maji

  1. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Wazo lenye mantiki: Bil 5.4 zilizotaifishwa toka biashara haramu ya upatu zielekezwe wilayani Chato kuboresha huduma ya maji

    Natanguliza kutoa onyo kwa Watanzania kuacha wivu hasa kwa wakazi wa mkoa wa Geita linapokuja suala la maendeleo. DPP ametumia mamlaka aliyonayo kisheria na kuteleza hukumu ya utaifishaji wa bil 5.4 ambazo zilipatikana kwa biashara haramu ya upatu. Mimi kama mkazi wa mkoa wa Geita, eneo la...
  2. beth

    JamiiForums Tanzania Wakandarasi wa miradi ya maji waonywa kufanya kazi kwa mazoea

    Serikali imewataka wakandarasi wanaosimamia ujenzi wa miradi ya maji nchini kuacha siasa na kufanyakazi kwa mazoea. Rai hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa maji, Mhandisi Marry Prisca Mahundi wakati akiongea na wananchi wa kata ya Sakura wilayani Pangani mkoani Tanga akiwa katika ziara yake ya...
  3. ASHA NGEDELE

    JamiiForums Tanzania Upungufu wa maua jike-Kilimo cha tikiti maji

    Habari wakulima wenzangu, Nimelima tikiti ekari mbili na linaendelea vizuri kwani halina ugonjwa wowote mpaka leo siku ya 34 tokea mbegu kupasuka. Changomoto nayoipata kwa sasa ni mmea kuzalisha maua mengi sana lakini maua dume kwahio mpaka sasa matunda yalozalishwa ni machache sana. Hali...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Pata samaki wa maji chumvi

    Tunauza samaki wa maji chumvi Pata samaki wa Maji Chumvi kwa kiwango utakacho toka kwetu Kwa kilo tunauza 7500 Kama utachukua kuanzia kilo mia moja bei inapungua. Wasiliana nasi kwa namba 0765758624
  5. DOCTOR UZI

    JamiiForums Tanzania Hivi maji ya Dodoma yana peroxide?

    Za muda huu wakuu wa mambo Moja kwa moja kwenye mada, tokea nije Dodoma sio nguo sio ngozi lazima vibadilike ila nikirudi DSM hali inakuwa nzuri mno Nguo - ukiifua zaidi ya mara 5 kama ni nyeusi mpauko utakao uona huwezi kuitamani hiyo nguo na rangi nyingine ni nafuu ila nyeusi ndio mwisho...
  6. S

    JamiiForums Tanzania ICC kesi ipo palepale - CCM vichwa anzeni kuweka maji

    Huu ukisio wa ACT kujiunga hauhusiani na majanga yaliyofanywa na CCM katika uchaguzi uliovurugika na kufunikwa na mauaji na mateso ya kila namna, tena wala msifikirie kuwa damu zilizopotea zinayeyuka kwenye upeo, huko ni kujidanganya na kujipa moyo. Kasi ya kuhakikisha haki inapatikana ipo...
  7. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya New Habari yasitisha uchapishaji wa Magazeti yake kufuatia mwenendo mbaya wa biashara

    Kampuni ya New Habari imetangaza kusitisha utoaji wa magazeti yake kuanzia Jumatatu ijayo kutokana na mwenendo mbaya wa biashara. ======== NEW HABARI YASITISHA UZALISHAJI MAGAZETI KAMPUNI ya New Habari 2006 LTD inayozalisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa na Dimba imetangaza kusitisha...
  8. KazidiBBM

    JamiiForums Tanzania Mvuke kwenye maji ya baridi chanzo chake ni nini?

    Habari ya muda huu wanajamii, Nina jambo linanichanganya kidogo naomba ufafanuzi kwa anayefahamu. Hivi ule mvuke unaokuwa unachuruzika kwenye chupa ya maji ya baridi huwa unatoka wapi na kama umewahi fanya utafiti kama maji ni ya baridi sana na ukaiweka. Hiyo chupa kwenye chombo kingine kama...
  9. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Maji ya kunywa ya Canadian yameanza kubandikwa nembo ya TRA kama kilevi toka nje, yapanda bei

    Nilishtuka baada ya kuona maji ya kunywa ya Canadian pure (1.25ltrs) yakipanda bei toka shs.500/= hadi 700/=. Pia nimeshangaa kuona maji yakibandikwa label ya TRA kwa kuu kwenye kizibo kama inavyokuwaga kwenye pombe kali toka nje ya nchi. Swali, mbona maji mengine hayawekewi hizo nembo? Au...
  10. SEASON 5

    JamiiForums Tanzania Kwanini makampuni yana bei tofauti ya Maji yaliyo katika ujazo sawa?

