FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,013
- 40,681
Binafsi nimetazama video hii iliyo andaliwa na mabeberu kuchafua taswira ya Tanzania, niseme tu, hii ni karata ya mfa maji. Tazama mwenyewe.
Hivi wazungu wakiitwa mabeberu Waafrika wataitwaje?.Yaani kauli hizi inabidi kuwa nazo makini sana hata kama mtu unamchukia.Binafsi siwezi kuwaita wazungu mabeberu kwasababu ni kujitusi wenyewe.Binafsi nimetazama video hii iliyo andaliwa na mabeberu kuchafua taswira ya Tanzania, niseme tu, hii ni karata ya mfa maji. Tazama mwenyewe.
Mbona sisi wanaturushiaga ndizi na tumeshazoea nyie vibaraka ndo mnawaonea huruma.Hivi wazungu wakiitwa mabeberu Waafrika wataitwaje?.Yaani kauli hizi inabidi kuwa nazo makini sana hata kama mtu unamchukia.Binafsi siwezi kuwaita wazungu mabeberu kwasababu ni kujitusi wenyewe.
Mambo ya ajabu sana haya, hizo propaganda kwenye hiyo video kuna haja ya kuwaonea huruma hayo mabeberu?Mbona sisi wanaturushiaga ndizi na tumeshazoea nyie vibaraka ndo mnawaonea huruma.
Mimi siwaonei huruma,isipokuwa ukimwita mtu beberu maana yake wewe ni mbuzi jike,kwa hiyo unajitukana mwenyewe bila kujua.Mbona sisi wanaturushiaga ndizi na tumeshazoea nyie vibaraka ndo mnawaonea huruma.
Sawa, ila haibadilishi ubeberu wao😂😂😂😂, mabeberuuuuuuu 😅😅😅😅😅Mimi siwaonei huruma,isipokuwa ukimwita mtu beberu maana yake wewe ni mbuzi jike,kwa hiyo unajitukana mwenyewe bila kujua.
Wacha wateseke😂😂😂😂Mambo ya ajabu sana haya, hizo propaganda kwenye hiyo video kuna haja ya kuwaonea huruma hayo mabeberu?
Mabepari, Mabeberu na Makabaila unawajua?Mimi siwaonei huruma,isipokuwa ukimwita mtu beberu maana yake wewe ni mbuzi jike,kwa hiyo unajitukana mwenyewe bila kujua.
Siwajui,naomba unifahamishe mkuu.Mabepari, Mabeberu na Makabaila unawajua?
Tupa kule upumvavu wa nyerereMabepari, Mabeberu na Makabaila unawajua?
Majikewazungu wakiitwa mabeberu Waafrika wataitwaje?.
WaAfrika wamesanuka kwamba hizo ni propaganda tupu za kumchafua JPMSoma maoni ya waafrica chini ya hiyo video utaelewa kinachoendelea.
Majike
Tupa kule upumvavu wa nyerere
Wameshat ufananisha Sana na sokweHivi wazungu wakiitwa mabeberu Waafrika wataitwaje?.Yaani kauli hizi inabidi kuwa nazo makini sana hata kama mtu unamchukia.Binafsi siwezi kuwaita wazungu mabeberu kwasababu ni kujitusi wenyewe.
Hapo sawa.. .Kuwa jike ni sifa bora sana. Majike hoyeeee😍😍😍
Kwani neno mabeberu ni tusi?Hivi wazungu wakiitwa mabeberu Waafrika wataitwaje?.Yaani kauli hizi inabidi kuwa nazo makini sana hata kama mtu unamchukia.Binafsi siwezi kuwaita wazungu mabeberu kwasababu ni kujitusi wenyewe.
Akili ya chiniMimi siwaonei huruma,isipokuwa ukimwita mtu beberu maana yake wewe ni mbuzi jike,kwa hiyo unajitukana mwenyewe bila kujua.
Neno Beberu halina maana mojaHapo sawa.. .
Tatizo ni pale ME anapotamka neno MABEBERU, impliedly yy anakuwa ni JiKE lao