Elythrobacter
Member
- Sep 29, 2020
- 47
- 94
Nina miaka kadhaa inayoniruhusu kuwa na familia, lakini pamoja na elimu yangu, sina hela ila nina deni kama la milion 14 hivi ninazodaiwa na bodi ya mikopo, hapo sijaweka zaka ambazo sijui nilitoa lini? Kiukweli moja haikai wala mbili haisimami, Maisha ni magumu, rafiki yangu mwajiriwa na mnazi wa chama tawala alinambia kuwa hali hii ya maisha ni mpito tu afu kimasihara.
Kuwa katika historia aliyosoma na inayompa ugali, inasema kuwa ili maendeleo ya kweli yatokee katika nchi ni lazima kizazi fulani wafunge mkanda kwa ajili ya kizazi kijacho. Nimekubali hoja yake lakini nani atuthibitishie kuwa hii hali kweli ni ya mpito maana kama vile inapita na umri wetu, kizazi chetu pia maleongo yetu.
Sasa najiuliza haya maswali;
Je, kama maendeleo na hali nzuri tunayoahidiwa yasipopatikana, nani aulizwe?
Je, kama miundombinu inayojengwa isipotunzwa na baada ya mda mfupi shida ikarudi palepale itakuwaje?
Nithibitishie ili siku ya uchaguzi nifanye kazi yangu vizuri.
#ability without opportunity is nothing.
Kuwa katika historia aliyosoma na inayompa ugali, inasema kuwa ili maendeleo ya kweli yatokee katika nchi ni lazima kizazi fulani wafunge mkanda kwa ajili ya kizazi kijacho. Nimekubali hoja yake lakini nani atuthibitishie kuwa hii hali kweli ni ya mpito maana kama vile inapita na umri wetu, kizazi chetu pia maleongo yetu.
Sasa najiuliza haya maswali;
Je, kama maendeleo na hali nzuri tunayoahidiwa yasipopatikana, nani aulizwe?
Je, kama miundombinu inayojengwa isipotunzwa na baada ya mda mfupi shida ikarudi palepale itakuwaje?
Nithibitishie ili siku ya uchaguzi nifanye kazi yangu vizuri.
#ability without opportunity is nothing.