    Katika kuwaza waza leo nilikua nakunywa maji yangu ya Kilimanjaro madogo ya 500ml wakati nimekaa zangu ofisini hapa sina kazi nikawa nimeishika hii chupa naisoma naipembua sioni utofauti wa material ya ziada na wengine lakini maji ya 500ml nimenunua 1000Tsh. Nikinunua 1.5ltr ya k.njaro bei yake...
  11. C

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya maji mjini Moshi

    Tokea siku ya Jumatano. Maji hayatoki kwa baadhi ya maeneo hapa Moshi. Sasa sijajua tatizo ni nini, Na mbona kama kuna tatizo, nyie idara ya usimamizi wa Maji hapa moshi mbona hamtoi taarifa ya kukatika kwa maji kwa siku zote hizo hadi kufikia leo Jumapili ni patupu. Watu wengine...
  12. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Ndugu yangu wa Kiume anaoga baada ya siku mbili, maji yapo ya kutosha. Hii ni kawaida?

    Wadau huenda labda Mimi ni mshamba. Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2...
  13. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania NEMC: Vifungashio vya plastiki ikiwemo chupa za maji mwisho wa kutumika ni Desemba 31

    Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa hadi Disemba 31, mwaka huu kuwa ni siku ya mwisho ya utumiaji wa vifungashio vya chupa za maji, karanga au ubuyu, biashara inayofanywa na wachuuzi wadogo. Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dk. Samuel Gwamaka, alisema hivi karibuni...
  14. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Video: Mabeberu yatupa karata ya mfa maji dhidi ya Rais Magufuli

    Binafsi nimetazama video hii iliyo andaliwa na mabeberu kuchafua taswira ya Tanzania, niseme tu, hii ni karata ya mfa maji. Tazama mwenyewe.
  15. U

    JamiiForums Tanzania Serikali Awamu ya Tano yasaini Mkataba wa kusambaza maji Kutoka ziwa Victoria Kuelekea Majimbo ya Musoma, Bunda na Butiama Wenye Thamani ya Bil 70

    Serikali Ya Awamu ya 5 inayoongozwa na Mzalendo Nambari 1 nchini Dkt John Pombe Magufuli Imeamua kutimiza ahadi yake kwa kishindo Mkoani Mara Imegharamia mradi mkubwa wa Thamani ya Tsh Bilioni 70 utakaosambaza Maji Kutoka Ziwa Victoria kuelekea Majimbo ya Musoma Vijii, Butiama na Bunda...
  16. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Hivi rangi ya Maji ya Kunde ndio rangi gani?

    Nimekuwa nikisikia watu wakitumia neno "maji ya kunde" kumaanisha rangi ya ngozi ya mtu fulani nataka kujua hii ni rangi gani, na hayo maji ya kunde ndio kitu gani? Pia, nataka mtiririko wa rangi zote za ngozi za mwafrika. Maana kuna rangi nyingine za ngozi huwa sizielewi
  17. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Wahamiaji 74 wafa maji baada ya meli kuzama Libya

    Wahamiaji wasiopungua 74 wamekufa katika ajali mbaya ya meli iliyotokea katika pwani ya Libya. Shirika la IOM limesema manusura 47 wameweza kuokolewa wakati shughuli ya uokozi zikiendelea. Kulingana na Umoja wa Mataifa, wahamiaji wapatao 74 wamefariki dunia baada ya meli kuzama hapo jana nje...
  18. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Wakazi Keko Mwanga wapanga kuandamana hadi kwa RC wa Dar es Salaam kuhusu mfereji wa maji unaojengwa na Wachina, Injinia wa Temeke alalamikiwa

    Taarifa kutoka kwa wakazi hao zinasema kwamba kabla ya mfereji huo usiotumika, makazi yao hayakuwahi kukumbwa na mafuriko makubwa kama yale yaliyotokea hivi Majuzi baada ya mvua kubwa kunyesha, hasa baada ya kuzibwa kwa mifereji ya awali huku mfereji huo mpya ukifungwa bila kutumika licha ya...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli jinsi Mamlaka ya Maji ya Mwanza (MWAUWASA) unavyokuhujumu usipate kura zetu

    Kwa siku za karibuni tangu uanze kampeni zako Mamlaka ya Mji wa Mwanza (Mwauwasa) umekuwa na huduma mbaya kwa wateja wengi wa maji katika jiji hili. Tangu Injinia Sanga atoke kwenye Mamlaka hii na kupewa wadhifa mwingine huduma zimekuwa mbaya sana. Nitoe mfano hai, tangu ijumaa mpaka leo...
  20. FrankLutazamba

    JamiiForums Tanzania Serikali, zungushieni uzio wa katika eneo watu wanapoteka maji na kuoga huko Buchosa, Sengerema kuepuka hatari za kushambuliwa na mamba

    Leo nimesikia habari ya mwanamke aliyeliwa na mamba huko Buchosa Sengerema na kuhuzunika sana.tunaiomba serikali itenge eneo ambalo watu watachota maji na kuogelea kisha waweke nguzo na seng'enge zitakazokuja mpaka nchi kavu na waweke geti ili mamba asiweze kutoka nje ya ziwa na kujichomeka eneo...
Back
Top Bottom