Tokea siku ya Jumatano.
Maji hayatoki kwa baadhi ya maeneo hapa Moshi.
Sasa sijajua tatizo ni nini, Na mbona kama kuna tatizo, nyie idara ya usimamizi wa Maji hapa moshi mbona hamtoi taarifa ya kukatika kwa maji kwa siku zote hizo hadi kufikia leo Jumapili ni patupu.
Watu wengine wanashinda kuendelea na shughuli zao kwa sababu hii ya ukosefu wa maji.
Sasa inafikia hatua hata usafi huwezi kufanya.
Aaaah! Hii ni changamoto kwa kweli
Maji hayatoki kwa baadhi ya maeneo hapa Moshi.
Sasa sijajua tatizo ni nini, Na mbona kama kuna tatizo, nyie idara ya usimamizi wa Maji hapa moshi mbona hamtoi taarifa ya kukatika kwa maji kwa siku zote hizo hadi kufikia leo Jumapili ni patupu.
Watu wengine wanashinda kuendelea na shughuli zao kwa sababu hii ya ukosefu wa maji.
Sasa inafikia hatua hata usafi huwezi kufanya.
Aaaah! Hii ni changamoto kwa kweli