maji

  1. Erythrocyte

    Ubunge Simanjiro waibua balaa CCM, Millya maji ya shingo

    Maandiko matakatifu yameeleza kwamba Laana ya usaliti ni kubwa mno , na kwamba inaweza kutafuna hadi kizazi cha 4 cha mhusika , hii maana yake ni kwamba Laana aliyoitenda Babu mnyororo wake unavikumba hadi vitukuu . Hii ndio hali iliyomkumba Mbunge wa Simanjiro James Millya . Ameandaliwa raia...
  2. M

    Hivi Polisi wanatakiwa kupewa hela ya umeme na maji kwenye mishahara yao?

    Nimekuwa nikikaa nao kwenye mabwalo yao nawasikia wakilalamika kuhusu kutokulipwa posho za maji na umeme, nilijaribu kumuuliza askari mmoja akasema kuna mtu mmoja wizarani anakwamisha jambo hilo. Sasa nauliza kumbe! Kuna utaratibu wa majeshi kulipwa posho za maji na umeme? Je, hawa polisi na...
  3. M

    Hivi Polisi na Magereza wanatakiwa kulipwa posho ya umeme na maji kwenye mishahara yao?

    Kila nikiwa kwenye mabwalo yao nawasikia wakilalamika kunyimwa haki yao ya posho za maji na umeme Sasa naomba kujua kuna utaratibu wa majeshi kulipwa hizo posho? Kama upo kwanini wanalalamika nini kinawakwamisha? Nilijaribu kumuuliza pot mmoja kuhusu hilo akasema kuna mtu mmoja wizarani kwao...
  4. Pascal Mayalla

    "Maharage ya Mbeya maji mara moja" ni kauli ya kweli? Ni kwenye maharage tu au hadi kwa wanambeya? Kama kauli huumba, Jibu sahihi ni Oktoba 2020!

    Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, ambalo jibu lake rasmi litapatikana baada ya October 28, 2020, ila kama una majibu, unaweza kuchangia kujibu na sio lazima tusubiri hadi hiyo October 2020. Angalizo: Naomba kuanza hili bandiko na angalizo la mawazo masafi, tusome bandiko hili tukiwa na...
  5. beth

    Ruvuma: Wawili wafariki baada ya kusombwa na maji

    Watu wawili wamefariki dunia katika kata ya Matumbi halmashauri ya wilaya ya Madaba mkoani Ruvuma kwa kusombwa na maji ya mto huku baadhi ya barabara na madaraja yakiathirika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Diwani wa kata ya Matumbi Bw.Valentine Mtemauti amesema mito kwenye kata yake...
  6. B

    Mkurugenzi Mtendaji TANESCO aelezea hali ya maji Mtera na Kidatu

    February 10, 2020 Bwawa la Mtera lenye uwezo wa kufua umeme megawatts 80 linazidi kujaa maji na hivyo TANESCO huenda wakalazimika kufungulia maji, hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco. Maji yakitoka hapo pia huenda kituo cha Kidatu na kufua umeme mwingine wa Megawatts 204. Hii...
  7. B

    Gati za bandari na miundombinu Ziwa Victoria kumezwa na maji kutokana na mvua zinazonyesha nchini

    February 10, 2020 Mwanza, Tanzania Kufuatia mvua kubwa zinazonyesha Afrika Mashariki na Kati pia nchi za Maziwa Makuu kina cha maji ziwa Victoria kinazidi na kusababisha miundo mbinu kama gati za bandari katika ziwa Victoria kumezwa na maji. Upande wa Tanzania Kuna miradi mingi ya bandari...
  8. beth

    Tahadhari yatolewa juu ya ongezeko la maji Ziwa Victoria

    Bodi ya maji bonde la Ziwa Victoria imewatahadharisha watumiaji wa maji katika ziwa hilo wakiwemo wavuvi pamoja na watumiaji wa vyombo vya usafiri katika Ziwa Victoria juu ya athari zinazoweza kujitokeza kufuatia ongozeko la usawa wa maji ziwani humo kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha katika...
  9. S

    Katerero/Kunyaaza: Rwandese, Haya women like to ejaculate during sex!

