maisha

  1. B

    Kwetu tunapohesabu wafu, wenzetu sasa wako kwenye kurejea maisha yao ya kawaida

    Wenzetu baada ya kuweka jitihada za dhati kuzuia ugonjwa wa Corona kusambaa, sasa wao wanapanga kurejea maisha ya kawaida. Wanazo takwimu zote muhimu. Sasa wanajua mashule lini yafunguliwe na lini warejee vipi kwenye maisha ya kawaida: Kwetu tuko hapa: Hatuna takwimu za watu...
  2. B

    Tanzania: Maisha ya watu yanapowekwa rehani dhidi ya maslahi binafsi ya kiuchumi

    Ni kwa masikitiko makubwa ninaandika uzi huu. Ninaandika baada ya kuwa nimechukua muda wa kutosha kufuatilia yanayojiri katika nchi zinazotuzunguka kulingana na hali yetu halisi hapa kama ilivyo sasa. Hapa kwetu tayari imekuwa ni tanzia baada ya tanzia hata labda, ni muda muafaka sasa kwa mods...
  3. Latrice

    Uuzaji Bange ulivyonibadilisha tabia

    Historia yangu ni ndefu kidogo ila nitaifupisha Mwaka fulani baada ya vurugu za hapa na pale Geita Secondary, Butimba Day na Mwanza Sec nilitimuliwa, nikahamia Manguanjuki (Lake) iliyoko Singida kuanza kidato cha tatu. Pale nilikuwa huru sana, nikawa na tumia hela hovyo hovyo bahati mbaya sana...
  4. G Sam

    Ushauri kwa Wabunge: Kama mnayapenda maisha yenu basi ondokeni bungeni, sitisheni bunge maana inaonyesha hali huko ni mbaya!

    Nimeambiwa wabunge wanang'ang'ania kuingia ndani ya bunge mtu joto la mwili linasoma nyuzi joto 39 ananyimwa kuingia ndani ya ukumbi bado huelewi anatakiwa afanye nini. Ndani ya bunge maambukizi ya Corona yanashika kasi na bado mnaendelea na bunge. Sisi tusioenda shule tunawashangaa. Hamuoni...
  5. Analogia Malenga

    Slumdog Millionaire: Filamu ya kihindi inayoonyesha maisha ya masikini wa India

    Ni filamu ya kihindi iliyotengenezwa mwaka 2008 inayoonyesha maisha ya kijana aliyekulia mtaani na kuwa tajiri kwa bahati tu Filamu ilianza kwa kumuonyesha muhusika Jamal, akiwa kwenye kipindi cha ‘who wants to be a millionaire’ kipindi kilikuwa kinauliza maswali mengi tofauti na atakaye patia...
  6. introvert

    Serikali, tuzike watakaopeteza Maisha kutokana na COVID19 kwa heshima. Utaratibu uwekwe wazi

    WanaJF, Bila kuandika mengi, ombi kwa Serikali ni kupumzisha ndugu zetu kwa heshima na kwa utaratibu unaoeleweka na kwa uwazi. Kwa sasa Serikali imeamua kutumia "HERD IMMUNITY" kama njia ya kupambana na huu ugonjwa. Hii ni kutokana na kauli ya Rais alipozungumza na wakuu wa vyombo vya ulinzi...
  7. Da'Vinci

    Time Heist and Time Apocalypse: Jinsi muda unavyoathiri Maisha ya ulimwengu na vilivyomo

    (Picha ikionyesha Warmhole na Nyota mbalimbali) Salute Comrades. Kwa references ya vitabu vya imani za dini mbalimbali zinasema kua hapo zamani Mungu aliumba ulimwengu, akaumba vyote vilivyomo ndani ya siku sita. Upande wa tafiti za kisayansi zinasema kua hapo zamani miaka billion kadhaa...
  8. Mzukulu

    Baada ya Walimu wa Shule za Umma kuchekwa na kudharauliwa kwa muda mrefu na Walimu wa Shule Binafsi sasa nao kibao kimewageukia

    WALIMU SHULE BINAFSI WALALAMIKA KUKOSA MISHAHARA KISA CORONA Chama cha Walimu wa shule binafsii nchini TPTU kimeiomba serikali kuingilia kati suala la madai ya wamiliki wa baadhi ya shule binafsi kusitisha mikataba na mishahara ya walimu kwa kigezo cha kuathiriwa na ugonjwa wa COVID 19...
  9. J

    NATAFUTA MWEZA WA MAISHA

    Naitwa jey naitaji mwanamke wakufunga nae ndoa umri kuanzia miaka 22 na kuendelea awe Islamic ambae yupo serious namba 0654 26 40 50
  10. Street Hustler

    Hali ya Usawa itarudi katika maisha Ila kutakuwa na tofauti kubwa Kati ya alienacho na asienacho

