matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,570
- 15,319
Sijui kama duniani huko nako kuna huu mtindo.
Yaani imenichukua muda hadi kugundua asilimia karibu 60 ya majirani zangu ni watu kutoka Sumbawanga. Juzi nimejua tena wanaundugu.
Juzi nimepita Mtaa flani karibu na Eneo linaitwa Msingwa. Nashangaa karibu kila mwanamke ni mweupe na kama wanafanana. Kuulizia kumbe wametokea Singida. Na hadi kuna Mtaa unaitwa Singida.
Hapo bado
Wachaga Kimara
Wasukuma Kigamboni ndanindani.
Wakurya Mwanagati, Machimbo, Kitunda
Nimepita Kariakoo nako ni hivyo hivyo.
Kuna kamtaa wanauza tangawizi na vitunguu swaumu pale ni WAPARE mwanzo mwisho.
Kuna Congo kule waha kibao hadi kuna sehemu wanakatisha tiketi za basi la kwenda Kigoma (Sarato).
Kuna kamtaa walikuwepo wa Machinga wa kabila flani hivi wamejaa wao tu kiasi walikuwa wanaiba na kukaba hadi mchana na hakuna wa kujitetea maana wote pale Ndugu. Walikuwa wabakaba hadi wachina bila kujali wanajua taekwando au kung fu. Hii tuhuma niliipata kwa mwenyekiti mmoja wa wamachinga akawa anaandaa statergy ya kuweka Mlinzi pale hao mabwana wasije wakachafua chama chake cha wamachinga.
Sababu ya hii kitu nini?
Comfort zone watu hawataki kutoka nje ya box la kikabila?
Au uoga wa kupambana jeshi la mtu mmoja.
Yaani imenichukua muda hadi kugundua asilimia karibu 60 ya majirani zangu ni watu kutoka Sumbawanga. Juzi nimejua tena wanaundugu.
Juzi nimepita Mtaa flani karibu na Eneo linaitwa Msingwa. Nashangaa karibu kila mwanamke ni mweupe na kama wanafanana. Kuulizia kumbe wametokea Singida. Na hadi kuna Mtaa unaitwa Singida.
Hapo bado
Wachaga Kimara
Wasukuma Kigamboni ndanindani.
Wakurya Mwanagati, Machimbo, Kitunda
Nimepita Kariakoo nako ni hivyo hivyo.
Kuna kamtaa wanauza tangawizi na vitunguu swaumu pale ni WAPARE mwanzo mwisho.
Kuna Congo kule waha kibao hadi kuna sehemu wanakatisha tiketi za basi la kwenda Kigoma (Sarato).
Kuna kamtaa walikuwepo wa Machinga wa kabila flani hivi wamejaa wao tu kiasi walikuwa wanaiba na kukaba hadi mchana na hakuna wa kujitetea maana wote pale Ndugu. Walikuwa wabakaba hadi wachina bila kujali wanajua taekwando au kung fu. Hii tuhuma niliipata kwa mwenyekiti mmoja wa wamachinga akawa anaandaa statergy ya kuweka Mlinzi pale hao mabwana wasije wakachafua chama chake cha wamachinga.
Sababu ya hii kitu nini?
Comfort zone watu hawataki kutoka nje ya box la kikabila?
Au uoga wa kupambana jeshi la mtu mmoja.