    Pretty nyarwanda girl told me once that it is big pleasure for man to make her ejaculate and she can ejaculate a lot of vaginal fluids ,and she can spray like urination. It is there culture in rwanda during sex act to stimulate a girl genitals parts so that she can ejaculate! I heard that...
  10. M

    Mkuu wa Wilaya ya Musoma Dr Vincent Naano awashikilia walimu watatu na wafanyakazi watatu wa Idara ya Maji masaa 48 kwa kosa la kupakia mshikaki

    Wanajamvi nawasalimu kwa jina la bwana. Kwa muda toka mheshimiwa Kangi Lugola akutane na madhila ya kuvuliliwa uwaziri wa Mambo ya Ndani, wote tunajua kuwa Kangi alikuwa mtetezi wa waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda. Makosa madogo madogo kama ya abiria kutovaa helmet na kupakia mshikaki...
  11. Barbarosa

    Meli haizamishwi hata siku moja na Maji yaliyoizunguka!

    Bali huzamishwa na Maji yaliyovujia na kuingia ndani ya meli, dedication kwa wote walioumizwa na wanaugulia, hivyo kuwa kama Meli ukiruhusu maji yaingie utazama, usiporuhusu utaelea, ...
  12. Jamii Opportunities

    Senior Information System Auditor at ATCL

    Position: Senior Information System Auditor Air Tanzania Company Limited (ATCL) is in the process of revamping its operations and has introduced new equipment to its fleet as part of implementation of its five years Corporate Strategic Plan (2017-2021). In line with this expansion, the...
  13. sabuwanka

    Mrejesho: Ufugaji wa nguruwe, kilimo cha matikiti maji na ufugaji ng'ombe wa maziwa

    Mwaka 2016 mfumo wa maisha ulibadilika baada ya Serikali mpya kuingia madarakani! Vijana wengi tulijikita katika kilimo na ufugaji baada ya motivational speaker kutuhakikishia tutapata utajiri bila kutoa jasho Nami nikaanza na nguruwe wenye mimba 3. Mwanzoni hakukuwa na changamoto sana ila...
  14. Analogia Malenga

    Kijana anakunywa maji lita 100 kwa saa mbili, tangu apigwe na radi

    Mkazi wa kijiji cha Maguu wilayani Mbinga mkoani Ruvuma Erick Msuha ayesumbuliwa na matatizo mbalimbali ya kiafya yanayomsababishia kunywa lita mia moja za maji kwa saa mbili ili aendelee kuishi anaomba msaada aweze kutibiwa. Mgonjwa huyo anasema matatizo yake yamemuanza baada ya kupigwa...
  15. B

    Prof. Makame Mbarawa: Wizara ya Maji hakuna uadilifu na hatuwapendi Watanzania

    January 23, 2020 Profesa Makame Mbarawa - ''Wizara ya Maji Hakuna Uadilifu na Hatuwapendi Watanzania, Changamoto za Maji Tanzania wizarani Wakurugenzi, ma-Consultant, Wahandisi hawazijui' Prof. Makame Mbarawa amesema watalaamu wake walioko wizarani hawajui miradi iliyopo bali wanakaa...
  16. Babu Kijiwe

    TBA mnakwama wapi? Ni miaka sasa jengo la idara ya maji Mtwara hamjakamilisha

    TBA ni kwamba hamna hela au hamtaki kumalizia jengo jipya la Idara ya Maji Mtwara? Mnakwama wapi ndugu zangu?
  17. M

    Maji ya shingo Kigwangalla

  18. Mwanahabari Huru

    Dodoma: Mwanafunzi ashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kupiga na kutuma picha za ukosefu wa maji Chuo Kikuu Dodoma

    Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma Tungu Mgaya, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma tangu jana kwa kutuhuma za kupiga na kusambaza picha inayoonesha shida ya maji chuoni hapo. --+ MWANAFUNZI MUYAGA TUNGU ANAYEDHANIWA KUPIGA PICHA ZA KUONYESHA TATIZO LA MAJI UDOM MIKONONI MWA POLISI...
  19. Mpigamaji

    Majina ya Taasisi na Mamlaka za Serikali kwanini yapo kwa lugha ya Kiingereza?

    Kuna kitu nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu, ni kwanini Majina ya Taasisi na Mamlaka nyingi za Serikali zina majina ya Kiingereza?. Yani officially zinatambulika kwa majina hayo, nimeona majina ya kiswahili yanakuwa yanatumika kama kufafanua tu au kuweka itambulike kirahisi, na nadhani...
  20. Kimbweka

    Faida na madhara ya kuoga kwa maji ya moto

    Watu wengi hupendelea kutumia maji ya moto kuoga pale hali ya hewa inapobadilika na kuwa ya baridi au wakati mwingine mtu anaumwa hivyo anatumia maji ya moto. Lakini kwa ajili ya urembo na afya ya ngozi, maji ya moto yanatajwa kuwa ni kitu muhimu sana kama vilivyo vipodozi vingine vinavyoisaida...
Back
Top Bottom