kubwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. dosama

    Mradi wa Stieglers: Mwarabu anaharibu mradi hana utaalam wala ujuzi wa kujenga bwawa, italeta hasara kubwa kwa taifa na ubora hafifu

    Naongea kama mwananchi na kushauri kuwa kumwendekeza huyu mwarabu wa Egypt's ni hasara kwa taifa na uharibifu wa mradi na uasili wake wa stiegler's gorge unapotea kwa sababu zifuatazo. 1. Hawa waarabu wa Misri kutoka Elsewedy electric na Arab contractors kutoka Misri hawana utaalamu wowote wa...
  2. Mzalendo Uchwara

    GE2020 Upinzani kumsimamisha Membe: Kosa kubwa, usaliti na dhambi isiyosameheka

    Benard Membe ameweka wazi kuwa ikiwa vyama vya upinzani vitaungana na kumkubalia agombee ,basi yuko tayari kupeperusha bendera. Hili litakua kosa kubwa, usaliti wa hali ya juu na dhambi isiyo sameheka kwa sababu zifuatazo. 1. Kama ilivyokuwa kwa Lowasa, Benard Membe atakua amejiunga na...
  3. MK254

    Gatuzi/kaunti ya Murang'a yaanza ujenzi wa hospitali kubwa ukanda huu kwa ajili ya saratani - maendeleo kote Kenya, nje ya Nairobi

    Kila siku tunalisema hili, miji yote Kenya inapiga hatua za kimaendeleo utadhani wameingiwa na ukichaa fulani, yaani Nairobi inapigwa ushindani mkali sana. Construction of a specialized cancer and research hospital has kicked off in Murang’a County. The facility, estimated to be constructed...
  4. J

    GE2020 Dkt. John Magufuli amerudisha fomu ya maombi ya kugombea Urais Makao Makuu ya CCM

    Dkt. Magufuli ambaye ndiye Rais wa Tanzania leo atarudisha fomu ya maombi ya kugombea urais kupitia CCM kwenye makao makuu ya chama jijini Dodoma. === Updates: Rais Magufuli anarudisha fomu ya maombi ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia CCM kwenye Makao Makuu ya chama, Dodoma. Hadi sasa ni...
  5. CARIFONIA

    Tanzania yazindua meli kubwa ya abiria katika ukanda huu wa Afrika

    Hatimaye Tanzania imefanya uzinduzi wa meli kubwa ya abiria Mv Mwanza hapa kazi tu, uzinduzi huu unarejesha safari za meli kati ya Mwanza na Bukoba baada ya miaka kadhaa kupita kufuatia ajali ya MV Bukoba kutokea, meli hii inasemekana ndio meli kubwa ya abiria Kusini mwa Jangwa la Sahara
  6. Mzukulu

    Kwa jinsi tulivyo na Dreamliners na Bombardiers za kutosha hadi zinabeba Samaki badala ya Abiria, kwa Tanzania nahisi ATCL imepata Faida Kubwa sana

    Shirika la Ndege la Kenya (KQ) limekadiria kupata Hasara ya Dola Milioni 100 katika Kipindi hiki cha janga la CORONA. Kwa jinsi Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) lilivyo na Ndege zake nyingi tu na zikibeba Sato na Sangara wakikaa Vitini nadhani Wamepata Faida. ======== Kenya Airways...
  7. YEHODAYA

    Baadhi ya fani zenye ajira kubwa Duniani: Wazazi somesheni watoto nje Degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering

    Kuna degree Tanzania hamna ila zina soko sana duniani, vijana wa PCM zinawafaa. Wazazi, mkiwa na pesa na mkiwa na watoto wazuri waliofaulu vizuri PCM pelekeni Ulaya au Marekani wakasome degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering. Ni baadhi ya hot cake degrees, dunia nzima inawataka.
  8. F

    Wizara ya Elimu izibadilishe shule za msingi za Serikali ziwe English Medium. Soko kubwa sana, Serikali ipate hela ya ada yanayovunwa na watu binafsi

    Habari wadau Naona kuna soko kubwa sana la wazazi wanaopenda watoto wao wasome English Medium. Nawashauri Serikali, kila wilaya nchii hii wawe na shule za msingi za Serikali za English Medium kama Olimpio na Diamond. Wazazi watashukuru sana na sana. Hizo pesa ambazo shule binafsi wanazivuna ni...
  9. Chizi Maarifa

    Mzee Hussen Kheri umeacha Darsa kubwa Ulimwenguni katika Mahusiano

    Ni miaka zaidi ya 30 nakufahamu mzee wewe wa kipekee kabisa katika suala la mahusiano.uliwahi sema hutogombania K hata iweje.kama mtu mwingine atakula K ya mkeo ukagundua wala si Issue ya kumind. Itaoshwa tu nawe utaendelea kula kwa wakati wake. Mzee kheri umefariki ukiacha Urithi Ulimwenguni...
  10. Zillionaire_tz

