nmechunguza nimegundua anaendaga kuliwaKuwa makini
hata mimi nachukia hiyo tabia, Utasikia nambie nambie kila wakatisim za mara kwa mara akati hana jambo la msingi
Rafiki yake mkubwa ni mimi baharia mwandamizi...Shughuli yangu nadhani inaeleweka sasa ntaanzaje kuja kwako mzee baba 😎!!! Napenda muendelee kupendana arif!Tabia nisiyoipenda kwa mpenz wangu safar kila siku utaskia naenda kutembea kwa rafiki yangu,,, lkn ao rafiki zake sijawahi kuona wakija kumtembelea yeye
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Binafsi nachukia kugombana generally. Iwe mpenzi rafiki au whatever.Tabia ni kama mazoea ya mtu na kama inavyojulikana tabia ni ngozi.
wewe mpaka ulipofikia hapo ni tabia gani huzipendi kwa watu na huna cha kufanya?
Au ni tabia gani kutoka kwako huipendi na unajaribu kuiacha?
😂😂😂 me pia Bi Mkubwa ana tabia hiyo, dawa yake ni kunyamaza kimya tu. Tena anaongeza na chumvi....yaan bi mkubwa angu akikusimulia kuhusu mimi lazima udate😂 na nikikutana nae mbele ya mabest zake full ma-hug. Dah Bi mkubwa bhana😏Huwa tunagombana sana na bi mkubwa wangu tabia yake ya kunipamba sana kwa rafiki/jamaa zake mtaani....ukimpa habari njema au taarifa ya mafanikio fulani uliyoyapata basi mtaa mzima utajua, tena hapo we haupo,.....siku unakuja kitaa unaanza kuhadithiwa, "nasikia umenunua kiwanja bwana, hongera Sana", imefikia stage sasa nikiwa na jambo langu napiga kimya tu.
Let's meet at the top, cheers 🍻
😂😂😂 me pia Bi Mkubwa ana tabia hiyo, dawa yake ni kunyamaza kimya tu. Tena anaongeza na chumvi....yaan bi mkubwa angu akikusimulia kuhusu mimi lazima udate😂 na nikikutana nae mbele ya mabest zake full ma-hug. Dah Bi mkubwa bhana😏