kubwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    GE2020 Namba 3: Lazaro Nyalandu achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, asema watahakikisha mechi wanaipeleka sawasawa

    Lazaro Nyalandu yuko live Clouds tv akiweka wazi mipango yake endapo atachaguliwa kuwa Rais wa JMT. Maendeleo hayana vyama! ======= Nyalandu: Mbowe ni mtu ambae amestahimili, amepambana na amekuwa muaminifu kwa chama hiki. Amekuwa ni kiongozi ambae ni mfano wa kuigwa na historia itamkumbuka...
  2. K

    Anachoweza kufanya Membe sasa na kikamletea heshima kubwa

    Akubali kuongoza mapambano dhidi ya CCM bila ya kudai malipo mbele. Uhitaji wa Tanzania wa mwelekeo mpya, kuiondoa katika utekwaji chini ya mtu mmoja ni mkubwa zaidi kuliko mahitaji ya cheo kwa mtu anayeweza kuchangia kuiokoa Tanzania kutoka kwenye utekwaji huo. Membe akubali kuwa mstari wa...
  3. Hivi unatambua kuwa hizi ni ajira kubwa sana mtandaoni kwa sasa?

    Hivi unatambua kuwa hizi ni ajira kubwa sana mtandaoni kwa sasa? Authors, trainers, motivators, consultants, councillors, inspirers, and teachers in any field. Kama una uwezo au ujuzi katika Mambo haya uwanja ni wako. Cha msingi ni kujiboresha na kutafuta connection kubwa ya watu...
  4. Hili ni Somo kubwa nililojifunza kuhusu Corona. Litatusaidia kwa magonjwa mengine pia

    Corona ni pepo/jini tu linataka kutambulika na kuabudiwa. Linapenda sifa. Ukilidharau lina mind sana na kuona halina tena nafasi liliyotaka. Kipindi kile Corona tumeanza kuiabudu na kuiogopa ilitaka kuanza kutikisa.kumbe dawa yake ni ndogo sana ...kuidharau tu na kuendelea na maisha mengine...
  5. Mkoa wa Ruvuma: CCM bado ina nguvu kubwa; CHADEMA yaimarika, CUF yafifia; ACT-Wazalendo yachomoza

    Ni matumaini yangu kuwa kichwa cha habari hii kinatoa tahmini ya jumla juu ya mkoa huu wa Ruvuma. Niko hapa kwa takribani juma moja katika kufanya tathmini binafsi ya kisiasa kuelekea Oktoba mwaka huu. Nimepita Songea na Mbinga; Nikaenda Tunduru na Namtumbo; nikasonga hadi Peramiho na sasa niko...
  6. UCHAMBUZI: Anguko kubwa kwa watu wote maarufu wanaodandia siasa za CCM wakati wa uchaguzi

    Mwaka huu wa 2020 kuna uchaguzi mkuu, kumekuwa na heka heka kila kona ya nchi, katika vyama mbali mbali watu wakipigana vikumbo kuomba kugombea nafasi mbali mbali, hususani viti vya ubunge. Kwa leo hapa nitajikita kuchambua heka heka hizo kwa nafasi ya ubunge hasa kwa chama cha mapinduzi (CCM)...
  7. Mradi wa Stieglers: Mwarabu anaharibu mradi hana utaalam wala ujuzi wa kujenga bwawa, italeta hasara kubwa kwa taifa na ubora hafifu

    Naongea kama mwananchi na kushauri kuwa kumwendekeza huyu mwarabu wa Egypt's ni hasara kwa taifa na uharibifu wa mradi na uasili wake wa stiegler's gorge unapotea kwa sababu zifuatazo. 1. Hawa waarabu wa Misri kutoka Elsewedy electric na Arab contractors kutoka Misri hawana utaalamu wowote wa...
  8. GE2020 Upinzani kumsimamisha Membe: Kosa kubwa, usaliti na dhambi isiyosameheka

    Benard Membe ameweka wazi kuwa ikiwa vyama vya upinzani vitaungana na kumkubalia agombee ,basi yuko tayari kupeperusha bendera. Hili litakua kosa kubwa, usaliti wa hali ya juu na dhambi isiyo sameheka kwa sababu zifuatazo. 1. Kama ilivyokuwa kwa Lowasa, Benard Membe atakua amejiunga na...
  9. Gatuzi/kaunti ya Murang'a yaanza ujenzi wa hospitali kubwa ukanda huu kwa ajili ya saratani - maendeleo kote Kenya, nje ya Nairobi

    Kila siku tunalisema hili, miji yote Kenya inapiga hatua za kimaendeleo utadhani wameingiwa na ukichaa fulani, yaani Nairobi inapigwa ushindani mkali sana. Construction of a specialized cancer and research hospital has kicked off in Murang’a County. The facility, estimated to be constructed...
  10. J

    GE2020 Dkt. John Magufuli amerudisha fomu ya maombi ya kugombea Urais Makao Makuu ya CCM

