Mvuke kwenye maji ya baridi chanzo chake ni nini?

KazidiBBM

Member
Jul 27, 2016
16
8
Habari ya muda huu wanajamii,

Nina jambo linanichanganya kidogo naomba ufafanuzi kwa anayefahamu. Hivi ule mvuke unaokuwa unachuruzika kwenye chupa ya maji ya baridi huwa unatoka wapi na kama umewahi fanya utafiti kama maji ni ya baridi sana na ukaiweka.

Hiyo chupa kwenye chombo kingine kama beseni au hata sahani utakuta kwenye hiko chombo pia panakuwa na maji baada ya ule mvuke kuchuruzika chini lakini yale maji ya kwenye chupa hayapungui yanabaki ujazo uleule kama yalivyokuwa awali.

Ninachohitaji kufahamu yale yaliyochuruzika huwa yanatoka wapi?

Asante
 
Hewa iliyotuzunguka imechanganyika na maji katika hali ya mvuke(gesi), kwa hiyo hewa hii yenye mvuke wa maji (humid air) inapotua sehemu ya baridi hupoozwa na ule mvuke kurudi katika hali ya umajimaji ndo unayoona yanachuruzika.

Kama upishi wa gongo vile😅😅 unaichemsha mpaka inakua mvuke kisha mvuke unapozwa kwenye maji baridi unapatwa gongo. Kama hujaelewa uliza.
 
Hewa iliyotuzunguka imechanganyika na maji katika hali ya mvuke(gesi), kwa hiyo hewa hii yenye mvuke wa maji (humid air) inapotua sehemu ya baridi hupoozwa na ule mvuke kurudi katika hali ya umajimaji ndo unayoona yanachuruzika. Kama upishi wa gongo vile😅😅 unaichemsha mpaka inakua mvuke kisha mvuke unapozwa kwenye maji baridi unapatwa gongo. Kama hujaelewa uliza.
Nimepata mwanga Asante
 
Hewa iliyotuzunguka imechanganyika na maji katika hali ya mvuke(gesi), kwa hiyo hewa hii yenye mvuke wa maji (humid air) inapotua sehemu ya baridi hupoozwa na ule mvuke kurudi katika hali ya umajimaji ndo unayoona yanachuruzika.

Kama upishi wa gongo vile😅😅 unaichemsha mpaka inakua mvuke kisha mvuke unapozwa kwenye maji baridi unapatwa gongo. Kama hujaelewa uliza.
Mkuu boiling point ya maji si Ni 100 degrees Celsius??
Sasa maji yanawezaje kuwa katika Hali ya mvuke katika hii atmospheric temperature ya kawaida??🤔🤔🤔
Maana kwa ninavyoelewa Mimi maji kuwa mvuke ni mpaka yachemke.
Najua ninavyoelewa sivuo ilivyo naomba kurleweshwa vizuri.
 
Mbona hujauliza ukiamka asubuhi unakuta mande kwenye majani, ambayo Ni Maji Maji juu ya nyasi? Hewa inayokuzunguka inapopoa huwa inabadirika Na kuwa Maji. Kama umesoma sayansi kidogo kumbuka formula ya H2O
 
Yaani ndo umepata mwanga,wakati jamaa kase
ma kama una swali jingine uliza,kwanini usiulize ili uelewe kabisa?
Hahahahahaha mwanga niliopata uliangazia njia nikapata general concept nikawa nimeelewa jumla kwamba yanatokea wap, kiufup nilikuwa nataka pakuanzia na alichoandika kilinipa majibu ndio maana nikamaliza kwa kusema Asante.
 
Hewa iliyotuzunguka imechanganyika na maji katika hali ya mvuke(gesi), kwa hiyo hewa hii yenye mvuke wa maji (humid air) inapotua sehemu ya baridi hupoozwa na ule mvuke kurudi katika hali ya umajimaji ndo unayoona yanachuruzika.

Kama upishi wa gongo vile😅😅 unaichemsha mpaka inakua mvuke kisha mvuke unapozwa kwenye maji baridi unapatwa gongo. Kama hujaelewa uliza.
Vp khs ile kuweka maji baridi kwenye bilauri afu unakuta kwa pembeni yanachuruzika na mengine n matone matone.?
 