    Hii hali tuliyonayo sasa imekuja kutufundisha usawa wa kila jambo yaani no janja janja kwa maana kama wewe ni mfanyabiashara uwe mfanyabiashara kweli na kama ni shule iwe ni shule kweli kama ni benki basi iwe ni benki lakini sio sehemu ya kusubiri deposit za wateja. Mpaka hili swala liishe...
  11. PAZIA 3

    Maisha yamekuwa magumu kwa waalimu shule binafsi

    Baada ya tangazo la mwendelezo wa lockdown kwa taasisi za elimu, waajiliwa taasisi binafsi Sasa Ni vilio, mwezi March wengi walilipwa maana walikuwa wamefanya kazi, ila shida inaanzia nwezi huu, April na May, hakuna mshahara, hapo ndipo ualimu unakosa maana, nurse ngazi ya cheti yeye yupo kazini...
  12. Sky Eclat

    Maisha ya Ingrid mjini Arusha mpaka Dar-es-Salaam

    Ingrid msichana mrembo, alianza kuishi ghetto baada ya kukorofishana na mama yake. Baba yake alifariki Ingrid akiwa bado mdogo. Ghetto waliishi maisha ya fighting for survival. Kitanda kimoja na ilikuwa ni marufuku kurudi na mwanaume. Siku moja Jumamosi akiwa club alikutana na Damian kijana...
  13. Richard

    Maisha kuanza kubana baada ya Pasaka, wajumbe wa nyumba 10 ndo wakati wao wa kujitambua

    Wajumbe wa nyumba 10 ndo wawakilishi wa kwanza wa serikali katika maeneo yetu. wajbe wa nyumba kumi wanatambua watu wao na kazi yao ya kutambua watu wao ni rahisi kuliko askari alieko katika kituo cha polisi. Wakati serikali imeanza kuchomoa makucha yake kidogokidogo kuelekeza kwa watu...
  14. Showio

    Itambue nguvu ya Asili na tabia katika maisha yako

    Hata siku moja mti au mmea hauchagui aina ya tunda la kuzaa. Muembe hauchagui kuzaa embe au zambarau ni lazima muembe uzae embe. Mchungwa hauna option ya kuchagua kuzaa chungwa au chenza, nilazima utazaa chungwa kwasababu hiyo ndio asili yake na ndivyo lilivyokuwa designed na aliyeliumba. Kuna...
  15. Victor Mlaki

    Matatizo/changamoto ni sehemu tu ya maisha na siyo maisha yenyewe

    Huwa inasikitisha sana na inauma sana kukata tamaa ingawa inatokea kwa wengi.Kuna wakati tunazokutana na matatizo kiasi cha kutufanya kuamini maisha yetu ndiyo hayo matatizo "so sad news". Leo sihitaji kukuta moyo ila natamani sana kukujulisha nilichojifunza katika miaka yangu hii machache hapa...
  16. Cvez

    Sekta ya Utalii Tanzania ijiandae kwa maisha ya Corona na baada ya Corona

    Janga la Corona mpaka sasa hivi limeathiri nyanja mbalimbali za uchumi. Ingawa mpaka muda huu sekta ambayo imeathiriwa zaidi na ipo ICU ni sekta ya Utalii. Nchi nyingi zimefanya lockdown, kuna kufutwa kwa safari za anga. Hivyo hoteli, migahawa, tax drivers, wakulima, wavuvi, tour companies na...
  17. Zitto

    Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona

    Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona- Zitto #COVID19TZA Serikali imethibitisha uwepo wa virusi vya Korona Tanzania. Utulivu ni muhimu kwani kukiwa na maandalizi ya kutosha tunaweza kukabili madhara ya mlipuko huu. Nashauri mambo 3 muhimu sana, kwa maoni yangu. - Tunaona Nchi nyengine kukiwa...
  18. J

    Natafuta mwanamke aliye serious kwa maisha

    Habari wanajamii wenzangu, nimeona leo nami kuweka hitaji langu kwenye forum. Mimi ni mtanzania mkristo umri 33 na kwasasa nipo mkoa was tabora najitokeza kutafuta mwanamke ambaye mbeleni atakuja kuwa mke na mama watoto wangu, sina ubaguzi wa dini wala rangi lakini umri ningependelea angalau...
  19. Morning_star

    Kama sio mama yako, basi ni baba, bibi au babu yako ndo wanajua siri ya hali yako ya maisha

    Rejea kichwa cha somo hapo juu chausika. Wakati mwingine si vibaya kushirikishana uzoefu katika maisha tuliyopitia. Kwa umri wangu nimeona mengi na ninajua ninachokisema na walio wa kweli watanielewa. Misingi ambayo familia zoote za Kiafrica, zimejengwa katika kitu kinachoitwa mila na desturi...
Back
Top Bottom