Waziri wa Mambo ya Nje, Dkt. Stergomena awasili Msumbiji katika ziara ya siku 4

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,815
11,992
WhatsApp Image 2022-08-06 at 11.56.58 AM.jpeg

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) amewasili Maputo Nchini Msumbiji kwa ziara ya kikazi ya siku nne (4), ambapo amepokelewa na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake, Waziri wa Ulinzi wa Msumbiji, Cristovao Chume kabla ya kutembelea maeneo mbalimbali ya kiulinzi.

Lengo la ziara yake hiyo, ni pamoja na kuendeleza undugu na kuimarisha mahusiano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Msumbiji kupitia nyanja za ulinzi na usalama.
WhatsApp Image 2022-08-06 at 11.56.57 AM.jpeg

WhatsApp Image 2022-08-06 at 11.56.58 AM (1).jpeg

Kulingana na Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo kwa Vyombo vya Habari, imesema kuwa akiwa nchini humo, mbali na kutembelea maeneo mbalimbali yanayoshughulika na masuala ya kiulinzi na kiusalama Dkt. Stergomena atapata pia, fursa ya kutembelea Kituo cha Uratibu cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Regional Coordination Centre) na Kamandi ya Ulinzi wa Amani chini ya Jumuiya Maendeleo Kusini mwa Afrika nchini Msumbiji (SADC Mission in Mozambique - SAMIM).

Tanzania na Msumbiji zilisaini makubaliano ya ushirikiano kuhusu Masuala ya ulinzi na usalama. Makubaliano hayo yalifikiwa wakati wa Mkutano wa Tatu wa Tume ya Kudumu ya Pamoja kuhusu Masuala ya Ulinzi na Usalama (JPCSD) uliofanyika kuanzia tarehe 03 – 05 Juni, 2021 katika Ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Centre, Dar es Salaam.
WhatsApp Image 2022-08-06 at 11.56.57 AM (1).jpeg
 
View attachment 2316689
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) amewasili Maputo Nchini Msumbiji kwa ziara ya kikazi ya siku nne (4), ambapo amepokelewa na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake, Waziri wa Ulinzi wa Msumbiji, Cristovao Chume kabla ya kutembelea maeneo mbalimbali ya kiulinzi.

Lengo la ziara yake hiyo, ni pamoja na kuendeleza undugu na kuimarisha mahusiano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Msumbiji kupitia nyanja za ulinzi na usalama.
View attachment 2316691
View attachment 2316693
Kulingana na Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo kwa Vyombo vya Habari, imesema kuwa akiwa nchini humo, mbali na kutembelea maeneo mbalimbali yanayoshughulika na masuala ya kiulinzi na kiusalama Dkt. Stergomena atapata pia, fursa ya kutembelea Kituo cha Uratibu cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Regional Coordination Centre) na Kamandi ya Ulinzi wa Amani chini ya Jumuiya Maendeleo Kusini mwa Afrika nchini Msumbiji (SADC Mission in Mozambique - SAMIM).

Tanzania na Msumbiji zilisaini makubaliano ya ushirikiano kuhusu Masuala ya ulinzi na usalama. Makubaliano hayo yalifikiwa wakati wa Mkutano wa Tatu wa Tume ya Kudumu ya Pamoja kuhusu Masuala ya Ulinzi na Usalama (JPCSD) uliofanyika kuanzia tarehe 03 – 05 Juni, 2021 katika Ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Centre, Dar es Salaam.
View attachment 2316695
Heading mbona haiendani na story
 
View attachment 2316689
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) amewasili Maputo Nchini Msumbiji kwa ziara ya kikazi ya siku nne (4), ambapo amepokelewa na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake, Waziri wa Ulinzi wa Msumbiji, Cristovao Chume kabla ya kutembelea maeneo mbalimbali ya kiulinzi.

Lengo la ziara yake hiyo, ni pamoja na kuendeleza undugu na kuimarisha mahusiano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Msumbiji kupitia nyanja za ulinzi na usalama.
View attachment 2316691
View attachment 2316693
Kulingana na Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo kwa Vyombo vya Habari, imesema kuwa akiwa nchini humo, mbali na kutembelea maeneo mbalimbali yanayoshughulika na masuala ya kiulinzi na kiusalama Dkt. Stergomena atapata pia, fursa ya kutembelea Kituo cha Uratibu cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Regional Coordination Centre) na Kamandi ya Ulinzi wa Amani chini ya Jumuiya Maendeleo Kusini mwa Afrika nchini Msumbiji (SADC Mission in Mozambique - SAMIM).

Tanzania na Msumbiji zilisaini makubaliano ya ushirikiano kuhusu Masuala ya ulinzi na usalama. Makubaliano hayo yalifikiwa wakati wa Mkutano wa Tatu wa Tume ya Kudumu ya Pamoja kuhusu Masuala ya Ulinzi na Usalama (JPCSD) uliofanyika kuanzia tarehe 03 – 05 Juni, 2021 katika Ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Centre, Dar es Salaam.
View attachment 2316695
Hiyo heading ni vipi?
 
06August 2022

STV JornaldaNoite 05 08 2022​


Source: Fernando Gil


06 August 2022

Moçambique e a República da Tanzânia reforçam laços de amizade e cooperação bilateral nos domínios da defesa e segurança.

Para o efeito, encontra-se no país, desde esta quinta-feira até domingo, a ministra da Defesa e Serviço Cívico da República Unida da Tanzânia, Stergomena Lawrence Tax, para uma reunião com o seu homólogo moçambicano, Cristóvão Chume.

O Ministério da Defesa Nacional refere em comunicado citado pela RM que, consta na agenda da ministra tanzaniana, uma visita ao Centro de Mecanismo de Coordenação Regional da SADC, o Comando da Missão da Comunidade de Desenvolvimento da África Austral (SAMIM), entre outros locais de interesse de defesa e segurança

Source : Moçambique e Tanzânia reforçam cooperação nos domínios da defesa e segurança
 
Mkuu 'Roving', nilitaka kushangaa haya mabadiliko yamefanywa lini, lakini nisingeshangaa kama mchanganyo uliofanya hapa kwenye mada yako na kichwa cha habari ingekuwa ndivyo ulivyonuia kuandika.
"Waziri wa Mambo ya Nje, vs Waziri wa Ulinzi"
 
Back
Top Bottom