Habari ya muda huu wanajamii,

Nina jambo linanichanganya kidogo naomba ufafanuzi kwa anayefahamu. Hivi ule mvuke unaokuwa unachuruzika kwenye chupa ya maji ya baridi huwa unatoka wapi na kama umewahi fanya utafiti kama maji ni ya baridi sana na ukaiweka.

Hiyo chupa kwenye chombo kingine kama beseni au hata sahani utakuta kwenye hiko chombo pia panakuwa na maji baada ya ule mvuke kuchuruzika chini lakini yale maji ya kwenye chupa hayapungui yanabaki ujazo uleule kama yalivyokuwa awali.

Ninachohitaji kufahamu yale yaliyochuruzika huwa yanatoka wapi?

Asante
Maji ni ya baridi sana karibia kuganda na kuwa barafu. Mazingira ni ya joto, hivyo kupelekea Ile hali ya ubarafu kuyeyuka na kuwa maji unayoyaona.
 
Habari ya muda huu wanajamii,

Nina jambo linanichanganya kidogo naomba ufafanuzi kwa anayefahamu. Hivi ule mvuke unaokuwa unachuruzika kwenye chupa ya maji ya baridi huwa unatoka wapi na kama umewahi fanya utafiti kama maji ni ya baridi sana na ukaiweka.

Hiyo chupa kwenye chombo kingine kama beseni au hata sahani utakuta kwenye hiko chombo pia panakuwa na maji baada ya ule mvuke kuchuruzika chini lakini yale maji ya kwenye chupa hayapungui yanabaki ujazo uleule kama yalivyokuwa awali.

Ninachohitaji kufahamu yale yaliyochuruzika huwa yanatoka wapi?

Asante
Na mvuke kwenye friji chanzo chake pia ni nini!?
 
Hyo Ni saturated vapor pressure,maji yako evaporate at any temperatures then yanacool Tena due to surface hasa palipofungwa,Ila wakati yanatoka mvuke kwenda maji yanaweza sababisha Dew au frag(ice like)
 
Hewa iliyotuzunguka imechanganyika na maji katika hali ya mvuke(gesi), kwa hiyo hewa hii yenye mvuke wa maji (humid air) inapotua sehemu ya baridi hupoozwa na ule mvuke kurudi katika hali ya umajimaji ndo unayoona yanachuruzika.

Kama upishi wa gongo vile unaichemsha mpaka inakua mvuke kisha mvuke unapozwa kwenye maji baridi unapatwa gongo. Kama hujaelewa uliza.
Naomba niongezee kitu kwa knowledge yangu...
Navojua ni kuwa Evaporation hutokea katika hali joto yoyote ile.

Wa kunikosoa
 
Vp khs ile kuweka maji baridi kwenye bilauri afu unakuta kwa pembeni yanachuruzika na mengine n matone matone.?
ndo vilevile mkuu, hii hewa tunayoivuta ina maji ambayo yapo katika form ya gesi katika joto fulani so hewa ikifika kwenye glass ya baridi inapoozwa na ule mvuke unarudi katika hali ya maji. Sayansi darasa la 4C😅
 
Naomba niongezee kitu kwa knowledge yangu...
Navojua ni kuwa Evaporation hutokea katika hali joto yoyote ile.

Wa kunikosoa


Mimi ninakukosoa, evaporation haiwezi kutokea katika hali joto (temperature) yoyote, mfano katika usawa wa bahari evaporation ya maji itatokea katika jotoridi la (100°C+ ) na sio joto jingine lolote chini ya hapo.
 
Mimi ninakukosoa, evaporation haiwezi kutokea katika hali joto (temperature) yoyote, mfano katika usawa wa bahari evaporation ya maji itatokea katika jotoridi la (100°C+ ) na sio joto jingine lolote chini ya hapo.
Yupo sahihi, 'evaporation" ni tofauti na "boiling". Evaporation takes place when the molecules on the surface of a liquid gain enough kinetic energy that breaks the bonds. Speking of boiling, it happens at a certain specific temperature e.g water boils at 100C
 
Back
Top Bottom