March 19, 2020
Dar es Salaam, Tanzania.
Barabara Jangwani jijini Dar es Salaam Tanzania yajaa maji, yafungwa. Ingawa mvua haijanyesha leo lakini eneo hilo lililo katika ya vitongoji maarufu vya Magomeni na Kariakoo jijini Dar es Salaam hali imekuwa tete ktk bonde hilo la Jangwani.
Source ...
Mtu mmoja ambaye inasadikika kuwa Ni mwanafunzi wa QT jinsia ya kuume katika shule ambayo haikujulikana Mara moja,amezama maji katika ufukwe wa Ununio.Tukio Hilo limetokea majira ya SAA 10 jioni,inasemekana alikuwa akiongelea na wenzake wanne wasichana watatu na mmoja wa kuume ambao...
Mtoto mchanga chini ya miezi sita hapaswi kupewa chochote kile tofauti na maziwa ya mama, mtoto mchanga chini ya miezi sita hatakiwi kupewa maji, kwasababu maziwa ya mama yana maji yakutosha ndio maana mtoto anakojoa, na ukitaka kufahamu kwamba maziwa ya mama yana maji ya kutosha yakamue kisha...
Machine ya kukoroga sabuni za Maji inauzwa. Ina uwezo wa kukoroha Lita 200 kila dk,15 bei ni sh million 5 tu. Sema nami namba hizo: 0784692584: 0715888376 welcome.
Maandiko matakatifu yameeleza kwamba Laana ya usaliti ni kubwa mno , na kwamba inaweza kutafuna hadi kizazi cha 4 cha mhusika , hii maana yake ni kwamba Laana aliyoitenda Babu mnyororo wake unavikumba hadi vitukuu .
Hii ndio hali iliyomkumba Mbunge wa Simanjiro James Millya .
Ameandaliwa raia...
Nimekuwa nikikaa nao kwenye mabwalo yao nawasikia wakilalamika kuhusu kutokulipwa posho za maji na umeme, nilijaribu kumuuliza askari mmoja akasema kuna mtu mmoja wizarani anakwamisha jambo hilo.
Sasa nauliza kumbe! Kuna utaratibu wa majeshi kulipwa posho za maji na umeme? Je, hawa polisi na...
Kila nikiwa kwenye mabwalo yao nawasikia wakilalamika kunyimwa haki yao ya posho za maji na umeme
Sasa naomba kujua kuna utaratibu wa majeshi kulipwa hizo posho?
Kama upo kwanini wanalalamika nini kinawakwamisha?
Nilijaribu kumuuliza pot mmoja kuhusu hilo akasema kuna mtu mmoja wizarani kwao...
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali, ambalo jibu lake rasmi litapatikana baada ya October 28, 2020, ila kama una majibu, unaweza kuchangia kujibu na sio lazima tusubiri hadi hiyo October 2020.
Angalizo:
Naomba kuanza hili bandiko na angalizo la mawazo masafi, tusome bandiko hili tukiwa na...
Watu wawili wamefariki dunia katika kata ya Matumbi halmashauri ya wilaya ya Madaba mkoani Ruvuma kwa kusombwa na maji ya mto huku baadhi ya barabara na madaraja yakiathirika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.
Diwani wa kata ya Matumbi Bw.Valentine Mtemauti amesema mito kwenye kata yake...
February 10, 2020
Bwawa la Mtera lenye uwezo wa kufua umeme megawatts 80 linazidi kujaa maji na hivyo TANESCO huenda wakalazimika kufungulia maji, hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco. Maji yakitoka hapo pia huenda kituo cha Kidatu na kufua umeme mwingine wa Megawatts 204. Hii...
February 10, 2020
Mwanza, Tanzania
Kufuatia mvua kubwa zinazonyesha Afrika Mashariki na Kati pia nchi za Maziwa Makuu kina cha maji ziwa Victoria kinazidi na kusababisha miundo mbinu kama gati za bandari katika ziwa Victoria kumezwa na maji.
Upande wa Tanzania Kuna miradi mingi ya bandari...
Bodi ya maji bonde la Ziwa Victoria imewatahadharisha watumiaji wa maji katika ziwa hilo wakiwemo wavuvi pamoja na watumiaji wa vyombo vya usafiri katika Ziwa Victoria juu ya athari zinazoweza kujitokeza kufuatia ongozeko la usawa wa maji ziwani humo kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha katika...
Pretty nyarwanda girl told me once that it is big pleasure for man to make her ejaculate and she can ejaculate a lot of vaginal fluids ,and she can spray like urination.
It is there culture in rwanda during sex act to stimulate a girl genitals parts so that she can ejaculate!
I heard that...
Wanajamvi nawasalimu kwa jina la bwana.
Kwa muda toka mheshimiwa Kangi Lugola akutane na madhila ya kuvuliliwa uwaziri wa Mambo ya Ndani, wote tunajua kuwa Kangi alikuwa mtetezi wa waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda.
Makosa madogo madogo kama ya abiria kutovaa helmet na kupakia mshikaki...
Bali huzamishwa na Maji yaliyovujia na kuingia ndani ya meli, dedication kwa wote walioumizwa na wanaugulia, hivyo kuwa kama Meli ukiruhusu maji yaingie utazama, usiporuhusu utaelea, ...
Position: Senior Information System Auditor
Air Tanzania Company Limited (ATCL) is in the process of revamping its operations and has introduced new equipment to its fleet as part of implementation of its five years Corporate Strategic
Plan (2017-2021). In line with this expansion, the...
Mwaka 2016 mfumo wa maisha ulibadilika baada ya Serikali mpya kuingia madarakani! Vijana wengi tulijikita katika kilimo na ufugaji baada ya motivational speaker kutuhakikishia tutapata utajiri bila kutoa jasho
Nami nikaanza na nguruwe wenye mimba 3. Mwanzoni hakukuwa na changamoto sana ila...
Mkazi wa kijiji cha Maguu wilayani Mbinga mkoani Ruvuma Erick Msuha ayesumbuliwa na matatizo mbalimbali ya kiafya yanayomsababishia kunywa lita mia moja za maji kwa saa mbili ili aendelee kuishi anaomba msaada aweze kutibiwa.
Mgonjwa huyo anasema matatizo yake yamemuanza baada ya kupigwa...
January 23, 2020
Profesa Makame Mbarawa - ''Wizara ya Maji Hakuna Uadilifu na Hatuwapendi Watanzania, Changamoto za Maji Tanzania wizarani Wakurugenzi, ma-Consultant, Wahandisi hawazijui'
Prof. Makame Mbarawa amesema watalaamu wake walioko wizarani hawajui miradi iliyopo bali wanakaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.