamoja na kuburudika. Mpenzi wangu akaomba, huku akinilazimisha; avae kikaptula kifupi, pamoja na tshirt ya nyuzi nyuzi, kwa sababu kuvaa kwake...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Nani kamziba mdomo Waziri wa Mambo ya Nje Mulamula, kulingana na kauli ya ahadi aliyotoa mwenyewe kuhusu uraia pacha?

    Nimesema siku zote huwa siwaamini wanasiasa. NI mara chache sana mwanasiasa ataongea kitu nimwamini, na siku zote wanasiasa wenyewe wananipa sababu za kusimama katika msimamo wangu wa kutowaamini. Generaly speaking, wanasiasa ni watu waongo. Sasa leo sintasema mengi, bali nitwakumbusha tu...
  6. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Mambo Matano yaliyotikisa Dunia

    1)Bomu la Hiroshima Bomu la Hiroshima ni tukio lilitokea mwezi wa 8 mwaka 1945, ni moja kati ya tukio baya kuwahi tokea duniani. Bomu hilo liliuwa watu takribani 70,000 na baadaye ndani ya miaka 5 watu wengine 70,000 walikufa kutokana na sumu ya Bomu hilo. 2)Translantic slave trade. Hii ni...
  7. Kijana Wa Dar

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda: Ni mambo gani makuu Mungu amekutendea

    Karibuni
  8. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dunia ina mambo hii

    Hawa alipata alipata danga, w alikutana kwenye kijiwe cha chips kwakua alitoka kazini na kukumbuka nyumbani gas imekwisha aliona ni kheri ale chakula cha jioni na ya gas ata ya solve kesho yake. Bwana yule alipomuona Hawa alianza kumuangalia kwa macho yenye uchu na kumlipia oder yake...
  9. Boss la DP World

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tunao Hoji Mambo Muhimu Kwenye Muungano Tunaambiwa Tuna Chokochoko?

    Siku moja nilibahatika kukutana na waziri fulani (jina kapuni). Nikamuuliza kwanini Wazanzibari wanachukua ardhi yetu hapa bara wakati Wabara hatuna haki ya kupata ardhi Zanzibar? Akanipa jibu hili "Kijana Acha CHOKOCHOKO" alinikera sana, walio kuwepo watakumbuka. Mzee mwingine wa kanda ya...
  10. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Wananchi Wanapenda Mambo Kama Haya Kwenye Kampeni, Siyo Kama Yale!

    Nalipongeza jeshi la polisi nchini Kenya kwa ustaarabu wa aina hii, kuna lakujifunza kutoka kwenu sisi tukiwa kama majirani zenu. Picha inaeleza kila kitu hapo chini 👇🏾!.
  11. BigTall

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Halima Mdee na Wenzake waache mambo ya Kihuni

    Kufuatia Baraza Kuu la CHADEMA kutupilia mbali rufaa ya Wabunge 19 wakiongozwa na Halima Mdee, kauli za majibizano baina ya pande mbili zimeendelea kutolewa, Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe amewaambia waliofukuzwa kuwa waache mambo ya kihuni. Awali Mdee alinukuliwa akisema...
  12. Lanlady

    JamiiForums Tanzania Ni nini wajibu wa Mabalozi wa Nchi na Waziri wa Mambo ya Nje?

    Kwa sasa nchi inapitia kwenye wakati mgumu kutokana na kupanda kwa gharama za maisha, mfumuko wa bei na milipuko ya magonjwa. Kiongozi mkuu wa nchi kila mara yuko nje ya ofisi. America, Zanzibar, Uganda nk. Je, kazi za mabalozi ni zipi? Je, safari hizo zina tija kwa taifa?
  13. Bata batani

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini wazee waliozaliwa miaka ya 1950-1960 bado wana mambo ya kikoloni hadi leo

    Yaani hawa wazee hadi leo hii bado wana mambo yale ya 1. Kuchaguliana wachumba 2. Mpaka leo hii bado zile itikadi za vyama vingi wanaona vitaleta vita 3. Wagumu kubadilika kulingana na nyakati mpaka leo hii bado wanafata sera za Nyerere 4. Mtoto kama amemsomesha amekosa kazi wanaona ni...
  14. Bata batani

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini watu wenye pesa wakiwa na shida huwa kimbilio lao kwa masikini na kuwasumbua?

