Huu ukisio wa ACT kujiunga hauhusiani na majanga yaliyofanywa na CCM katika uchaguzi uliovurugika na kufunikwa na mauaji na mateso ya kila namna, tena wala msifikirie kuwa damu zilizopotea zinayeyuka kwenye upeo, huko ni kujidanganya na kujipa moyo.
Kasi ya kuhakikisha haki inapatikana ipo palepale na mashitaka ya kuwafikisha wahujumu uchaguzi na waliotenda jinai ndio kwanza zinaanza kushika reli, ACT wamejiunga kutokana na mikakati yao na kama walivyojiunga kwa hiari wanaweza kuachia kamba kwa hiari yao na kujiondoa, jambo ambalo litazua mtafaruku kimataifa, hilo nalo mlijuwe.
Ngoja uchnguzi wa kimahakama wa ICC umalizike hapo mtasikia akiitwa mmoja mmoja kwa jina lake.
Kasi ya kuhakikisha haki inapatikana ipo palepale na mashitaka ya kuwafikisha wahujumu uchaguzi na waliotenda jinai ndio kwanza zinaanza kushika reli, ACT wamejiunga kutokana na mikakati yao na kama walivyojiunga kwa hiari wanaweza kuachia kamba kwa hiari yao na kujiondoa, jambo ambalo litazua mtafaruku kimataifa, hilo nalo mlijuwe.
Ngoja uchnguzi wa kimahakama wa ICC umalizike hapo mtasikia akiitwa mmoja mmoja kwa jina lake.