    Dkt. Magufuli ambaye ndiye Rais wa Tanzania leo atarudisha fomu ya maombi ya kugombea urais kupitia CCM kwenye makao makuu ya chama jijini Dodoma. === Updates: Rais Magufuli anarudisha fomu ya maombi ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia CCM kwenye Makao Makuu ya chama, Dodoma. Hadi sasa ni...
  11. Tanzania yazindua meli kubwa ya abiria katika ukanda huu wa Afrika

    Hatimaye Tanzania imefanya uzinduzi wa meli kubwa ya abiria Mv Mwanza hapa kazi tu, uzinduzi huu unarejesha safari za meli kati ya Mwanza na Bukoba baada ya miaka kadhaa kupita kufuatia ajali ya MV Bukoba kutokea, meli hii inasemekana ndio meli kubwa ya abiria Kusini mwa Jangwa la Sahara
  12. Kwa jinsi tulivyo na Dreamliners na Bombardiers za kutosha hadi zinabeba Samaki badala ya Abiria, kwa Tanzania nahisi ATCL imepata Faida Kubwa sana

    Shirika la Ndege la Kenya (KQ) limekadiria kupata Hasara ya Dola Milioni 100 katika Kipindi hiki cha janga la CORONA. Kwa jinsi Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) lilivyo na Ndege zake nyingi tu na zikibeba Sato na Sangara wakikaa Vitini nadhani Wamepata Faida. ======== Kenya Airways...
  13. Baadhi ya fani zenye ajira kubwa Duniani: Wazazi somesheni watoto nje Degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering

    Kuna degree Tanzania hamna ila zina soko sana duniani, vijana wa PCM zinawafaa. Wazazi, mkiwa na pesa na mkiwa na watoto wazuri waliofaulu vizuri PCM pelekeni Ulaya au Marekani wakasome degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering. Ni baadhi ya hot cake degrees, dunia nzima inawataka.
  14. F

    Wizara ya Elimu izibadilishe shule za msingi za Serikali ziwe English Medium. Soko kubwa sana, Serikali ipate hela ya ada yanayovunwa na watu binafsi

    Habari wadau Naona kuna soko kubwa sana la wazazi wanaopenda watoto wao wasome English Medium. Nawashauri Serikali, kila wilaya nchii hii wawe na shule za msingi za Serikali za English Medium kama Olimpio na Diamond. Wazazi watashukuru sana na sana. Hizo pesa ambazo shule binafsi wanazivuna ni...
  15. Mzee Hussen Kheri umeacha Darsa kubwa Ulimwenguni katika Mahusiano

    Ni miaka zaidi ya 30 nakufahamu mzee wewe wa kipekee kabisa katika suala la mahusiano.uliwahi sema hutogombania K hata iweje.kama mtu mwingine atakula K ya mkeo ukagundua wala si Issue ya kumind. Itaoshwa tu nawe utaendelea kula kwa wakati wake. Mzee kheri umefariki ukiacha Urithi Ulimwenguni...
  16. INAUZWA Friji kubwa bei ya kutupwa

    Friji kubwa inauzwa,imetumika miezi 4 tu. Bei 650000/= Location Dodoma. Picha hizi apo chini #0624052205
  17. R

    Natafuta Kiwanja kilichoko mbele ya barabara kubwa (Budget-8m)/Goba/Bunju/Salasala/Madale nk)

    Habari . Natafuta kiwanja kuanzia maeneo ya Goba/Bunju/Salasala/madale nk ambacho kipo pembezoni mwa barabara kubwa. Kiwanja kinachofaa kwa kuweka biashara. Mwenye nacho ani DM. Shukrani.
  18. W

    Tunaomba zianzishwe kamati za maadili hospitali zote kubwa kama ilivyo Mloganzila

    Ni mara kwa mara tumekuwa tukiona malalamiko mengi ya wagonjwa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii kuhusu suala la maadili katika sekta hii ya afya; isitoshe mengi tumeyaona ya kusikitisha kama wenzetu wagonjwa wanvyotendewa na watendaji huko katika hospitali. Ni juzi tu nilikuwa Ocean...
  19. GE2020 Dkt. Tulia Akson afanya tena jambo kubwa lililomshinda Sugu kipindi chake chote cha ubunge, apongezwa kila kona

    Chini ya ufundi makini wa Dkt. Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa. Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya...
  20. Je, wajua kuwa wanyama waweza kukupa taarifa kama kuna janga kubwa sana linakuja?

    Kila alichokiumba Mwenyezi Mungu kina kazi yake maalumu ambayo binadamu mara ingine kuijua yaweza chukua karne. Wanyama huwa wana uwezo wa kujua janga kubwa sana linapotaka kuja. Kwa mfano, kondoo kama kuna radi inataka kupiga chini, huwehuka na kuanza kukimbia huku na kule na kugonga miti kwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…