maisha

  1. Course Coordinator

    JamiiForums Tanzania Monica maisha yakuwa sehemu yake alipambana lakini alizidiwa na saikolojia .

    Story ni ndefu lakini itakufundisha Wiki mbili zilizopita nilipokea simu kutoka kwa rafiki yangu mmoja...hii ilikuwa ni tofauti kidogo kutokana na ukweli kwamba tulikaa muda mrefu bila kuwasiliana. Ni rafiki yangu wa shule ,tulisoma nae shule moja na alikuwa mrembo tangu nikiwa mdogo nilimuona...
  2. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa Uongozaji Safari wa BeiDou wa China utaathiri kivipi maisha ya Muafrika?

    China Jumanne ilirusha satilaiti ya mwisho ya Mfumo wa kuongozea wa BeiDou(BDS), ambapo inaonesha kukamilika kwa uendelezaji wa mfumo huo nchini, miaka 26 baada ya ujenzi wa BeiDou-1 kuanza rasmi mwaka 1994, na kuwa mmoja kati ya mifumo minne ya mtandao wa uongozaji duniani, ikiwa sambamba na...
  3. Abdallahking

    JamiiForums Tanzania Simulizi : Facebook Imeharibu Maisha Yangu

    Simulizi : FACEBOOK IMEHARIBU MAISHA YANGU Mwandishi: GEORGE IRON MOSENYA SEHEMU YA 1 “"Reshmail Manyama want to be your friend.'confirm' 'ignore' ulikuwa ni ujumbe ambao macho yangu yalikutana nao nilipofungua mtandao wa kijamii wa ‘facebook’,sikumbuki kama nilijifikiria mara mbili kwani...
  4. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Umewahi pitia maisha magumu kushinda ya Mchungaji Moses Magembe ukiwa mtoto tuelezee

    Kuna watu wanapitia maisha magumu mno wakiwa watoto wadogo kisa hiki cha Mchungaji Moses Magembe wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God Majumba sita, Ukonga, Dar es salaam kitakuliza machozi .Je kuna aliyepitia maisha magumu kumshinda huyu? tupe kisa chako Msikilize mwenyewe akijieleza...
  5. Da'Vinci

    JamiiForums Tanzania The Inner voice: Sauti ndogo iliyo ndani mwetu ikitueleza kusudi la maisha yetu

    Salute. August 17 mwaka 2018 niliweka mada humu ambayo inakichwa cha habari kisemacho “ https://www.jamiiforums.com/threads/watu-wanasema-mimi-ni-nani-swali-alilouliza-yesu-linalofungua-ubongo-wa-mwanadamu-kujitambua.1469399/post-27991776“. Lengo kuu la mada hiyo ilikua kumfanya mtu ajiulize...
  6. WilsonKaisary

    JamiiForums Tanzania Mambo haya yakifanywa uchumi na maisha ya Watanzania yatakimbia 2020-2025

    MAMBO HAYA YAKIFANYWA UCHUMI NA MAISHA YA WATANZANIA YATAKIMBIA 2020-2025 Habarini waheshimiwa. Ebwana bila kupoteza muda kuna vitu vichache naona nishare hapa,unaweza kuongezea kama kuna kitu cha kuboresha. Naomba moja kwa moja niende kwenye vitu Vinne(4)Vinavyoweza kugusa na kuinua taifa...
  7. Dam55

    JamiiForums Tanzania Al Jazeera: Watanzania wanaishi maisha ya hofu na mashaka katika utawala wa Rais Magufuli. Je, hili lina ukweli wowote?

    Nikiwa kwenye pitapita zangu huko mitandaoni nimekutana na makala fupi ya chombo cha habari maarufu Al Jazeera, katika makala hiyo wameeleza kuwa utawala wa Magufuli umeonyesha jitihada kubwa za kunyanyua Uchumi wa Tanzania lakini pia Watanzania hawako salama chini ya utawala wake. Masoud...
  8. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeamini ugomvi ni sehemu ya maisha ya ndoa/mahusiano

    Natumai hamjambo wakuu. Jana nikiwa nimerejea toka kazini tukawa tunapiga stori na wife aliniuliza "hivi mume tumewezaje kumaliza wiki ya 3 sasa bila kukwazana? wakati mara nyingi hata wiki hua hatumalizi? nikamuuliza umemiss kukwazana? Akajibu hapana but nimeshangazwa na hili coz huko nyuma...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Maisha lazima yaendelee: Namna bora ya kujikinga na Corona katika ngazi ya familia

    NAMNA FAMILIA ZINAVYOWEZA KUISHI HUKU ZIKIENDELA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA CORONAVIRUS Kila mwanafamilia ana jukumu la kujilinda na kuwalinda watu wote kutokana na maambukizi ya CoronaVirus. Suala lolote la Kitaifa linaanzia kwenye ngazi ya familia kwa kila mmoja kuchukua tahadhari. Kwa...
  10. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Daddy change the World: Baadhi ya Watanzania waomba wazazi wao wauawe kikatili ili wanufaike

    Mapema leo kaka yake marehemu Goerge Flyode ameliomba shirika la umoja wa mataifa kuangalia jinsi gani watu/waamerika weusi wanakuwa salama ili kulinda usalama wa wao duniani. Gianna Flyod pichani juu, akiwa amevaa t-shirt ikionyesha picha ya marehemu baba yake kilichotokana na kuuliwa na...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Swali: Kwanini "Wanafalsafa wa Kale wa Magharibi" walitofautiana juu ya cha maisha na Ulimwengu na vyote vilivyomo kwa ujumla ?

