Kujengea tanki la maji juu vs kufunga pressure pump. Tubadilishane mawazo

OIL CHAFU

JF-Expert Member
Jun 8, 2012
996
772
Linapokuja suala la kilimo cha umwagiliaji, kuna mbinu nyingi hutumika. Leo naomba kushea nanyi drip irrigation. Sasa ili maji yasambae shambani yanatakiwa yawe na pressure nziri. Watu wengine hujengea tanki juuu ambapo maji hupandishwa kutoka chanzo husika hadi kwenye tanki ndipo yashuke kwa gravity shambani.

Mbinu nyingine ni tanki kuwa chini tu kuepuka usumbufu wa kujengea juu. Badala yake anafunga pressure pump ili kuongeza pressure ya maji huko yaendako shambani.

Naomba wazoefu wa haya mambo mtuambie mbinu ipi ni rahisi zaidi na yenye ufanisi mkubwa, in terms of cost and efficiency.
 
Linapokuja suala la kilimo cha umwagiliaji, kuna mbinu nyingi hutumika. Leo naomba kushea nanyi drip irrigation. Sasa ili maji yasambae shambani yanatakiwa yawe na pressure nziri. Watu wengine hujengea tanki juuu ambapo maji hupandishwa kutoka chanzo husika hadi kwenye tanki ndipo yashuke kwa gravity shambani.

Mbinu nyingine ni tanki kuwa chini tu kuepuka usumbufu wa kujengea juu. Badala yake anafunga pressure pump ili kuongeza pressure ya maji huko yaendako shambani.

Naomba wazoefu wa haya mambo mtuambie mbinu ipi ni rahisi zaidi na yenye ufanisi mkubwa, in terms of cost and efficiency.
Take adavantage of gravity.. tank ni bora zaidi.
Pia mambo ya long run cost, tank itakua low cost

#YNWA
 
Tank juu

In long run,utasave operational costs.

Ila kuwa makini na sehemu utakayoweka tank maana kama sio flat surface basi tank linaweza toboka maji yakijaa

Kama lipo chini sana, presssure itakuwa ndogo

Na kama structure sio strong basi tank linaweza kudondoka nakupasuka.
 
Back
Top Bottom