    Kuna vitu huwa najiuliza watu wengi wakiwa na pesa hujitenga sana na watu masikini tena hawa masikini hata wakiwatafutaga huwa simu zao hazipokelewi lakini sasa inapotokea watu wenye pesa wana shida basi kimbilio lao la kwanza ni kwa watu masikini. Yaani unashanga mtu kipindi ana pesa alikuwa...
  15. Kuwite94

    JamiiForums Tanzania Mambo muhimu unayotakiwa kujiambia kila siku maishani

    Formula za maisha unazotakiwa kujiambia! -Kila kitu kwenye maisha nimemkabidhi Mungu -Naepuka hasira kwa gharama yoyote -Sipendi kumuona mtu anaumia au kusononeka -Sijiwekei matarajio makubwa -Sina marafiki (Nina watu wakaribu) -Sikai na chuki dhidi ya mtu -Kwangu pesa ni baada ya utu.
  16. big dreamer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Fahamu mambo kadhaa kuhusu 'kutafuta mwenza/mchumba/rafiki mtandaoni'

    Asalaam aleykum.. Kristu.. Bwana yesu asifiwe Kutokana na maendeleo ya utandawazi karne hii imekuwa ni kawaida watu kutafuta wenza au marafiki kupitia hasa mitandao ya kijamii,kwa zaman kidogo miaka ya 90 na 2000 mwanzani magazeti yalikuwa yakitumika kutafuta wenza au marafiki lakini kwasasa...
  17. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Kuna mambo tulipishana na Dkt. Magufuli na kuna mambo tulikuwa tunakaa tunakubaliana

    Alizuia Uholela. Uholela wa wafanyabiashara kujiuzia watakavyo baadhi ya vitu. Na ulanguzi. Alifanikiwa kwa kiasi flani. Nakumbuka zamani hata Fuel ambayo walikuwa wakiuza TOTAL ilikuwa bei ya juu kidogo ukilinganisha na wadau wengine. Total walikuwa wao hawafuati bei Elekezi. Walikuwa na bei...
  18. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Marekani: Waziri wa Mambo ya Nje akutwa na maambukizi ya COVID-19

    Vipimo vimeonesha kuwa Antony Blinken ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amekutwa na maambukizi ya Ugonjwa wa COVID-19, ametakiwa kufanya kazi kwa njia ya mtandao. Licha ya maambukizi hayo, Waziri huyo alipata chanjo mara mbili na nyongeza ya kujikinga na ugonjwa huo. Msemaji wa...
  19. Palestine Will be free

    JamiiForums Tanzania "Fikiria kwamba Ukraine ni Palestina" Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi atoa Ushauri wa Kejeli

    "Fikiria kwamba Ukraine ni Palestina."Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi atoa ushauri wa kejeli kwa wale wanaokataa shambulio la kijeshi dhidi ya nchi yake
  20. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania Rais Samia alishiriki filamu ya Royal Tour bila kinga ya heshima ya nchi. Tunashuhudia makosa ya kudhalilisha nchi

    Wa-TZ wenzangu! Wakati wa Wikileak nilitambua walioendelea na hasa US wanatumia maafisa wa ubalozini ili kuzifahamu nchi walimo. Balozi zao zinatumika sana kuwaelewesha tabia za viongozi wetu; uwezo na udhaifu wao. Ina maana Peter Greenberg alikuja akiwa director wa film lakini naaamini...
Back
Top Bottom