YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,904
Kila alichokiumba Mwenyezi Mungu kina kazi yake maalumu ambayo binadamu mara ingine kuijua yaweza chukua karne.
Wanyama huwa wana uwezo wa kujua janga kubwa sana linapotaka kuja. Kwa mfano, kondoo kama kuna radi inataka kupiga chini, huwehuka na kuanza kukimbia huku na kule na kugonga miti kwa kichwa chake akikupa taarifa kuwa radi yaweza shuka eneo hilo chukua tahadhari upesi kama ulikaa chini ya mti mvua ikinyesha unatakiwa utoke haraka ukae sehemu ya wazi kujinusuru na radi ambayo hupenda kupiga kwenye miti.
Kukiweko joka kubwa karibu au mwanga Mchawi mbwa huwa wanabadilika tabia na kuanza kutoa milio fulani hivi isiyoeleweka kutoa taarifa kuwa kuna kitu cha kutisha tishio kiko karibu.
Mengine yasikilize kwenye hii video uone maajabu ya wanyama kupata taarifa za majanga makubwa mapema na kuziwakilisha kwa binadamu lakini kutokana na binadamu kuwa na uelewa mdogo taarifa hizo ambazo binadamu angezingatia maafa yangeweza kuepukika zinashindwa kumsaidia binadamu matokeo yake mamilioni ya watu kuangamia pasipo sababu.
Wanyama huwa wana uwezo wa kujua janga kubwa sana linapotaka kuja. Kwa mfano, kondoo kama kuna radi inataka kupiga chini, huwehuka na kuanza kukimbia huku na kule na kugonga miti kwa kichwa chake akikupa taarifa kuwa radi yaweza shuka eneo hilo chukua tahadhari upesi kama ulikaa chini ya mti mvua ikinyesha unatakiwa utoke haraka ukae sehemu ya wazi kujinusuru na radi ambayo hupenda kupiga kwenye miti.
Kukiweko joka kubwa karibu au mwanga Mchawi mbwa huwa wanabadilika tabia na kuanza kutoa milio fulani hivi isiyoeleweka kutoa taarifa kuwa kuna kitu cha kutisha tishio kiko karibu.
Mengine yasikilize kwenye hii video uone maajabu ya wanyama kupata taarifa za majanga makubwa mapema na kuziwakilisha kwa binadamu lakini kutokana na binadamu kuwa na uelewa mdogo taarifa hizo ambazo binadamu angezingatia maafa yangeweza kuepukika zinashindwa kumsaidia binadamu matokeo yake mamilioni ya watu kuangamia pasipo sababu.