    Leo siko hapa kujadili maana ya tamko "Falsafa", bali nipo hapa kujadili matokeo ya Wanafalsafa yaani mafundisho yao. Rejea anuani ya uzi hapo juu. Ifuatayo ni mifano ya mafundisho ya baadhi ya Wanafalsafa kunako chanzo cha viumbe, maisha na mfano wake. 1. THALESI Huyu hutambulika kama...
  12. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Maisha ya mtu ya baadaye huendeshwa na akiba

    Ukiufahamu vizuri wakati ujao utaelewa namna ya kuutumia wakati wako wa sasa kwa sababu wakati hupita kupisha wakati mwingine huku ukiacha alama. Maisha yako ya baadae kwa zaidi ya asilimia 80% yatandeshwa na kile ulichohifadhi baada ya kutumia na siyo kile ulichopata katika wakati ukiwa na...
  13. Viol

    JamiiForums Tanzania Historia fupi ya maisha ya Spika Ndugai aliyoitoa bungeni. Asema alikuwa na maisha ya shida na dhiki

    Spika Ndugai amesema haya, Katika maisha yangu sikuwahi kuwaza wala kuota kama nitakuwa Mwanasiasa, Mbunge na hata Spika ni Mungu tu ambaye katika uumbaji wake hutujua na kutupangia safari kadri anavyoona ni vyema, asanteni sana wana Kongwa, chama changu na Rais Nakumbuka miaka niliyosoma...
  14. MSHINO

    JamiiForums Tanzania Kwani maisha bila Ubunge huwezi kuishi? Mbunge kwa miaka 25? Usiwe kupe

    MBUNGE MIAKA 25? USIWE KUPE 1995 Teddy Kilenza Magayane-CCM 61%Daniel Nsanzugwanko NCCR 33% 2000 Michael Mussati-CCMCCM haikurudisha jina la Nsanzugwanko 2005 Daniel Nsanzugwanko –CCM 56.1%Agripina Buyogela-NCCR 38.4% 2010 Agripina Buyogela-NCCR (54.58%Daniel Nsanzugwanko –CCM 38%...
  15. Ivan Breaker

    JamiiForums Tanzania Nahitaji ushauri wenu

    ...
  16. Aizi Azma

    JamiiForums Tanzania Kusudi la maisha (life purpose)

    Septemba 28, mwaka 2008 - Elon Musk amekaa ndani ya Control Center katika ofisi za Space X pale Hawthorne, California nchini Marekani. Hayupo comfortable kabisa - macho yake ameyaelekeza katika screen iliyopo mbele yake. Wakati anasubiri launch ya Falcon 1, lazima atakuwa anawaza hatari...
  17. S

    JamiiForums Tanzania TANAPA, TAWA na NCAA karibuni sana katika maisha ya mgao

    Leo katika majadiliano ya bajeti, nilimsikia Spika anahoji juu ya TRA kwenda kukusanya mapato katika mamlaka za hifadhi za wanyama pori pamoja na hifadhi kitalii, nikashangaa kumbe mpaka wa leo kuna Taasisi zinajipangia matumizi ya hela waliokusanya! Dah! Si mchezo kama hamkupiga vizuri basi...
  18. The Boss

    JamiiForums Tanzania Urais wa Maisha: Baraza la Maaskofu na Kadinali Pengo wapo?

    Inaonekana nchi hii Rais akiwa muislam. Basi kutwa tunapatiwa waraka wa Uongozi Bora unaoheshimu katiba kutoka Kwa Viongozi WA kanisa katoliki Na Baraza la maaskofu. Wenye kumbukumbu wote mnakumbuka jinsi hata tetesi zikitokea wakati wa Kikwete ..haraka Sana taasisi hizo zinatoa matamshi makali...
  19. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Ukiwa Hai hata kama ni Masikini au huna Elimu acha kujidharau, kukata tamaa na usiogope kuchekwa/Kudhihakiwa. Ipo siku maisha yako yatabadilika tu

    Teen who spent 10 hours cleaning up after protest rewarded with car and college scholarship Kwa Kifupi tu ni kwamba Jamaa huyo ( Mwafrika ) Mwenzetu aishie huko Ughaibuni huku akiwa na Maisha yake ya Kubangaiza hapa na pale kama ya Mzukulu Mimi kwa Moyo wake tu na kuonyesha Nidhamu yake ya...
  20. muzi

    JamiiForums Tanzania Maisha ni mtihani mkubwa

    Mitihani ya maisha omba isikupate asee kuna story nimetoka kuangalia, mama amepoteza lori lake mto Mwami. Just imagine gari ilikuwa mpya ndio imepata trip ya kwanza inaenda kutumbukia mtoni, mama wa watu analia na mengi, kapoteza gari, kapoteza dereva na bado anamajeruhi hospitali. Mshukuru...
Back
Top Bottom