    INAUZWA Friji kubwa bei ya kutupwa

    Friji kubwa inauzwa,imetumika miezi 4 tu. Bei 650000/= Location Dodoma. Picha hizi apo chini #0624052205
  11. R

    Natafuta Kiwanja kilichoko mbele ya barabara kubwa (Budget-8m)/Goba/Bunju/Salasala/Madale nk)

    Habari . Natafuta kiwanja kuanzia maeneo ya Goba/Bunju/Salasala/madale nk ambacho kipo pembezoni mwa barabara kubwa. Kiwanja kinachofaa kwa kuweka biashara. Mwenye nacho ani DM. Shukrani.
  12. W

    Tunaomba zianzishwe kamati za maadili hospitali zote kubwa kama ilivyo Mloganzila

    Ni mara kwa mara tumekuwa tukiona malalamiko mengi ya wagonjwa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii kuhusu suala la maadili katika sekta hii ya afya; isitoshe mengi tumeyaona ya kusikitisha kama wenzetu wagonjwa wanvyotendewa na watendaji huko katika hospitali. Ni juzi tu nilikuwa Ocean...
  13. G Sam

    GE2020 Dkt. Tulia Akson afanya tena jambo kubwa lililomshinda Sugu kipindi chake chote cha ubunge, apongezwa kila kona

    Chini ya ufundi makini wa Dkt. Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa. Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya...
  14. YEHODAYA

    Je, wajua kuwa wanyama waweza kukupa taarifa kama kuna janga kubwa sana linakuja?

    Kila alichokiumba Mwenyezi Mungu kina kazi yake maalumu ambayo binadamu mara ingine kuijua yaweza chukua karne. Wanyama huwa wana uwezo wa kujua janga kubwa sana linapotaka kuja. Kwa mfano, kondoo kama kuna radi inataka kupiga chini, huwehuka na kuanza kukimbia huku na kule na kugonga miti kwa...
  15. figganigga

    Usijivune: Kassim Majaliwa, Prof Mark Mwandosya na marehemu Prof Idris Mtulia, Wakiwa ndani ya Mtumbwi

    Picha hii ni ya mwaka 2010, Wa tatu kwa waliokaa kutoka nyuma ni Kassim Majaliwa ambaye wakati huo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji. Majaliwa hakuwa hata mbunge wakati huo. Nyuma ya Majaliwa ni Prof Mark Mwandosya ambaye wakati huo alikuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, asiye na Wizara Maalum...
  16. Miss Zomboko

    Hali ya kutokuaminiana ni tishio kubwa kwa uhai wa Jumuiya ya Afrika Mashariki

    NAIROBI, Kenya RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya, amesema kwamba bado anaunga mkono juhudi za kuimarisha Jumuiya ya Afrika Mashariki licha ya changamoto zilizopo na kukiri kuwa moja ya vizingiti vikubwa katika mchakato huo “ni hali ya kutoaminiana.” Kenyatta aliyasema hayo wakati ambapo nchi za...
  17. Ringo Malisa

    Kunyamaza ni silaha kubwa

    Wapinzani mkiona mnayemtendea Ubaya halipizi, Mnamchukia lakini yeye anawaonesha Upendo. Mnamdharau lakini anawaheshimu. Mnamtuhumu wala hajibu tuhuma zenu. Mnamtenga lakini ameendelea kuwaonesha Upendo na umoja. Mnamshusha anavumilia. Mnamnunia, yeye anawachekea. Mnamhujumu yeye anasonga...
  18. M

    GE2020 Upinzani ukimweka Membe itakuwa tofauti kubwa na ilivyokuwa kwa Lowassa! Watashinda

    Lowassa pamoja na kupendwa sana kwa kweli alikuwa dhaifu mno 2015. Tena mno, kimawazo (hakuwa na mvuto wa hoja) na hata kiafya (enzi za siha njema zilishampita). Kwangu mie hata JK kuhakikisha Lowassa hawi Rais ilikuwa ni kumsaidia rafiki yake ambaye alikuwa anajua undani wake. Lowassa...
  19. S

    Hili la Jecha kuchukua fomu limeitia doa kubwa CCM

    Amani ya Bwana iwe nanyi. Sote tunafahamu utata mkubwa uloiojitokeza mwaka 2015, na nafasi ya Jecha katika utata huo. CCM kama chama tawala ambacho kinajinasibu kukubalika na wananchi na ambacho kinda kushinda kwa kura halali, hakikutakiwa kujihusisha na mtu kama Jecha. Ukila na kipofu...
  20. CHIPESI NAMISUKU

    GE2020 Mbeya Mjini kazi ipo kubwa

    Leo DR Tulia ambaye Ni naibu Spika alikula Chakula Cha mchana kwa mamaNtilie Jijini Mb eya. Kabla ya kuhitimisha vikao vya bunge alisema atagombea mwaka huu sisi HATUJUI ni Jimbo gani lakini niliwahi kuandika kuwa Sugu ASIMBEZE DR TULIA.... Niwakumbushe kidogo, bado msimamo wangu na analysis...
Back
Top Bottom